Mjambishaji
Member
- Oct 28, 2017
- 44
- 21
Ni habari ya kusikitisha kutoka jimboni kwa mhe: Magdalena Sakaya kuhusiana na upatikanaji wa vitambulisho vya Taifa.Ili upate kitambulisho unatakiwa kulipia Gharama zifuatazo kutokana na Umri.
1.Kijana anatakiwa kulipa tsh 20000.
2.Wakina Mama Tsh 10000
3.Wakina baba Tsh 15000
4.Wazee Tsh 5000.
My take
Mbona dar tuligawiwa bure inakuweje sehemu nyingine ? Au TRA imehamia huko? Nisaidieni wadau
1.Kijana anatakiwa kulipa tsh 20000.
2.Wakina Mama Tsh 10000
3.Wakina baba Tsh 15000
4.Wazee Tsh 5000.
My take
Mbona dar tuligawiwa bure inakuweje sehemu nyingine ? Au TRA imehamia huko? Nisaidieni wadau