hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,889
- 2,799
Inategemea unataka chumba cha ukubwa gani na ubora gani. Hiyo hela hata kwa udongo unamaliza hicho unachotaka
Haitoshi jamani! hapo atajenga mpaka kupaua labda na grill za madirisha tu! finishing hapo itakuwa bado, kwa uzoefu wangu, hiyo hela ni gharama ya kujenga choo na shimo lake.
Inatosha na chenji inabaki hata Kama huna kiwanja.
1.Nunua kiwanja cha 1m vipo 15 kwa 15.
2.Chimba karo moja tu laki 1 na nusu,kulijengea na kulipiga zege kwa juu utaongeza laki 3 itajumiasha kokoto za elfu 80,cement 50k,mchanga yebo ya 50 na ufundi 120k.
3.utanunua tofali 700 sh 700k kuzijenga zote Hizo ni 250k gharama ya kuchimba msingi ni 40k.
4. Nunua bati 20 kwa 240k nunua mbao 20 za 4 by 2 na 20 za 2 by 2,gharama za mbao ni 240k na vifaa vidogo waya,misumari jumla 20k na ufundi 100k.
5.Nunua Dirisha 3 kwa 240k na mlango mmoja tu wa mbele kwa 150k na ufundi kuweka 40k.
6.Nunua yebo mbili kwa 100k na cement mifuko 10 kwa 120k kwa aioli ya floor na plasta ndani.
Kuna chenji Kama 1m imebaki kwa ajili ya nyavu dirishani,plaster nje,kuweka wiring,kununua pipe za chop,kununua sink la chop etc......Chenji inabaki bado.
Vipo maeneo mengi sana ila usirembe: Kigamboni Mwasonga, Kimbiji n.k, Chanika, Na vikindu ndani. Ukitulia unapata, watu hawakatai pesa.
Sio kikubwa kivile ni 15x13
Ukisikiliza watu humu JF hutajenga!!!
nyumba ni kitu cha kudumu mkuu, hupaswi kukurupuka!tafuta raman nzuri unayoipenda then anza kujenga msingi kwa kutumia hyo 5m. Kikawaida kwa standard residential house 5m yatosha kumaliza foundation kabsa. Then endelea kuchapa kaz kwa juhudi na kila sent utakayopata sasa waeza peleka tofal kidogo kidogo site na mwsho wa siku utajikuta zishatimia za kufikisha mjengo wako kwenye lintel. Give yourself time, usichoke kulipa kodi, lipa tu ila mwsho wa siku wahamiakwenye nyumba nzur inayoeleweka.