Pole Lady doctor, kwakuwa mganga hajigangi nakuletea dawa
Mke wangu Lady doctor keshapona siku nyiiingi sana tafuta mgonjwa mwingine ukampe dawa. By The Way kwani wewe dakitari siku hizi?
Ahahaa kupika upike wewe ,kula ule wewe,lawama nipate mimi just koma na usulubiweeeeee
get well soon Lady doctor
afu pacha hiyo habari kaongea mumeo
haina uhakika kama loya karudi kwa
zilipendwa wake Blaki Womani au Madame B
mi nipogoooooo tu namsubiri akichoka atarudi!!
kanitoroka sijui hata
kafichwa mtaa gani
sijamuona kitambo kweli!!
Pole Lady doctor, kwakuwa mganga hajigangi nakuletea dawa
Mimi ni daktari wa madaktari/doctors
Kwani Lady doctor naye mke wako?
...sijapewa chochote!!
Missing you more
I hope uko poaaa sasa mke mwenzathanks, mke mwenza!
mke wa kwanza na wamwisho arabela alikuwa ni zugia ujana!
Halafu dawa yako siitaki tena, ngastuka! Lol!
anataka aniozeshe kwa kizee kimoja na mahari keshabwia huyo kakaangu hana hayaKakufanya nini kwani?