Get well soon Lady Doctor!

Get well soon Lady Doctor!

tatizo ana mambo mengi nilimwambia kuwa nimsaidie japo
kuendesha duka lake pale Atown hataki anasema nitamfilisi
kwa kuchukua hela na kwenda kuupala nywele si anaona
nilivyokuwa na nywele kama singasinga
Asante sana my cousin, msamehe bure Erickb52 maana alichanganyikiwa ati we acha tu!
 
tatizo ana mambo mengi nilimwambia kuwa nimsaidie japo
kuendesha duka lake pale Atown hataki anasema nitamfilisi
kwa kuchukua hela na kwenda kuupala nywele si anaona
nilivyokuwa na nywele kama singasinga

hahahaaa.... Erickb52 ni mangi nini, halafu hajui kuwa wewe ni kachotara unahitaji matunzo ya hali ya juu?
 
Last edited by a moderator:
Pole sana Lady doctor,tunakuombea upone haraka uendelee na majukumu ya kulitumikia taifa!Get well soon
Alafu wewe Passion Lady mbona hujaniambia kama pacha wako anaumwa?Unataka nionekane sijali eheee!!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom