Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,420
- 40,407
Itasinyaa....kwani tukifika 30 tutakufa?
Itasinyaa....kwani tukifika 30 tutakufa?
Mwanaume anaeshindwa hata kujieleza namba katoa wapi wa kazi gani. Wacha tugonge tu 50. Hilo ni swali gumu lakini huwa mwanamke anatafuta assurance akijua ulipotoa namba atakua comfortable kwako pia sema wanaume hamjui na mnaona hilo swali ni gumu kweli kweli.
Ndio king'ora cha hatari kinaanza kulia.
Umeona eeh?Mwanaume anaeshindwa hata kujieleza namba katoa wapi wa kazi gani. Wacha tugonge tu 50. Hilo ni swali gumu lakini huwa mwanamke anatafuta assurance akijua ulipotoa namba atakua comfortable kwako pia sema wanaume hamjui na mnaona hilo swali ni gumu kweli kweli.
Tar 14 mwezi huu naingiza 18Una miaka mingapi?
mtachina 😂 😂kwani tukifika 30 tutakufa?
Nahhh..wazee wapo watatuoamtachina
wazee wepi hao wazee wenyewe wachache na nguvu hawana. Mtachina nawaambia si mnajifanya jeuri..Nahhh..wazee wapo watatuoa
Nyie vijana tu ndo mashauzi mengi
Hahahah waache tu waendelee na maringo jazz band
Mabaharia tuko kwenye kibasi cha Y2K sahivi
😂😂😂wazee wepi hao wazee wenyewe wachache na nguvu hawana. Mtachina nawaambia si mnajifanya jeuri..
Menopause is around you madam..kwani tukifika 30 tutakufa?
Menopause is around you..! Healthly birth giving is in between 20 to 35yrs.Kwani 30 imefanyaje????