Mjambishaji
Member
- Oct 28, 2017
- 44
- 21
- Thread starter
- #21
jamani ni kweli hii kitu wapigieni watu wa kaliua
Mimi siipendi CCM hata kwa sekunde 2 lakini vitambulisho ni bure kwa watanzania wote.Si Dar mwezi wa saba nilikuwa Ilemela, kata ya Buswelu hivyo vitambulisho watu walikuwa wanapata huduma zote bure, sijajua huko Tabora halmashauri kama imekubali hili
leta ukweli hapa mm naweza kukupa namba za watu waliotozzwa pesaHii habari siyo ya kweli hata kama hatuipendi hii serikali lakini siyo fair hata kidogo.
Mkuu tusibishane kwa mambo ya msingi, mimi siipendi CCM hata sekunde moja lakini suala la vitambulisho ni bure.leta ukweli hapa mm naweza kukupa namba za watu waliotozzwa pesa
mkuu aunikuwekee namba za watu waliolipia? mm naipenda CCM ila kwa hili hapanaMkuu tusibishane kwa mambo ya msingi, mimi siipendi CCM hata sekunde moja lakini suala la vitambulisho ni bure.
Weka aiseemkuu aunikuwekee namba za watu waliolipia? mm naipenda CCM ila kwa hili hapana
Daaaaah ntaku pm stay tuneWeka aisee
PoaDaaaaah ntaku pm stay tune
labda ni kwa halmashauri zinazoongozwa na wapinzaniSi Dar mwezi wa saba nilikuwa Ilemela, kata ya Buswelu hivyo vitambulisho watu walikuwa wanapata huduma zote bure, sijajua huko Tabora halmashauri kama imekubali hili
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHINi habari ya kusikitisha kutoka jimboni kwa mhe: Magdalena Sakaya kuhusiana na upatikanaji wa vitambulisho vya Taifa.Ili upate kitambulisho unatakiwa kulipia Gharama zifuatazo kutokana na Umri.
1.Kijana anatakiwa kulipa tsh 20000.
2.Wakina Mama Tsh 10000
3.Wakina baba Tsh 15000
4.Wazee Tsh 5000.
My take
Mbona dar tuligawiwa bure inakuweje sehemu nyingine ? Au TRA imehamia huko? Nisaidieni wadau
Umejiridhisha kabla ujaleta Uzi wako humu mjomba?Ni habari ya kusikitisha kutoka jimboni kwa mhe: Magdalena Sakaya kuhusiana na upatikanaji wa vitambulisho vya Taifa.Ili upate kitambulisho unatakiwa kulipia Gharama zifuatazo kutokana na Umri.
1.Kijana anatakiwa kulipa tsh 20000.
2.Wakina Mama Tsh 10000
3.Wakina baba Tsh 15000
4.Wazee Tsh 5000.
My take
Mbona dar tuligawiwa bure inakuweje sehemu nyingine ? Au TRA imehamia huko? Nisaidieni wadau
Wenyewe washakanusha kule, km una ushahidi peleka kunakohusika usiendelee kujambisha watu tenaaNi habari ya kusikitisha kutoka jimboni kwa mhe: Magdalena Sakaya kuhusiana na upatikanaji wa vitambulisho vya Taifa.Ili upate kitambulisho unatakiwa kulipia Gharama zifuatazo kutokana na Umri.
1.Kijana anatakiwa kulipa tsh 20000.
2.Wakina Mama Tsh 10000
3.Wakina baba Tsh 15000
4.Wazee Tsh 5000.
My take
Mbona dar tuligawiwa bure inakuweje sehemu nyingine ? Au TRA imehamia huko? Nisaidieni wadau
Jamani hii serikali siipendi ila vitu vingine tuwe wakweli tu.hili mbona liko wazi siku nyingi..kwa dar kijana ni elf hamsini
kama hukufanya kipindi kile wako mitaani
ukienda sasa ndio bei yake hio
hujaelewaJamani hii serikali siipendi ila vitu vingine tuwe wakweli tu.
Dar kitambulisho ni bure ila ukipoteza ndo utalipia 20,000 ili utengenezewe kingine. Me nimechukua kitambulisho mwez September kama sikosei.
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHIWap huko!