Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,818
- 9,191
Kuna jamaa alikuwa anauza chanika kwa 1.5m chanika lakini ni 20 kwa 20 kwahyo ukipata cha 15 kwa 15 unanunua kwa 1m,mingoi bunju unapata kwa 1m.nimekukubali aisee ni wapi kiwanja 1m?
Kuna jamaa alikuwa anauza chanika kwa 1.5m chanika lakini ni 20 kwa 20 kwahyo ukipata cha 15 kwa 15 unanunua kwa 1m,mingoi bunju unapata kwa 1m.nimekukubali aisee ni wapi kiwanja 1m?
Amepotosha nini? Em' na wewe tupe mchanganuo wako
Atoe wapi huo mchanganuo wakati hata bei ya cement haijui.....
yani kuna watu wajinga humu sijapata ona, watu tunataka tupate angalau mwanga pa kuanzia ye analeta ujinga!!
nimekukubali aisee ni wapi kiwanja 1m?
duuh katika maisha yangu sijawai kuona mtu mjinga na mpunbavu na mpotoshaji kama wewe
Kuna jamaa alikuwa anauza chanika kwa 1.5m chanika lakini ni 20 kwa 20 kwahyo ukipata cha 15 kwa 15 unanunua kwa 1m,mingoi bunju unapata kwa 1m.
Umetumia ramani gani mkuu!!?
Chumba kimoja cha master nimetumia tofali 500 za block, bati 21, mbao 40, mifuko ya simenti 17, nondo 2, mchanga trip 4, ukijumlisha na vitu vingine vidogo vidogo kama maji, misumali, nk imetumika 3.7 mil pamoja na fundi. kwa hesabu hiyo choo hesabu yake haimo, lakni kama anajenga mbao za kwake, maji ya kwake, mawe ni ya karibu, mchanga ni wa karibu, anaweza kumaliza au kuongeza kidogo.
duuh katika maisha yangu sijawai kuona mtu mjinga na mpunbavu na mpotoshaji kama wewe
Bunju ipi iyo? Mana bunju viwanja sasa 10m+