Upone haraka binti yangu....mimi na mama yako mkubwa na wote twakuombea urejelee uzima.
Ugua pole Lady doctor................ nipo shamba nachimba mizizi nikuchemshie unywe
Ugua Pole Shem ladydoctor
pole lady doctor..inshallah allah atakupa afya njema!
Get well soon Lady doctor..GOD is good utapona very soon. Arushaone make sure wife anapata matibabu.
watu8 pole kwa kuuguliwa na binti yako.
Pole sana Lady doctor , Kwa uweza wa Mwenyezi Mungu utapona na kurejea katika afya yako, pamoja.
Ugua pole dada nakuombea upone haraka mwenyezi mungu awe nawe
Arushaone pole nawewe najua unateseka naye maana Lady doctor kwa kudeka ila atapona msijali
Pole zake sana kwa Lady doctor.. Mungu atamsaidia atapata nafuu.. Arushaone anajua jinsi ya kumuangalia mgonjwa vzuri..
BTW hata mie ninauguliwa shemeji yenu Paloma hakuwa vzuri.. Ila ninashukuru Mungu anaendelea vzuri japo bado yuko hom..
yaani kaka hata mie mmenisahau kunipa taarifa kuwa cousin wangu anaumwa vibaya hivyo mlivyofanya
au kwasababu nikko mbali na upeo wa macho yenu?
ugua pole my cousin Lady doctor ninakuombea best wangu wa moyo