Godbles Lema video: Nimemmis sana Kikwete

Godbles Lema video: Nimemmis sana Kikwete

Ndio kazi kubwa ya unafiki investors..
Chadema wamewekeza kwenye unafiki hawatakaa waione ikulu..


Hivi kweli Lema na Msigwa ni watu wa kummisi Kikwete!!!!!

Aliyesema wana mafaili mirembe hakukosea.
 
Bora hatulioni bunge Live maana matusi yaliyokuwa yanaporomoshwa na baadhi ya wabunge mpaka sasa tunaendelea kukarabati watoto wetu walivyo haribika. Mara mtu mzima tumbili nk. Sisi tunachotaka ni matokeo ya mnachojadili, tuone maendeleo tu, siyo tutumie maelfu ya masaa kufuatilia kauli hizo za kumisiana. Leteni maendeleo vijijini siyo kuuza maneno matupu.

KAMA MAENDELEO NI KUONGEA SANA BUNGENI BASI MAJIMBO YA WABUNGE WANAOONGEA SANA YANGEKUWA YAMEPIGA HATUA SANA!
 
Nitamshukuru daima Kikwete kwa kutuletea Magufuli maana tulikua tunaishi kama ukoo wa Kambare baba,mama,mtoto,mjukuu,babu wote wana ndevu heshima hakuna ila sasa heshima ipo.
 
Na bado inabidi wakomeshwe kabisa hawana adabu na uongo uongo wao na unafiki unafiki wao.
 
JK

kwa wapenzi wa demokrasia watakubali JK amefanya kazi kubwa kuliko maraisi wote.

pia uwazi na uhuru wa kuongea ninampa A ya UD.heko to be a doctor.tuliona mchango wako
 
Hawa watu kufuata sera zao mpaka uvue ubongo uvae tope kichwani, wamemisi mapungufu yake ili wakapate pa kutokea, kandamiza ngosha mpaka waseme wamemis mwinyi..
 
Alipokuwa anamkaribisha pale Lumumba baada kuchukua fomu, JK aliwaambia umma, " tumekuleteeni chuma hiki, kimeanza kutema cheche kabla hakijaanza kazi, kuna wakati walisema mimi mpole wanata mtu mkali, huyu hapa mkali, tena mkali kweli kweli"

Umesema kweli
 
duh, binadamu bwana, kwani mtu akiwa na mapungufu yake anakuwa hana mazuri? kikwete alikuwa na mapungufu, pia alikuwa na mazuri, sasa mazuri ndio lema anaya miss
 
Usishangae 2020 Kikwete akawa mgombea wako kupitia UKAWA.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
duh, binadamu bwana, kwani mtu akiwa na mapungufu yake anakuwa hana mazuri? kikwete alikuwa na mapungufu, pia alikuwa na mazuri, sasa mazuri ndio lema anaya miss
Magufuli hivyo hivyo watu watammiss baada ya kuondoka, hata wapinzani wake, panukeni kifikra muache ushabiki
 
Hakuna cha maandamano, hakuna mikutano,mmmh ngosha kiboko
 
Dah!! Akipita magu watasema wanammiss pia,mbadala wa kukomboa nchi hayupo kabisa...upinzani hauna dira kabisa,siwaelewi wanatutetea kwenye lipi au sera imejikita kwenye nini?
 
Wanasiasa wote ni vigeugeu!!;wote fata upepo mpaka wanahabar wote hawaminiki!!;ni sheedaa we angalia stretegic zako upate kiingilio cha familia!!;imefika mahala hadi wasomi!!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom