TajiriMutoto
Member
- Jun 20, 2012
- 87
- 38
WanaJF naomba kujulishwa gharama za kukodisha gari kwa ajili ya maharusi kwa siku moja ni shilingi ngapi kwa Dar? Aina ya gari Mercedes benz E Class, kwa wenye ufahamu juu ya hili naomba nifahamishwe bei zinaendaje, Asante.