Gharama ya kujenga chumba na sebule master

Gharama ya kujenga chumba na sebule master

shaurimbaya

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2013
Posts
1,915
Reaction score
2,339
Wadau niaje?

Naombeni msaada kwa bajeti ya milion 5.. unaweza ukajenga chumba (master) na sebule mpaka kikakamilika kila kitu

KIWANJA NINACHO TAYARI. HELA HII NI UJENZI TU.
 
Kiwanja unacho?
Na kama unacho kipo maeneo gani?
Maana material yanabadilika kwa kufuata maeneo.

Ukijibu nitarudi
 
Inategemea na kiwango kipi unataka! Hiyo pesa inaweza kabisa kujenga na kagarden kwa Nje ukapata. Lakini pia inaweza isitoshe hata kupiga misingi!!
 
Inatosha na chenji inabaki hata Kama huna kiwanja.

1. Nunua kiwanja cha 1m vipo 15 kwa 15.
2. Chimba karo moja tu laki 1 na nusu, kulijengea na kulipiga zege kwa juu utaongeza laki 3 itajumuisha kokoto za elfu 80, cement 50k, mchanga yebo ya 50 na ufundi 120k.
3. Utanunua tofali 700 sh 700k kuzijenga zote Hizo ni 250k gharama ya kuchimba msingi ni 40k.
4. Nunua bati 20 kwa 240k nunua mbao 20 za 4 by 2 na 20 za 2 by 2, gharama za mbao ni 240k na vifaa vidogo waya, misumari jumla 20k na ufundi 100k.
5.Nunua Dirisha 3 kwa 240k na mlango mmoja tu wa mbele kwa 150k na ufundi kuweka 40k.
6.Nunua yebo mbili kwa 100k na cement mifuko 10 kwa 120k kwa ajili ya floor na plasta ndani.

Kuna chenji Kama 1m imebaki kwa ajili ya nyavu dirishani, plaster nje, kuweka wiring, kununua pipe za chop, kununua sink la chop etc......Chenji inabaki bado.
 
Unaweza inategemea ni wapi kama una kiwanja unahitaji tofari 1200 @ tsh 1000 inc
5, Bati 25 30000 cement 30@1200, mbao 20 20000, milango ya mchina 1@150000 na mwingine 1@200000 nondo 16@15,000 madrisha ready made madogo 3@250000 fundi @500,000 ;gata 5@10000, misumari kilo 5@3000 hapo hupo hm unaitwa baba mwenye vyumba
 
Last edited by a moderator:
Inatosha na chenji inabaki hata Kama huna kiwanja.

1.Nunua kiwanja cha 1m vipo 15 kwa 15.
2.Chimba karo moja tu laki 1 na nusu,kulijengea na kulipiga zege kwa juu utaongeza laki 3 itajumiasha kokoto za elfu 80,cement 50k,mchanga yebo ya 50 na ufundi 120k.
3.utanunua tofali 700 sh 700k kuzijenga zote Hizo ni 250k gharama ya kuchimba msingi ni 40k.
4. Nunua bati 20 kwa 240k nunua mbao 20 za 4 by 2 na 20 za 2 by 2,gharama za mbao ni 240k na vifaa vidogo waya,misumari jumla 20k na ufundi 100k.
5.Nunua Dirisha 3 kwa 240k na mlango mmoja tu wa mbele kwa 150k na ufundi kuweka 40k.
6.Nunua yebo mbili kwa 100k na cement mifuko 10 kwa 120k kwa aioli ya floor na plasta ndani.

Kuna chenji Kama 1m imebaki kwa ajili ya nyavu dirishani,plaster nje,kuweka wiring,kununua pipe za chop,kununua sink la chop etc......Chenji inabaki bado.
nimekukubali aisee ni wapi kiwanja 1m?
 
Inatosha na chenji inabaki hata Kama huna kiwanja.

1.Nunua kiwanja cha 1m vipo 15 kwa 15.
2.Chimba karo moja tu laki 1 na nusu,kulijengea na kulipiga zege kwa juu utaongeza laki 3 itajumiasha kokoto za elfu 80,cement 50k,mchanga yebo ya 50 na ufundi 120k.
3.utanunua tofali 700 sh 700k kuzijenga zote Hizo ni 250k gharama ya kuchimba msingi ni 40k.
4. Nunua bati 20 kwa 240k nunua mbao 20 za 4 by 2 na 20 za 2 by 2,gharama za mbao ni 240k na vifaa vidogo waya,misumari jumla 20k na ufundi 100k.
5.Nunua Dirisha 3 kwa 240k na mlango mmoja tu wa mbele kwa 150k na ufundi kuweka 40k.
6.Nunua yebo mbili kwa 100k na cement mifuko 10 kwa 120k kwa aioli ya floor na plasta ndani.

Kuna chenji Kama 1m imebaki kwa ajili ya nyavu dirishani,plaster nje,kuweka wiring,kununua pipe za chop,kununua sink la chop etc......Chenji inabaki bado.


duuh katika maisha yangu sijawai kuona mtu mjinga na mpunbavu na mpotoshaji kama wewe
 
Khaa!! Unaweza kujenga laki tano tu na kikakamilika inategemea na uhitaji wako. Ama sivyo anza kununua jacuzzi la 4m. Mdogomdogo utakuwa na king's size bedroom
 
Back
Top Bottom