Katika matamasha ya CCM walikua wanamuziki wengi sanaHuku ni kuingilia uhuru wa mtu.
Mondi ana haki ya kushabikia chama chochote cha siasa na pia kumshabikia mwanasiasa yeyote aliyewekwa na chama chochote cha siasa.
Kushambulia kazi yake kisa tu ni mshabiki wa chama ambacho Lema hakubaliani nacho sio haki hata kidogo.
Huu mtindo mpya wa kuhusisha maisha ya mtu na ushabiki wake wa kisiasa utatuvuruga sana watanzania.
Doooh!Hakuna mtu mwenye akili timamu ampigie diamond kura.
Ni low life niggers kama wewe ndo mnamuona role model wenu.
Tatizo kina Kigogo wabishi balaa wakikusakama lazima uharibikiwe angalia maguful,sabaya,kange,makondasasa ndo naamini, magu alikuwa na influence kubwa hapa nchini na wa pili ni diamond, fullstop..!!! siku zote mti uliofungasha matunda ya kucheba haukosi kupitiwa na warusha mawe.! ila all in all mond anafaidika sana kwenye hili sakata kuliko atakachopoteza... hili sakata limemfanya awe maarufu na ndo the talk of the town hapa mjini... ndo maana kaamua kulikalia kimya
Kijana kasome katiba inasemaje kuhusu urais,Hivi hawa hawajui kuwa Diamond is bigger than chadema. hivi diamond agombee urais na mbowe/lissu/lema nani atapata kura nyingi
Sawa DPP wa jf.Mdude anatoka vzr Tu na kes yake
Inaenda kufutwa
😹Kama mitandao ya YouTube na Facebook inamilikiwa na CHADEMA basi hiyo hoja ya Lema litafanikiwa.
Narudia tena kuandika, CHADEMA ni "genge" la "wahuni".
tofauti ni kwamba, hao ni wanasiasa na huyu dogo ni mwanamziki... hawamuwezi hata kidogo, wajikite tu kwa wanasiasa ili waendelee kupata credits lakini sio huku... yaani huku waweingia cha kike, kwa lugha nyepesi wamelikoroga! hawajajua kwa kufanya hvo wanasababisha hata waliokuwa hawamfahamu diamond waanze kumfatilia yeye na kazi zake... we jaribu kuangalia takwimu zake kuanzia leo ni subscribers wangapi wataongezeka youtube, followers insta na views kwny wimbo wake wa acha nikae kimya! ndo utajua nani kagain na nan kalooseTatizo kina Kigogo wabishi balaa wakikusakama lazima uharibikiwe angalia maguful,sabaya,kange,makonda
Wao sio Miungu,kama Mungu kamuandikia kupata atapata tu.Tatizo kina Kigogo wabishi balaa wakikusakama lazima uharibikiwe angalia maguful,sabaya,kange,makonda
TrueLema anampigia Diamond promo bila kujua, I used to believe he is smart.
Hizi harakati zake zinafanya BET waone kumbe huyu dogo ni mkubwa sana mpata mrengo wake wa kisiasa ni mjadala wa wanasiasa.
Mimi binafsi sijawahi kuipenda CCM na ile ya tyrannt phase ya mwendazake ndiyo ilizidi kunifanya nikichukie sana hicho chama lakini huu ujinga unaoendelea Twitter kumchagulia mtu chama cha ku support hauna mashiko.
Magu na henchmen wake ndiyo wawe accountable kwa madhila waliyosababisha lakini si kila mwanachama, shabiki au aliyeshiri kampeni iwe kwa kujitolea au kwa mkataba wa malipo.
Narudia tena, hiki kinachoendelea Twitter ni promo kwa dogo.
FB na YouTube wako kibiashara zaidi, Lema sijui amekuwa blinded na personal hate au kitu gani, he sounds stupid and desperate. Hii movement yao huko Twitter inawafanya BET wamuangalie dogo kwa jicho la tatu.
Dogo toka anaanza carrier yake ya kuimbaimba amekumbana na vikwazo vingi na ndiyo maana hata negative publicity huwa anajua kuzitumia kwa faida yake. Yuko kimya akijua hii ni publicity hata kama ni negative publicity.
Let's wait and see the aftermath of this.
Mti wenye matunda broWasanii wengi walifanya kampeni CCM.
Sijui Kwanini NI diamond PEKEE..
Bora NI Baki sina CHAMA