Godbles Lema video: Nimemmis sana Kikwete

Godbles Lema video: Nimemmis sana Kikwete

Naona umepanic ghafla labda tufahamishe wewe wamemiss nini kwa JK?
Kwenye masuala ya msingi unaleta comedy, kumbe unatafuta kick, maana ulianza tangu zamani mara hospitali ya mama na mtoto na leo unakuja na hoja mfu hivi nyie watu mkoje?Usikute ni mtu na usomi wako wewe?
 
Nimekuuliza Lema na Msigwa wamemiss nini kwa JK? Hayo mengine yako.
Mengine yapi yangu?so wewe ulileta huu uzi wa nini kama haujui why they miss him?Na hiyo picha yako inahusiana na content ya ulichoandika?Ndio tunajifunza hapa otherwise kama una degree nyingi za kuandika utumbo?Au uliweka ile picha kufurahisha genge?
 
Kwenye masuala ya msingi unaleta comedy, kumbe unatafuta kick, maana ulianza tangu zamani mara hospitali ya mama na mtoto na leo unakuja na hoja mfu hivi nyie watu mkoje?Usikute ni mtu na usomi wako wewe?
Masuala yapi ya msingi? Hii ni forum huru kila mtu na fikra zake unataka nikubaliane na fikra zako?
 
Masuala yapi ya msingi? Hii ni forum huru kila mtu na fikra zake unataka nikubaliane na fikra zako?
Sasa hapo kuna fikra gani, kwa hivyo, hiyo mipasho ndio fikra huru sawa mkuu🙂🙂🙂🙂
 
Wewe punguani kweli nakujibu kiungwana unataka kuniletea akili za nyumbu sikia wewe JF siyo mali ya Chadema wala hamna nyumbu yoyote atakayeweza kunipangia cha kuandika umesikia.
Wewe ndio punguani wa mwisho kabisa, mimi sio mwanachadema ila pia sikubaliana na utumbo na mipasho uliyoandika hapo juu kwa kigezo cha fikra huru, kazi ya fasihi ni kuburudisha , kuelimisha, kukosoa na kujenga , wewe umesema Lema na Mhe Msigwa wanamiss JK? haujasema in what aspect na walisema hayo maneno wapi?Ukaenda mbali na kuweka picha ya Viongozi wa UKAWA wakiwa Ikulu wakati wa Katiba?Picha ambayo haihusiani na maudhui ya kile unachokiwakilisha, sasa hapa mimi na wewe nani Punguani?mbona unajitukana mwenyewe mkuu?
 
explain now
Mhe Lema jana wakati anatoa hotuba yake alisema ya kuwa JK wakati wa utawala wake alisemwa sana na watu walikaa kimya, alisema wakati wa utawala wake Mhe. Rais alilifanya Bunge kuwa huru kujadili mambo yake na kufanya maamuzi na wakati huu Bunge linashindwa kufanya kazi yake ya kuikosoa Serikali hivyo wamamiss sana Jk, Mtoa mada kaandika wanamiss na kaweka picha ya chai na Juice ili ionekane ya kuwa Mhe. Lema na Msigwa wanamiss Mhe. Rais Mstaafu sababu ya Juice na chai, which is not true
 
unataka kuniletea akili za nyumbu sikia wewe JF siyo mali ya Chadema wala hamna nyumbu yoyote atakayeweza kunipangia cha kuandika umesikia.
Usije ukapanick ukapoteza track hoja hujibiwa kwa hoja naona unaanza kuleta vioja, mimi sio nyumbu na wala sina akili za kinyumbu, pili mimi sio mwanachadema na tatu sikupangii cha kuandika , kama ulivyosema ili ni jukwaa huru hivyo ukiandika utumbo na mipasho una haki pia ya kukosolewa, kama unataka uwe huru zaidi anzisha JF yako kisha waruhusu watu watakaokuwa wnakusifia na kukubaliana na utumbo kama huu ndio iwe audience yako
 
Weweeee umtukane Dr.Magufuli?? Unadhani JK yule mpaka kina Mzito Kabwela walikuwa wanamtukana hovyo au waitishe maandamano waone.

Usitishe watu, nadhani unasubilia ukuu wa wilaya. Maandamano yataitishwa tu kwa mujibu wa katiba, na Lema na Msigwa humkuwaelewa wana maana gani, mmetafsiri mnavyojua endeleani tu, maana ndege wa rangi moja huruka pamoja.
 
Mbona ukumbi umegeuka wa kina buku saba
Mnapongezana wenyewe
 
Kweli akili ni nywele kila mtu ana zake. Sikutegemea mtu mzoefu kama wewe Ritz ushindwe kuipata point ya Lema pale bungeni. Nimejaribu kuweka ile clip nimeshindwa ili watu wengine nao waisikie, lakini kumbe hata kebehi ya Lema kwako wewe ni sifa?
Pale alichosema nikama uwe unakunywa chai ukitamani kuishusha na keki lakini ukapata kiazi, lakini chai inayofuata ukaletewa na muhogo mchungu ni wazi kuwa utasema ume kimiss kiazi hata kama matarajio yako ni keki.
Kwa vile sasa kuna muhogo mchungu basi bora hata kiazi kama keki hakuna.
 
Kweli akili ni nywele kila mtu ana zake. Sikutegemea mtu mzoefu kama wewe Ritz ushindwe kuipata point ya Lema pale bungeni. Nimejaribu kuweka ile clip nimeshindwa ili watu wengine nao waisikie, lakini kumbe hata kebehi ya Lema kwako wewe ni sifa?
Pale alichosema nikama uwe unakunywa chai ukitamani kuishusha na keki lakini ukapata kiazi, lakini chai inayofuata ukaletewa na muhogo mchungu ni wazi kuwa utasema ume kimiss kiazi hata kama matarajio yako ni keki.
Kwa vile sasa kuna muhogo mchungu basi bora hata kiazi kama keki hakuna.

Well said Chakaza na mimi hiki ndicho nilichomaanisha you nailed it all
 
Wewe ndio punguani wa mwisho kabisa, mimi sio mwanachadema ila pia sikubaliana na utumbo na mipasho uliyoandika hapo juu kwa kigezo cha fikra huru, kazi ya fasihi ni kuburudisha , kuelimisha, kukosoa na kujenga , wewe umesema Lema na Mhe Msigwa wanamiss JK? haujasema in what aspect na walisema hayo maneno wapi?Ukaenda mbali na kuweka picha ya Viongozi wa UKAWA wakiwa Ikulu wakati wa Katiba?Picha ambayo haihusiani na maudhui ya kile unachokiwakilisha, sasa hapa mimi na wewe nani Punguani?mbona unajitukana mwenyewe mkuu?
Punguani wahed!! Mimi sijasema kuwa wamemmiss JK wamesema wao bungeni.

Unataka kukataa kama Lema ajasema kammiss JK?

Kauzu kweli wewe.
 
Usitishe watu, nadhani unasubilia ukuu wa wilaya. Maandamano yataitishwa tu kwa mujibu wa katiba, na Lema na Msigwa humkuwaelewa wana maana gani, mmetafsiri mnavyojua endeleani tu, maana ndege wa rangi moja huruka pamoja.
Jaribu kumtukana basi Magufuli uone cha moto.
 
Kweli akili ni nywele kila mtu ana zake. Sikutegemea mtu mzoefu kama wewe Ritz ushindwe kuipata point ya Lema pale bungeni. Nimejaribu kuweka ile clip nimeshindwa ili watu wengine nao waisikie, lakini kumbe hata kebehi ya Lema kwako wewe ni sifa?
Pale alichosema nikama uwe unakunywa chai ukitamani kuishusha na keki lakini ukapata kiazi, lakini chai inayofuata ukaletewa na muhogo mchungu ni wazi kuwa utasema ume kimiss kiazi hata kama matarajio yako ni keki.
Kwa vile sasa kuna muhogo mchungu basi bora hata kiazi kama keki hakuna.
Naona mpini umeingia kisawa sawa!
 
Punguani wahed!! Mimi sijasema kuwa wamemmiss JK wamesema wao bungeni.

Unataka kukataa kama Lema ajasema kammiss JK?

Kauzu kweli wewe.
Another hopeless stupid comment, kwa hiyo haya ndio majibu na utetezi wako umeelewa nilichosema au bado una tatizo la kutoelewa?
 
Punguani wahed!! Mimi sijasema kuwa wamemmiss JK wamesema wao bungeni.

Unataka kukataa kama Lema ajasema kammiss JK?

Kauzu kweli wewe.
Haujui kujenga hoja na ni mtupu wa mwisho, nakupuuza, endelea kusifiana na wenzako but hope you can improve your uandishi next time.
 
Punguani wahed!! Mimi sijasema kuwa wamemmiss JK wamesema wao bungeni.
They say Never argue with an idiot. They will drag you down to their level and beat you with experience.Kwaheri mzee nimwelewa Sarah naona you want to drag me down to your level and beat me with your experience, kwaheri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom