Godbles Lema video: Nimemmis sana Kikwete

Godbles Lema video: Nimemmis sana Kikwete

Nani anapambana na Rais?Kwa hiyo Hotuba ya Mhe.Lema ilikuwa na lengo la kupambana na Mhe. Rais?Bunge sasa hivi ni chombo cha kupambana na Mhe Rais? "Jana nimemsikiliza Lema akichangia bungeni kuwa kammiss Rais Kikwete aliyemaliza muda wake" Umemsikiliza Mhe. Lema alisema hilo kwa aspect gani?Baada ujibu hoja unaruka ruka kama chura wa Snura vipi mzee, ndio fikra huru toa basi vitu productive, mbona unaonyesha uwezo wako mapema au umeashau ulichoandika awali?Kazi kweli kweli?
Kukata mzizi wa fitina tuambie basi wewe Lema na Msigwa wamemmiss JK kwa lipi??
 
Now i have already tested my hypothesis n my quote is 100% okey
images-17.jpeg
 
Kukata mzizi wa fitina tuambie basi wewe Lema na Mnyika wamemmiss JK kwa lipi??
Having seen your flow and arguments i declare that i cant argue with you, may be now your drunk or maana hauelweki, wapi Mhe. Mnyika kasema anamiss Kikwete?wewe ulisikiliza jana kipi alichosema?kesho labda ukikaa sawa mzee au labda umeshiba sana
 
siku hizi hata kukaribishwa kunywa juisi ikulu hakuna dah
 
Mie pia nimem miss, very humble and gentleman! Roho yake nzuri kama ilivyo sura yake
 
Ndio hata idd amin dada anamisiwa,,,mi pia nimememisi kucheka cheka kwake
 
wacha huongo wewe....!!

wamesema lini na wapi?

una ushaidi wowote tofauti na huu wa kimaandishi?



tummiss JK tunaanzaje labda?
 
wewe ritz1 ...ni mipasho tu na ujinga unakusumbua. Hujielewi umsifie Magu, JK dhaifu anu Dau...yani umebaki kuwa kichekesho tu...huna rafiki bali maadui. Yani upo km vile ulivyokuwa enzi za JK
 
wacha huongo wewe....!!

wamesema lini na wapi?

una ushaidi wowote tofauti na huu wa kimaandishi?



tummiss JK tunaanzaje labda?
Nikiweka ushahidi upo tayari kuhama Chadema?
 
wewe ritz1 ...ni mipasho tu na ujinga unakusumbua. Hujielewi umsifie Magu, JK dhaifu anu Dau...yani umebaki kuwa kichekesho tu...huna rafiki bali maadui. Yani upo km vile ulivyokuwa enzi za JK
Rudi shule kajifunze kuandika hujui hata matumizi ya herufi kubwa na ndogo.
 
Mkuu hawa jamaa ni mazuzu! Wanaweza mtukana.. Ila sasa wanaogopa jamaa atawanyoosha

Hivi Msigwa sijui alishapimwa akili kwa kummunga mkono Lowassa
Hivi hawa jamaa bado tu wanazungusha mikono?Kweli ni wana mabadiliko sasa wamebadilika wanamtaka JK.
 
Mengine yapi yangu?so wewe ulileta huu uzi wa nini kama haujui why they miss him?Na hiyo picha yako inahusiana na content ya ulichoandika?Ndio tunajifunza hapa otherwise kama una degree nyingi za kuandika utumbo?Au uliweka ile picha kufurahisha genge?
Wao wamesema wamemmic Jk na ni in all aspect sasa sijui unalilia nn
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom