GITARAMA: Jehenamu duniani!

GITARAMA: Jehenamu duniani!

Uwiiiiiiii Mungu wangu,Kagame ana roho mbaya sana.
Mashirika ya haki za binadamu yako wapi?
Dah
Naona sasa wamepuuzia hili jambo. Limebakia kama nadharia tu tangu serikali yenyewe haijali
 
Uwiiiiiiii Mungu wangu,Kagame ana roho mbaya sana.
Mashirika ya haki za binadamu yako wapi?
Dah
Naona yanapuuzia hii habari. Lakini aidha ni sababu dhaifu zitolewazo na serikali ya kwamba hawana pesa za kutosha.
 
Kwenye Papilon siyo wingi bali ilikuwa mateso waliyokuwa wakipata kule kisiwa cha Devil. Hapa siyo Segerea kweli?
Njia ya kuwatesa wafungwa hapa ni kuwanyima space. (Object of torture)
 
Hivi Umoja wa Mataifa upo kwaajili gani?

Yako wapi mashirika ya watetezi wa binadamu?

East Africa Community ina maana gani?
Aaaarghhhhhhh............
Ndugu yangu, Hayo mashirika yapo tu. Yapo mengi yanayoendelea duniani na hayana mtu wa kuyasemea.
 
Inawezekana kweli Dunia hii iliotawaliwa na utandawazi kujua jambo hili na kulifumbia macho!sina imani ya ukweli wa hii makala,Rwanda inaogopwa nini mpaka iwe inafanya mambo ya kinyama kiasi hiki bila ya kuchukuliwa hatua na jumiya ya kimataifa?
 
Hivi TRUMP anaapishwa lini jamani?Uwii.. hii ni zaidi ya SOBABOR
 
nimecheki moja ya documentary ya hiyo jela kwa kweli hali ni mbaya sana watu wameoza miguu dah! so sad

sijui kwanini wameshindwa hata kuweka paa la jengo ila wameweza kununua ndege kubwa tena latest
 
utazani gereza la SONA kwenye prison break
 
Back
Top Bottom