Arushaone
Platinum Member
- Mar 31, 2012
- 15,237
- 13,566
hahahaaa...... Hivi Ruttashobolwa yupo mtaa gani pacha?
Huyo loya Ruttashobolwa keshalala mbele....nadhani kesharudiana na Blaki Womani.
CC: Passion Lady
Last edited by a moderator:
hahahaaa...... Hivi Ruttashobolwa yupo mtaa gani pacha?
Passion Lady mbona hujaniambia kuwa pacha wako anaumwa?nadhani hii habari njema kwa Eli79 sasa ndio wakati wake wa kumuoa pacha angu Passion Lady
There are currently 4 users browsing this thread. (2 members and 2 guests)
Nyuura mbony tsapfo meeku.
kwenda huko, wakati vitumbua nilinunua kwako halafu baada ya kuvila tu nikatapika vilikuwa na nywelenywele za sirini... kakya nani mwanamke mshirikina wewe!!!!!!!
Ahahaa kupika upike wewe ,kula ule wewe,lawama nipate mimi just koma na usulubiweeeeee
Passion Lady mbona hujaniambia kuwa pacha wako anaumwa?
Yani huyu pacha ako ni noma, umepona lakini?
usione aibu mama muuza vitumbua wateja hawato kukimbia ila tu ujirekebishe la sivyo biashara ya mapupu itakuhusu
nimepona my dear, nakushangaa sana hata wewe jamani unakosa hizi taarifa?
Lady Doctor...
Mungu yu pamoja na wale wamchao na kumuamini..
Nasi hatuchoki kuomba juu ya afya yako,kwani tuna imani ya kua Mungu wetu ni mwema sana,na atasikia Maombi yetu...
Get well soon our Lady Doctor...
Si huyo pacha ako! Sijui Ruttashobolwa alimbana sana....
Pole sana Lady doctor,tunakuombea upone haraka uendelee na majukumu ya kulitumikia taifa!Get well soon
Alafu wewe Passion Lady mbona hujaniambia kama pacha wako anaumwa?Unataka nionekane sijali eheee!!
afu pacha hiyo habari kaongea mumeonadhani hii habari njema kwa Eli79 sasa ndio wakati wake wa kumuoa pacha angu Passion Lady
hahahaaa...... Hivi Ruttashobolwa yupo mtaa gani pacha?