Kabla sijajua hata ukubwa wa nyumba, haiwezekani
Weka mchanganuo wa gharama
1. Paa(mbao,bati,fundi)
2. Madirisha,milango
3. Gypsum,tiles
Nimechoshwa na haotoshi zenu! hebu wekeni sawa kwa nini haitoshi kimahesabu hapa!Mil 5 haitoshi hata kidogo acheni kumchanganya na maheasabu yaiso na ukweli wowote
Nimechoshwa na haotoshi zenu! hebu wekeni sawa kwa nini haitoshi kimahesabu hapa!
mimi ni quantity surveyor nafany uthaman wa majengo na ukadiliaji wa majengo nicheki kwa 0753757303 nikusaidie hiyo hela namna ya kukadilia na ntakuandalia boq kabisa na yeyote mwingine nachora na michoro
Kujenga chumba na sebule ya kawaida bila mbwebwe za aluminium ,tiles unamaliza. Ila hutakuwa na shimo la choo.
Choo peke yake kuchimba, kujenga na kufunika si chini ya 3m.
Unaweza ukawa na uwezo wa kufanya vyote ila ukajikita upande mmoja Zaidi! mfano hai mimi nipo katika biashara ya utalii lakini ni professional artist in my spare time(wa uchoraji)vileveile! yaani nafanya vitu viwili tofauti kimoja kinataka nikimbie na wakati (tourism industry)kingine kinakula all the time you have (painting /sketching needs patient).Mmmmmh Qs na kuchora wapi na wapi?
Wewe choo chake kipo mgodini kinatoa dhahabu ati!Mkuu hicho choo unakichimbia wapi mwanza au mbona unadanganya sana
1- Tofali1800 @ 1000/= Tshs 1,800,000/=
2- Cement 30bags @13,500/= Tshs 405,000/=
3- Mchanga 5 lories @ 150,000/= Tshs 750,000/=
4- Chuma/Nondo 30pcs ya12mm @ 16,000/= Tshs 480,000/=
5- Zege 13.2 cubic metre @ 225,000/= Tshs 2,970,000/=
6- Labour charges = Tshs 1,000,000/=
7- Gharama nyinginezo = Tshs 500,000/=
Jumla ni 7.9...milioni
Huo ni mchanganuo wa gharama za ujenzi wa msingi tu peke yake na ikizingatiwa nyumba ni msingi usije jidanganya ukalipua ujenzi wa msingi itakugharimu sana baadae. Ok fikiria mpaka hapo...sasa tunafikia milioni 7.9
Msingi unaotumia mchanga lori tano ni wa ghorofa?
Jamaa kauliza gharama za kujenga master bed room,acheni kumtisha hiyo hela inatosha kabisa
3.7 inaweza kueleweka ila mchanganuo wake una mushkeli. mchanga trip 4 za lori au guta???? haiwezekani unless hicho chumba ni size ya madarasa mawili kwa viwango vya serikali. Nondo 2 au 20? msingi unahitaji nondo pembe zote na linta nayo inahitaji nondo.Umetumia ramani gani mkuu!!?
Chumba kimoja cha master nimetumia tofali 500 za block, bati 21, mbao 40, mifuko ya simenti 17, nondo 2, mchanga trip 4, ukijumlisha na vitu vingine vidogo vidogo kama maji, misumali, nk imetumika 3.7 mil pamoja na fundi. kwa hesabu hiyo choo hesabu yake haimo, lakni kama anajenga mbao za kwake, maji ya kwake, mawe ni ya karibu, mchanga ni wa karibu, anaweza kumaliza au kuongeza kidogo.
mwaka na miezi kadhaa imepita toka post yako hii. Naomba mrejesho ulifanikiwa au ndio ulikatishwa tamaa? nategemea mrejesho wako ili na mimi nifanye maamuzi kama yako.wadau niaje?
naombeni msaada kwa bajet ya milion 5.. unaweza ujajenga chumba (master) na sebule mpaka kikakamilika kila kitu
KIWANJA NINACHO TAYARI. HELA HII NI UJENZI TU
mwaka na miezi kadhaa imepita toka post yako hii. Naomba mrejesho ulifanikiwa au ndio ulikatishwa tamaa? nategemea mrejesho wako ili na mimi nifanye maamuzi kama yako.
Jibu Kutokana na swali mkuu acha upoyoyo1- Tofali1800 @ 1000/= Tshs 1,800,000/=
2- Cement 30bags @13,500/= Tshs 405,000/=
3- Mchanga 5 lories @ 150,000/= Tshs 750,000/=
4- Chuma/Nondo 30pcs ya12mm @ 16,000/= Tshs 480,000/=
5- Zege 13.2 cubic metre @ 225,000/= Tshs 2,970,000/=
6- Labour charges = Tshs 1,000,000/=
7- Gharama nyinginezo = Tshs 500,000/=
Jumla ni 7.9...milioni
Huo ni mchanganuo wa gharama za ujenzi wa msingi tu peke yake na ikizingatiwa nyumba ni msingi usije jidanganya ukalipua ujenzi wa msingi itakugharimu sana baadae. Ok fikiria mpaka hapo...sasa tunafikia milioni 7.9
Jibu Kutokana na swali mkuu acha upoyoyo