Yamakagashi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 8,613
- 17,638
Sijaelewa hapo uliposema pesa walizochangisha hilo shirika ni dola 325 mpaka sasa
Show me your friends, so, I know who you'reKagame wao rafiki yetu sana.........
Ukitembea na mwizi na wewe. Unakuwa mwz zaidi ya mwiz OG..
Ambacho hakijaeleweka ni nn hapo ndugu?Sijaelewa hapo uliposema pesa walizochangisha hilo shirika ni dola 325 mpaka sasa
Mpaka kesho. Hakuna mpango wa kulifuta wala kulirekebisha.Hyo mpaka leo lipo hilo????
Kwakweli. Binadamu wenzetu wanaishi hapo zaidi ya wanyama.mwili umenisisimka kwa kweli
Kabisa mkuu. Na katika orodha, gereza za Marekani zimeshika hatamu sanahuko wanajisifu ni ma bingwa wa haki za binadamu tena nmeshangaa jela zingine zipo nchi kubwa kama brazil
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Rwandan government must do something to help this people.Immediately! Unadhan kitaanzia wapi?
That will never happen under Kagame. As long as Tutsi reigns, the place will ever be the same.Rwandan government must do something to help this people.
Foreign governments is needed to intervene to help this people.That will never happen under Kagame. As long as Tutsi reigns, the place will ever be the same.
Serikali ndiyo imeamua eneo hilo liwe hivyo. Na itakuwa hivyo mpaka pale watakapoamua tofauti.
Kumbuka pia Kagame is about to seize another chance ya kuongoza Rwanda.
Lakini pia huoni hili jambo, mahususi magereza, litasuta pia na nyoyo zao kwakuwa nao hula sahani moja utofauti ukiwa ni rangi tu?Foreign governments is needed to intervene to help this people.
Mkuu Adolf, nadhan jeshi zima litahamishiwa huko.daaaah....si bora wajiorganize wavunje gereza hilo na kujikataa....Bora wafe wachache kwa risas za askal kuliko kuliwa nyama....
Tatizo la Rwanda inaonekana bado kuna roho za kulipa visasi.siwezi kuwa na imani na magereza ya Rwanda hata siku moja.Umetia chumvi sana mada yako. Mwaka jana nilitembelea gereza ya tajwa ya Gitarama, gereza ya 1930 na gereza moja iko sehemu moja inaitwa Remera mjini Kigali. Katika magereza hayo matatu wafungwa wanaishi vizuri kuliko magereza mengi ya Tanzania. Gereza ya Gitarama ilikua na hali mbaya sana mwaka 1997-2002.