Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 10,592
- 19,853
Nakazia ujumbe wako mkuuMaisha ukiyapigia sana mahesabu,basi hata kunywa chai asubuhi utaona ni kujitia hasara tu,
Anyway naunga mkono hoja,ijali familia yako,
Michepuko haina shukrani,ipo kimaslahi zaidi,
Family first.
Afadhali umelijua hili, unaume ni shughuli pevu sanaNikikutana na hizi mambo najiuliza ningekuwa mwanaume ningeweza kweli?
I mean how comes raha mpate wote lakini gharama zote ziwe juu yangu??na asante kwa kuja 50K juu
I see being a man is tough
Bas jitahid muwe mnashare mkuu,kuonyesha kujaliNimewahi mkuu
Umeongea kitu uzima Sana mkuuUsemacho ni kweli, ila uhalisia wanaume tuna HULKA ya kuchovya chovya, yaani kutangaza UANAUME wetu, unajikuta tu unatamani kumkamua mtoto wa mtu, nae aonje ladha ya duduwasha. Aone UANAUME wako, na sababu nyingine ndogo ndogo..
Hii ni hulka ambayo wanaume tunayo, sitetei uzinzi ila huu ni uhalisia.
Usemacho ni kweli, wazee tupunguze vyenga vingi, wekeza zaidi home, laki bora umtumie umpe bimkubwa, mke ama watoto.. hata kama wameshapata si mbaya kuongezea.
Katika vita ngumu wanaume tunapigana nayo, basi ni hii ya kutowapelekea moto wengine,
Sisi wanaume tuliofanikiwa KWA KIASI KIKUBWA kushinda hii vita, tuheshimiwe saaana 😄🤣
Hakika wewe ukipata million 1. Mpe wife laki 7. Laki tatu fanya mwili upate raha kidogo. To.mba angalau mademu wawili mwili ufurahi upate nguvu ya kutafuta tena.Maisha ukiyapigia sana mahesabu,basi hata kunywa chai asubuhi utaona ni kujitia hasara tu,
Anyway naunga mkono hoja,ijali familia yako,
Michepuko haina shukrani,ipo kimaslahi zaidi,
Family first.
whitewash zimepanda bei, the multipurpose soap.Sabuni 500 tuu
🙌🙌🙌🙌🙌Wa kutoa shukurani ni mchepuko au ni wewe ?
Wewe ndio umeomba starehe, wewe ndio uli mwaproach. umelipia huduma, akushukuru kwa lipi, ugali wa lodge?
Amekaa kimaslahi. Wewe ndio umefata maslahi ya ngono. Yeye hajakufata umpe maslahi!
We ulitaka umlale bure bure akijua kabisa uhusiano hauna mbele wala nyuma, halafu yeye ndio akwambie wewe ahsante ? Hata sex slave hatoi ahsante. Asante umemjengea, au asante akupe ya wewe kumlala yeye? ?
Hata Mimi nimeshangaa, kweli kula na Kunywa ni 30,000 tu?Watu wawili??? Usafiri 10,000? Boda boda ya wapi hiyo kwenda na kurudi Mkuu?Yaani Asante Kwa kuja ni 50 na 30 kula na kunywa mtu 2 au ulikula peke yako .
Kuna kikao uliskip.
Yaani 500?🤔Mbona kupata penzi ni ghali hivyo, Au inategemeana na demu yukoje? Maana kuna mademu wa madaraja tofauti kutokana na unavyojiona una hadhi gani. Wapo mademu ni pisi kali high class nadhani hawa ndio wa bei ghali. The rest ni mademu wenye quality ndogo unaweza kuwapata kwa bei ndogo. Kuna mademu wana hali mbaya kiuchumi hata buku tano wanachukua na utamnyandulia getoni bila hata kumpa maji. Ukishuka mpaka baa za mataputapu unapata mademu mpaka wa jero na unajilia mapagarani, uchochoroni, mtaroni na kichakani. Mtu hula demu kutokana na alivyo sawa na mademu wa status yake
Hawa wa kuchakata vyema mbona wana blessiwa tu bure huku mtaa..Zamani penzi lilitolewa kwa kigezo cha kuwa na uwezo wa kuchakata mbunye vema, mtulinga ulioshiba na kujaa mbunyeni vizuri ila siku hizi mademu wanaangalia hela tu hata kama una mtulinga dhaifu usiojaa mbunyeni vema, anachotaka demu ni hela tu
sasa kama wanakula kuku mzima? Au kitimoto na savanna? Kama kabolt kutoka ng’ambo?Hata Mimi nimeshangaa, kweli kula na Kunywa ni 30,000 tu?Watu wawili??? Usafiri 10,000? Boda boda ya wapi hiyo kwenda na kurudi Mkuu?
Niliona hii post kwa redeemer1.Usafiri 10,000
2.Chumba Lodge 30,000
3.Chakula + Vinywaji 30,000
4.Asante Kwa Kuja 50,000
Jumla 120,000 Brother Unaongeza Umasikini Tu Nyumbani Mpe Mke Hii 120,00 Uone Utakavyo Ombewa Na Kupata Zaidi Na Zaidi.
mkuu namana ampe 12,000 mkewe kweli, laki na buku 8 yote imeenda wapi, au ndo ulimi hauna mfupa umeteleza?...1.Usafiri 10,000
2.Chumba Lodge 30,000
3.Chakula + Vinywaji 30,000
4.Asante Kwa Kuja 50,000
Jumla 120,000 Brother Unaongeza Umasikini Tu Nyumbani Mpe Mke Hii 120,00 Uone Utakavyo Ombewa Na Kupata Zaidi Na Zaidi.
Huu mchepuko low class 😅1.Usafiri 10,000
2.Chumba Lodge 30,000
3.Chakula + Vinywaji 30,000
4.Asante Kwa Kuja 50,000
Jumla 120,000 Brother Unaongeza Umasikini Tu Nyumbani Mpe Mke Hii 120,00 Uone Utakavyo Ombewa Na Kupata Zaidi Na Zaidi.