GITARAMA: Jehenamu duniani!

GITARAMA: Jehenamu duniani!

nimecheki moja ya documentary ya hiyo jela kwa kweli hali ni mbaya sana watu wameoza miguu dah! so sad

sijui kwanini wameshindwa hata kuweka paa la jengo ila wameweza kununua ndege kubwa tena latest
Mkuu, unadhani Serikali imeshindwa kukarabati gereza hilo? Ni kwamba wamelisusa, wamelipuuza.


Kwa taarifa ni kwamba, huduma ndani ya gereza hilo zilianza kusitishwa miaka ya 1995. Baada ya watu hao kusekwa kwa tuhuma za mauaji ya Kimbari.
 
Mkuu, unadhani Serikali imeshindwa kukarabati gereza hilo? Ni kwamba wamelisusa, wamelipuuza.


Kwa taarifa ni kwamba, huduma ndani ya gereza hilo zilianza kusitishwa miaka ya 1995. Baada ya watu hao kusekwa kwa tuhuma za mauaji ya Kimbari.
basi itakuwa ni chuki za kikabila ambazo mwalimu alisema ni sawa na kansa ila kwa nilivyoona wale jamaa wanasubiri tu kufa na nmeona ni bora wangewahukumu kifo tu
 
Inawezekana kweli Dunia hii iliotawaliwa na utandawazi kujua jambo hili na kulifumbia macho,sina imani ya ukweli wa hii makala,Rwanda inaogopwa nini mpaka iwe inafanya mambo ya kinyama namna hii bila ya kuchukuliwa hatua na jumiya ya kimataifa?
Mkuu, kama huamini kwa maandishi nenda basi hata You tube ukatazame documentary.

Na kwa taarifa ni kwamba, hii sio sehemu pekee watu hufanyiwa hivi. Tena zingine zipo huko huko unapopaona wewe hawawezi fanya hivyo.
 
basi itakuwa ni chuki za kikabila ambazo mwalimu alisema ni sawa na kansa ila kwa nilivyoona wale jamaa wanasubiri tu kufa na nmeona ni bora wangewahukumu kifo tu
Wamo humo na ingali hawajahukumiwa na mahakama. Ni watuhumiwa tu.
 
Unakumbuka alichosema aliye
Hivi Umoja wa Mataifa upo kwaajili gani?

Yako wapi mashirika ya watetezi wa binadamu?

East Africa Community ina maana gani?
Aaaarghhhhhhh............
Unakumbuka alichosema aliyekuwa mwenyekiti wa au Jakaya juu mustakabali wa amani ya kudumu na haki za binadamu kwa Rwanda?, unakumbuka kagame alivyojibu? Au ilifyata mkia maana hawakutoa azimio lolote, mwache kagame afurahi na roho yake
 
Mkuu, kama huamini kwa maandishi nenda basi hata You tube ukatazame documentary.

Na kwa taarifa ni kwamba, hii sio sehemu pekee watu hufanyiwa hivi. Tena zingine zipo huko huko unapopaona wewe hawawezi fanya hivyo.
huko wanajisifu ni ma bingwa wa haki za binadamu tena nmeshangaa jela zingine zipo nchi kubwa kama brazil

Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
 
Hivi Umoja wa Mataifa upo kwaajili gani?

Yako wapi mashirika ya watetezi wa binadamu?

East Africa Community ina maana gani?
Aaaarghhhhhhh............

Kama yaliyoandikwa ni kweli basi hao ulio wataja watakuwa upande wa watawala wa Rwanda
 
Uwiiiiiiii Mungu wangu,Kagame ana roho mbaya sana.
Mashirika ya haki za binadamu yako wapi?
Dah
Na bado kuna watu wanamuona kagame kua kiongozi wa kupigiwa mfano.kwangu mimi hata ufanye maandeleo kiasi gani kama huheshimu haki za kiraia hufai.
 
Back
Top Bottom