Girls born in 1990

Girls born in 1990

Kwani kufika 30 ni offence? Stop making it a big deal... Kuolewa ni maamuzi pia! Kila siku imekuwa unafikisha miaka 30 , acha kuringia wanaume sijui vitu gani.


Acheni wafikishe 30, wengine wanafikisha hiyo 30 wakiwa na malengo yao pia, na wengine wanafikisha 30 and above na wanaolewa. So stop taking it kama njia ya kuwatisha wanawake.
 
Hivi kwa nini wanaume hawalipendi hili swali? Ni gumu kiasi hicho?
Wanaume sio kwamba hatulipend hlo swal au ni gumu sana, tatizo hzo namba tunapata kwa rafik zenu ambao hawatak kujukikana kulinda urafik wenu mana hajui utarespond vip baada ya kujue ndiye aliyetoa namba, hata nyie mkitoa namba za rafik zenu huwa mnatoa kwa mashart hayo ya kototajwa
 
Nipanic kisa nini? Nikuwe mara ngapi? Kwa taarifa yako mimi nimeshaolewa na kabla sijaolewa nilikuwa muulizaji mzuri sana wa hilo swali ndiyo maana nawatetea wanawake wanaouliza hilo swali kwamba eti kuuliza hilo swali siyo sababu ya kutokuolewa hiyo kauli mnaitumia tu kama vitisho ili muache kuulizwa hilo swali kwa sababu mnajua wanawake wengi wa kibongo wanatamani sana ndoa

Hamna lolote yaani wanaume wa kibongo sijui mnawachukuliaje wanawake aise kila kitu watakachokataa kufanya mnavyotaka basi mnaingiza neno ndoa na kwamba hawataolewa yaani ni ajabu sana na kama kuna wanawake wanaamini basi ni wajinga wa kiwango cha standard gauge railway na huo ni ulimbukeni
Sister mbona umepanick? We endelea kukua. Sisi tunadate na wenzenu wa 1995 kuja huu huku.
 
Acheni maringo ya kishamba. Kuna dem mmoja nilimtongoza akaleta maringo mm nikapotezea, yeye alijua nitapiga second attempt, basda ya hapo kuona nipo kimya kibao kimegeuka yeye ndio ananitongoza mm sasa. Na mm niweka ngumu mixer Maringo ya dunia nzima
Kwani kufika 30 ni offence? Stop making it a big deal... Kuolewa ni maamuzi pia! Kila siku imekuwa unafikisha miaka 30 , acha kuringia wanaume sijui vitu gani.


Acheni wafikishe 30, wengine wanafikisha hiyo 30 wakiwa na malengo yao pia, na wengine wanafikisha 30 and above na wanaolewa. So stop taking it kama njia ya kuwatisha wanawake.
 
Mimi najiuliza kama wao haiwaumi wanaongelea ya nini? Inawauma sana!
Kwani kufika 30 ni offence? Stop making it a big deal... Kuolewa ni maamuzi pia! Kila siku imekuwa unafikisha miaka 30 , acha kuringia wanaume sijui vitu gani.


Acheni wafikishe 30, wengine wanafikisha hiyo 30 wakiwa na malengo yao pia, na wengine wanafikisha 30 and above na wanaolewa. So stop taking it kama njia ya kuwatisha wanawake.
 
Wanaume sio kwamba hatulipend hlo swal au ni gumu sana, tatizo hzo namba tunapata kwa rafik zenu ambao hawatak kujukikana kulinda urafik wenu mana hajui utarespond vip baada ya kujue ndiye aliyetoa namba, hata nyie mkitoa namba za rafik zenu huwa mnatoa kwa mashart hayo ya kototajwa
Sasa kwanini uombe namba kwa rafiki yangu na siyo kwangu?

Kama nikikataa si basi tu unaheshimu maamuzi yangu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom