Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
hiyo ni picha tu, wala sikumtafuna
mmmh nilijua mko kwenye scene ya
muvi mpya
hiyo ni picha tu, wala sikumtafuna
Mshiriki Miss Utalii Vyuo Vikuu Kanda ya Kati Dodoma 2011 Irene Richard (CBE) akiwa na Gideon Chipungahelo, mwandaaji wa mashindano hayo.
View attachment 42553
Aisee mke wake ana kazi,kama anae
Huyu Chipungahelo aliishi kipindi fulani pale Mafinga wakati mama yake akiwa mkuu wa Chuo Cha Maendeleo ya akina mama - Rungemba. Kwa kweli nilichoshangaa kwa familia hii ni pale walipokuwa wakija kujirusha mjini Mafinga akiwa na dada yake na Mama yao Mama Chips ambaye baadaye alikuja kuwa mkuu wa Mkoa Dar. Bila aibu alikuwa akicheza zero distance na dada yake na wakati mwingine akimla denda dada yake. Kwa hiyo anayoyafanya hapo sishangai sana maana nilisha shangaa kitambo.
Huyu Chipungahelo aliishi kipindi fulani pale Mafinga wakati mama yake akiwa mkuu wa Chuo Cha Maendeleo ya akina mama - Rungemba. Kwa kweli nilichoshangaa kwa familia hii ni pale walipokuwa wakija kujirusha mjini Mafinga akiwa na dada yake na Mama yao Mama Chips ambaye baadaye alikuja kuwa mkuu wa Mkoa Dar. Bila aibu alikuwa akicheza zero distance na dada yake na wakati mwingine akimla denda dada yake. Kwa hiyo anayoyafanya hapo sishangai sana maana nilisha shangaa kitambo.
Gee Chips,
Ongelea hii mambo, ni aibu ktk tasnia ya urembo na sana jina la Utalii
Kama vipi, jiondoe kwenye Urais kwa kashfa hii, ni mbaya
Huyu Chipungahelo aliishi kipindi fulani pale Mafinga wakati mama yake akiwa mkuu wa Chuo Cha Maendeleo ya akina mama - Rungemba. Kwa kweli nilichoshangaa kwa familia hii ni pale walipokuwa wakija kujirusha mjini Mafinga akiwa na dada yake na Mama yao Mama Chips ambaye baadaye alikuja kuwa mkuu wa Mkoa Dar. Bila aibu alikuwa akicheza zero distance na dada yake na wakati mwingine akimla denda dada yake. Kwa hiyo anayoyafanya hapo sishangai sana maana nilisha shangaa kitambo.
Well said!mi wala simlaumu huyu mzee wa kuwamega anko chips wacha awamalize,,, ila baba na mama ambao watoto wenu wanapitishwa uchi mbele ya umati wa watu eti wanagombania gari,,,,,,
kweli maendeleo ya kizazi hichi ni uchee wa mwanamke badala ya utu wa mwanamke,, mnapitishwa uchi mbele za wanaume mkigombea vi-reconditioned cars,,,,,
Sio kupitishwa uchi tu, na mengine mengi mabaya zaidi wanafanyiwa: wanauzwa kwa ma pedejeeeeee.....
Kuna thread moja ilikuja hapa kuwa wanauzwa Bagamoyo: sasa sijui utumwa umerudi tena?
mmh mabinti zetu???
Moja ya fani zenye kunyanyasa wanawake ni hii ya umiss japo wao hawasikii wala hawaoni kisa wanakwenda na wakati kwa kuiga ujinga wa wazungi, figure za kiafrika ni potable wala hazifai kwa umiss wao wanajitesa kwa kutokula ili wawe vifimbo
kudedeki aliwahi kunilia wangu , moved her to trush kiroho safi