Diamond asingekuwa mkubwa kuzidi chadema viongozi wako wasihangaika kupambana nae.Koma kabisa hebu toa huu ushuzi tangu lini Mondi akawa zaidi ya chadema? ccm yenyewe pamoja na kukomaa na kuota mvi huko johanesburg lakini inaugwaya mtiti wa chadema hadi ikimbiliea polisi na usalama wa taifa ili kushinda wakisaidiwa na magari ya deraya na washawasha acha kuonesha upumbavu wako.
Ukome kuifananisha cdm na upuuzi wa aina yoyote tena nisije sikia unarudia maana waweza jikuta umepasukiwa yai maeneo ya kinyume cha mdomo chunga sana usije jikuta umezoa laana hadi kizazi cha nne, ina maana huna hoja? kwa hiyo mondi akigombea na Lema Arusha kwa akili zako za kukopa Mondi atashinda? hivi unawajua vijana wa ARACHUGA?
Hahaaaa ile ngoma nzito hapo ndiyo nimeamini chadema ni madem tu kweli wanashidwa kuwa toa kina mdee bungeni?pamoja na kelele zooootee zile wamebaki kimya mamaeeLema angeaza kwanza kuwatoa Covid-19 bungeni, hiyo inatija zaidi kuliko kuhangaika na huyo dimondi
Wa waliouwawa, kupotezewa ndugu zao na walionyimwa kufanya siasa kwa uhuru kipindi cha mwendazakeUtawala kandamizi kwa mujibu wa nani?
Ajabu wanaofanya hivi, ni watu wanajitanabaisha kuipigania demokrasia, hivi demokrasia nini.Huku ni kuingilia uhuru wa mtu.
Mondi ana haki ya kushabikia chama chochote cha siasa na pia kumshabikia mwanasiasa yeyote aliyewekwa na chama chochote cha siasa.
Kushambulia kazi yake kisa tu ni mshabiki wa chama ambacho Lema hakubaliani nacho sio haki hata kidogo.
Huu mtindo mpya wa kuhusisha maisha ya mtu na ushabiki wake wa kisiasa utatuvuruga sana watanzania.
DaHivi hawa hawajui kuwa Diamond is bigger than chadema. hivi diamond agombee urais na mbowe/lissu/lema nani atapata kura nyingi
Wakikupa nitagMwenye kipande cha track ya Diamond akiimba "wapinzani tunawapiga risasi" tafadhalini,naomba akiweke hapa.
Shida siyo kufanya kampeni Ccm.
Kipindi Naija watu wanauawa Diamond aliweka tweet kupinga yale mauaji. Aisee watu wamnanga sidhani kama huwa anatamani kuangalia ile tweet mara mbilimbili. Unajua ni kwanini?
Wasanii wa Bongo ni wanafiki sana. Matukio yakitokea Bongo wanakaa kimya. Wanalamba matako serikali. Yakitokea huko nje ndio wanajifanya kupiga kelele.
Pitia hiyo Tweet, kama ukishindwa kuelewa watu wanacholalamika sitakuwa na cha kukusaidia.
Waacheni waandamane eeh, wajinga walee.. CCM mbele kwa mbeleUpdate hii petition imeishia wapi?
Sasa kama chama kinaongozwa na misukule nani atajiunga na misukuleKuna watu wanazidi kupotea kama hawa wana harakati hewa CDM ina itaji watu wapya sio hawa misukule