Get well soon Lady Doctor!

Get well soon Lady Doctor!

kama ulimpa Erickb52 possibility ya kufika ni ndogo sana kama hajaenda kuiuza basi kainywa mwenyewe

Unajua Erickb52 ana kale ka ugonjwa kake ka kupoteza kumbukumbu, sasa wakati nampa dawa nikamwambia hii dawa inatibu hata gonjwa lake, nadhani hapo ndo alipopoteza kumbukumbu badala ya kukuletea yeye ndo kainywa au kaiuza..
 
Last edited by a moderator:
Unajua Erickb52 ana kale ka ugonjwa kake ka kupoteza kumbukumbu, sasa wakati nampa dawa nikamwambia hii dawa inatibu hata gonjwa lake, nadhani hapo ndo alipopoteza kumbukumbu badala ya kukuletea yeye ndo kainywa au kaiuza..

hahahaaa...... Sikunyingine uniletee mwenyewe bana Mungi
 
Last edited by a moderator:
Huyo Paloma Bishanga alisema sio mgonjwa ila ni mimba changa inamsumbua.. Lea vizuri dogo. Wewe ulikuwa unafurahia kubinuka staili zote tu..., Ndo ukubwa huo..


hahahaa Bishanga kwa udaku utamuweza?!?!? Baba V mwaya alhamdullillah nsahukuru Mwenyezi Mungu napata matunzo roho yangu kwatuuu......kwa hisani ya mumewangu sosoliso
 
Last edited by a moderator:
Paloma ajifungue tu....kila siku mgonjwa

sijui katakuwa ka kike au kakiume......

wii kimimba kinanisumbua hichi acha tu.........hapa nimebebelea mapera yale mekundu katikati! kuna mti nimeufuma mahali, weee mhh unanikuta namie napiga mawe mapera..................jamani!! sijui lini naushusha mzigo huu.........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom