George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,018
- 4,907
Aliyekuwa mbunge wa CHADEMA, Mh Godbless Lema ameandika katika mtandao wa Twitter kuwa wapo katika mchakato wa kuondoa kazi/videos za Diamond Platnumz katika mitandao ya YouTube na Facebook. Godbless Lema anadai Diamond amekuwa akijali "njaa" kuliko haki, hivyo kijana Huyo kutoka Tandale ni hatari zaidi ya gaidi.
Diamond ana "tabu" sana mwaka huu!
Diamond ana "tabu" sana mwaka huu!