figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,888
- Thread starter
- #61
umeona eeh...!!.miaNaona wadada sikuiz dili kuolewa, kuna mmoja alinambia, sasa usiponioa wewe ataniona nani?
umeona eeh...!!.miaNaona wadada sikuiz dili kuolewa, kuna mmoja alinambia, sasa usiponioa wewe ataniona nani?
<br />siyo mvulana anakusemesha kidogo tu unakimbilia"nioe".kwani unafikiri kuolewa ndo kila kitu duniani?kwani lazima boyfriend wako akuoe?kwanini usimchukulie kama friend tu?mwenzio siwaelewi.mia
sisi tuongea kwa vitendo lakini nyie mnajifanya hamvioni eti mnavumilia.unavumulia nini?.nmekuoa?miaNa nyie wanaume muwe wawazi. Mwambie mdada wakati unamfata "am not a husband material, infact it never crosses my mind even once, so please dont make assumptions or try anythng funny to bring up something called marriage!" then muulize "can u be my girlfriend now?" ili asiwe na ma expectations makubwa!
hapana sio ugumu wa maisha.wenyewe wanasema kwamba wanataka kuondoa gundu.na ukimuoa ndo kabisaa utafikiri umemvutisha bangi.vituko ndani ya nyumba haviishi.hata maji bafuni kukupelekea ananuna,kupiga pasi nguo ananuna,usichelewe kurudi nyumbani ananuna.yaani ili mradi vituko.miaUGUMU WA MAISHA NDIO CHANZO CHA YOTE! Wanawake hawataki mzaha kabisa!
Mwengine mnakutana leo halaf kesho yake unamkuta dukani anajipima shela la halusi!
Khaaa! tumuogopeni Mungu wajameni
hahahaaa....zilipendwa au?miaKuolewa ni fasheni kwani hujui? lol
mimi siwezi kukutana na wewe mala ya kwanza nianze kuwaza kuhusu kukuoa.ntawaza kukujengea picha ya utamu kabla ya yote.kufanya mapenzi lazima ndoa majariwa.miakwa hyo mwanamke anaedai ndoa sio smart? ME NADHANI KILA UHUSIANO BAINA YA MWANAMKE NA MWANAUME MALENGO YA AWALI YALIKUWA NI KUTENGENEZA NDOA. Ila cku hz....mwee...
<br />hata ukimwambia hakuelewi.anakuambia eti atakusubili hadi utakapo amua kuoa.au anakuuliza kwa hiyo hutaoa?kama ninatatizo niambie nijirekebishe,mimi nataka wewe unioe.please sweetie...!!,umekubali mme wangu..!!??huku amekulalia kifuani.unakosa jibu sahihi.mia
<br />yaani wamepandisha munkari ile mbaya.hadi wanatishia kirogana.duh...!!yaani ni noma.mia
duh...inawezekana umeongea kweli.miahahaaaaa wewe mdhaifu MIA
nalogeka sema madawa yanachuja ndani ya mda mchache.na yakishachuja najivua gamba nasikia wenyewe mnaita kubadisha mademu.miahahaha,afu na wewe m'bishi kama nini! ukilogwa unatakiwa ulogeke walau kidogo. kha!
nikikuona una nywele bandia,sura bandia,lugha bandia,maongezi bandia na mavazi bandia na mimi ntakuja kibandia.miaWaache maisha ya show hawatamegwa ovyo. Sometime gia tunazoingia nazo hutufanya tusepe maana huwezi kumaintain standard flani flani . naazima mkoko, gheto maisha ya steers kumbe choka mbaya, unajivua ghamba unarudi kwenye maji unayoweza ogelea.
sawa kabisa mkuu.umeeleweka vizuri.miaWaache maisha ya show hawatamegwa ovyo. Sometime gia tunazoingia nazo hutufanya tusepe maana huwezi kumaintain standard flani flani . naazima mkoko, gheto maisha ya steers kumbe choka mbaya, unajivua ghamba unarudi kwenye maji unayoweza ogelea.
pa1 sana mkuu.miaMia mia mia mia