Godbles Lema video: Nimemmis sana Kikwete

Godbles Lema video: Nimemmis sana Kikwete

kumtukana Dr Magufuli ni kazi the man is serious si mtu wa masikhara, si unajua watu wa huko anakotoka? kazi zaidi. na wapinzani walishazoea a weak person ambaye ingekuwa simple kumtukana na kuwa na sababu za kumtukana pia. sasa wamekutana na mtu wa kazi, inakuwa ngumu.... mwanumeeeee. safari hii upele umepata mkunaji

Hahahahahaha!! Kwani Magu hawawezi kumtukana?
 
Uhakika upi? Ni mtu mjinga tuu ambaye mabadiliko anayaona na hajui kama yanatokea. Naibu spika Ndugai alisemwa sana kuhusu utendaji wake na akaamua kubadilika na kufuata kanuni kiasi akawa mwiba kwa serikali ya ccm na wenye akili waliona.
Kumbuka mjadala wa ESCROW jinsi alivyouruhusu na kusababisha serikali kuyumba hadi kuamua kumpa likizo ya lazima na mapumziko nje ya nchi.
Huo ni mfano mmoja tuu, lakini alifikia hatua ya kuwaambia Mawaziri wasitegemee kiti chake kuwalinda wanaposhindwa kujibu hoja za wabunge. Kwa nini wasim miss sasa? Hata Uspika wake halikuwa chaguo la wakubwa ndio maana wakamleta Tulia agombee na iliposhindikana wakampa unaibu.
Ndio maana hata wajuzi wa mambo wanadhani hata ugonjwa wa Ndugai waweza kuwa na mkono wa chama chake kama ilivyo desturi (inadhaniwa hivyo)
Sasa kuleta andiko la kabla hajabadilika ndio ujanja?
Ni sawa na mtu awe hajaenda jando na ukamtangaza sana, lakini akaamua kwenda nawe bado wang'ang'ania kuwa bado ana lile dubwasha, utakuwa na akili kweli.
Thats you, mleta mada
Asantee kamanda kuna kitu nilitaka niandike lakini naona tayari kimo kwenye maelezo haya yaliyojitosheleza.....!! wamekuja na gazeti lao lililobeba mambo ya miaka tele iliyopita wakiamini kuwa itakuwa ni reference yenye mashiko, lakini kumbe ni swala tu la kuchekecha akili kwa mtu anaefuatilia mambo na kuona hilo gazeti zote ni pumba.
 
Na bado lazima watatamani kukimbia Bunge lazima wanyooke kisawasawa hapana chezea Magu hata kidogo
 
kwakweli natamani kikwenga, mzee wa msoga arudi tena maana kila siku afadhali ya jana ,sioni muelekeo wa taifa hili ktk kutaka kujikomboa kiuchumi,dukani kwangu jana na ckukuu hii kweli duka la nguo unauza elf 40???? hii ni economic crisis frm kuuza 3m to 0.04m ,msukuma hebu achia kidogo
 
kwa jinsi hali ya pesa ilivyo sasa bora kikwete angeendelea kutawala tu maana hakuna namna hadi gavana wa bank kuuu nae amekuwa mwanasiasa      
URL]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom