GITARAMA: Jehenamu duniani!

GITARAMA: Jehenamu duniani!

Aisee inasikitisha nakumbuka mwaka 2015 nilikuwa hapo gitarama nilisikia mengi mpaka naogopa kukaa rwanda ni inchi ya kishetani
 
Hadi 2025 tutakuwa na jela mahususi ya watu wa kanda flan apa ambayo itakuwa hatar zaid ya hii jela ya wanyarwanda tungoje tuone maana copy & paste ya kagame inaendelea apa taratibu kila kukicha.
 
Hii habari imenifanya nitetemeke na kujenga chuki dhidi ya Kagame.

Kweli kuna watu makatili kiasi hiki! Wautu wana teswa sana lakini dunia kimyaa. Wazungu walivyo control mass media wanachagua ya kutangazwa. Najua wamerekani wamemtumia Kagame kupora mali za Congo kwa ujira wa kumlinda!

Pamoja na kwamba Rwanda ina ukabila na kuna wahutu zaidi ya 80 percent , lakini Kagame anayewaua wahutu eti anachaguliwa kwa 90+% kura! Wahutu wanaojaribu kugombea wanafungwa. Namkumbuka mama Victoria Ingabire anaozea jela na dunia iko kimyaaaa! It's. Very touching! This world is not fair!
Alafu cha ajabu hii habari ndiyo naisikia leo, kwa mtazamo wangu ilitakiwa iwe habari nzito duniani.

Duh, inasikitisha sana.
 
Kwamba chakula kinaletwa mara moja tu kwa wiki, hilo tifu lake la kugombania wengine lazima wakose kabisa, so ni lazima asilimia kubwa wanaokufa kwenye hili gereza hufa kwa njaa.
 
Back
Top Bottom