Godbles Lema video: Nimemmis sana Kikwete

Ritz

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
46,976
32,378
Wanaukumbi.

Jana nimemsikiliza Lema akichangia bungeni kuwa kammiss Rais Kikwete aliyemaliza muda wake.

Wakati wa utawala wa JK hawa hawa Chadema walisema JK ni rais dhaifu leo tena wanasema wamemmiss daah!

Ilifikia wakati Chadema wakatoa tamko kuwa watampeleka JK ICC kulikoni leo Lema na Msigwa mmemiss JK.

Dua lenu limekubaliwa rais JK dhaifu kaondoka kaja Rais Magufuli pambaneni naye JK hagombei tena urais.


2016-05-17-11-40-05--1556271289.jpeg


images-15.jpeg
 
Alipokuwa anamkaribisha pale Lumumba baada kuchukua fomu, JK aliwaambia umma, " tumekuleteeni chuma hiki, kimeanza kutema cheche kabla hakijaanza kazi, kuna wakati walisema mimi mpole wanata mtu mkali, huyu hapa mkali, tena mkali kweli kweli"
 
Wewe unafikiri walivyokuwa wanamtukana vile alafu kakaa kimya wasimmiss kwann? Sasa hivi hawana pa kuuzia sura ndio maana hawana la kifanya mbele ya Magu
Hahahahahaha!! Kwani Magu hawawezi kumtukana?
 
Wanaukumbi.

Jana nimemsikiliza Lema akichangia bungeni kuwa kammiss Raia Kikwete aliyemaliza muda wake.

Hao achana nao.Wakati wa Mwinyi walisema heri wakati wa Nyerere.Mwinyi alipoondoka akaja Mkapa wakasema heri wakati wa Mwinyi.Mwinyi alipoondoka akaja Kikwete wakasema ni heri utawala wa Mwinyi kuliko wa Kikwete.Kikwete kaondoka kaja Magufuli wanasema heri wakati wa Kikwete!!!

Na bado wanavuna laana ya kutukana watu ambao hawajawakosea kitu.Kikwete aliwalea sana na kuwabeba mno lakini hawakubebeka.Alikuwa akiwasikiliza sana wapinzani mpaka CCM tunamnunia lakini wakawa wanamwona Mpuuzi tu na kumtukana kila siku.

Walipiga yowe kuhusu Lowasa kuwa fisadi Kikwete kutokana na kupenda kuwasikiliza akawasikiliza

Kikwete alikuja kujua mwishoni wapinzani hawana maana walipomchukua Lowasa na kumfanya mgombea wao.! Alibaki mdomo wazi haamini kuwa ni wanafiki wakubwa kiasi hicho.Angekuwa anaendelea kushika uongozi awamu ya Tatu kikwete asingesikiliza kabisa wapinzani na asingekaa nao karibu tena wala kunywa nao chai ikulu.Ni wanafiki na vigeu geu ambao hawawezi aminika kupewa nchi kwa ukigeu geu wao waweza uza nchi mchana jua linawaka.
 
Na bado watammiss sana, HA HA HA HA HA, Mungu mkubwa na atamlipia mbaba wa watu alivyokuwa akidhalilishwa na matusi na watoto wadogo anaoweza kuwazaa ati kisa siasa, hata wazee watu wazima ambao tuliwaheshimu kama kina slaa nao walithubutu kumtaja mpaka mama yake, NAFURAHI SANA WANAVYONYOOSHWA NA MAGUFULI, Haya rais mkali mnae endelezeni kudeka awanyooshe, ha ha ha ha ha. HONGERA JK, HONGERA MAGUFULI.
 
Na bado watammiss sana, HA HA HA HA HA, Mungu mkubwa na atamlipia mbaba wa watu alivyokuwa akidhalilishwa na matusi na watoto wadogo anaoweza kuwazaa ati kisa siasa, hata wazee watu wazima ambao tuliwaheshimu kama kina slaa nao walithubutu kumtaja mpaka mama yake, NAFURAHI SANA WANAVYONYOOSHWA NA MAGUFULI, Haya rais mkali mnae endelezeni kudeka awanyooshe, ha ha ha ha ha. HONGERA JK, HONGERA MAGUFULI.
JK kaukanwa sana yeye na familia yake kaitwa mcheza ngoma, tezi dume, mcheza bao, mnywa kahawa, mswahili, haya sasa kaondoka kaja mtu wa shoka JPM.
 
Na bado watammiss sana, HA HA HA HA HA, Mungu mkubwa na atamlipia mbaba wa watu alivyokuwa akidhalilishwa na matusi na watoto wadogo anaoweza kuwazaa ati kisa siasa, hata wazee watu wazima ambao tuliwaheshimu kama kina slaa nao walithubutu kumtaja mpaka mama yake, NAFURAHI SANA WANAVYONYOOSHWA NA MAGUFULI, Haya rais mkali mnae endelezeni kudeka awanyooshe, ha ha ha ha ha. HONGERA JK, HONGERA MAGUFULI.
Hivi wamemmiss kwa lipi?
 
Hao achana nao.Wakati wa Mwinyi walisema heri wakati wa Nyerere.Mwinyi alipoondoka akaja Mkapa wakasema heri wakati wa Mwinyi.Mwinyi alipoondoka akaja Kikwete wakasema ni heri utawala wa Mwinyi kuliko wa Kikwete.Kikwete kaondoka kaja Magufuli wanasema heri wakati wa Kikwete!!!

Na bado wanavuna laana ya kutukana watu ambao hawajawakosea kitu.Kikwete aliwalea sana na kuwabeba mno lakini hawakubebeka.Alikuwa akiwasikiliza sana wapinzani mpaka CCM tunamnunia lakini wakawa wanamwona Mpuuzi tu na kumtukana kila siku.

Walipiga yowe kuhusu Lowasa kuwa fisadi Kikwete kutokana na kupenda kuwasikiliza akawasikiliza

Kikwete alikuja kujua mwishoni wapinzani hawana maana walipomchukua Lowasa na kumfanya mgombea wao.! Alibaki mdomo wazi haamini kuwa ni wanafiki wakubwa kiasi hicho.Angekuwa anaendela kushika uongozi awamu ya Tatu kikwete asingesikiliza kabisa wapinzani na asingekaa nao karibu tena wala kunywa nao chai ikulu.Ni wanafiki na vigeu geu ambao hawawezi aminika kupewa nchi kwa ukigeu geu wao waweza uza nchi mchana jua linawaka.
Hakuna mahali nimeona Watanzania wakisema heri utawala wa Kikwete kuliko Mwinyi

Hakuna rejea ulicho kiandika hapo juu

Lizaboni
 
Hao achana nao.Wakati wa Mwinyi walisema heri wakati wa Nyerere.Mwinyi alipoondoka akaja Mkapa wakasema heri wakati wa Mwinyi.Mwinyi alipoondoka akaja Kikwete wakasema ni heri utawala wa Mwinyi kuliko wa Kikwete.Kikwete kaondoka kaja Magufuli wanasema heri wakati wa Kikwete!!!

Na bado wanavuna laana ya kutukana watu ambao hawajawakosea kitu.Kikwete aliwalea sana na kuwabeba mno lakini hawakubebeka.Alikuwa akiwasikiliza sana wapinzani mpaka CCM tunamnunia lakini wakawa wanamwona Mpuuzi tu na kumtukana kila siku.

Walipiga yowe kuhusu Lowasa kuwa fisadi Kikwete kutokana na kupenda kuwasikiliza akawasikiliza

Kikwete alikuja kujua mwishoni wapinzani hawana maana walipomchukua Lowasa na kumfanya mgombea wao.! Alibaki mdomo wazi haamini kuwa ni wanafiki wakubwa kiasi hicho.Angekuwa anaendela kushika uongozi awamu ya Tatu kikwete asingesikiliza kabisa wapinzani na asingekaa nao karibu tena wala kunywa nao chai ikulu.Ni wanafiki na vigeu geu ambao hawawezi aminika kupewa nchi kwa ukigeu geu wao waweza uza nchi mchana jua linawaka.
Ni ukweli usio pingika kuwa JK alikuwa n Bonge la Rais na alikuwa mvumilivu sana, Hawa UKAWA watamkumbuka sana JK,walisha tuambia nchi Ipo auto pilot sasa wanalia kama watoto wadogo,kweli wanaisoma namba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom