Get well soon Lady Doctor!

Get well soon Lady Doctor!

^^
Pole sana best Lady doctor pia am sorry nimepoteza mazoea ya kuchungulia huku cc tangu siku ilee nilipoaga jukwaa ndo maana sikujua unaumwa!
Usijali Best..tunakupenda na tunakuombea
^^

Asante sana best angu Himidini, natambua fika kuwa umeshakata mguu huku ndio maana nikakutaarifu
 
Last edited by a moderator:
Ndugu wana chitchat, napenda kuwashukuru sana kwa maombi yenu kiukweli naendelea vyema sasa.

Pia napenda kumshukuru sana mume wangu mpenzi Arushaone kwa kuwa nami kipindi chote hiki akiniuguza, Mungu akubariki sana mume wangu, umejitoa sana kwa ajili yangu nathubutu kusema wewe ni mume mwema kwangu. NAKUPENDA!!!!!

bila kumsahau shemeji yangu kipenzi Erickb52, jamani ubarikiwe we mkaka, ulikuwa ukinifariji sana na kunitia moyo sana, UBARIKIWE SANA!

Sina mengi jamani zaidi ya kuwashukuru members wenzangu woote bila kuwasahau wale walio ni Pm na walio nicall pia, MUNGU AWABARIKI NYOOTE!

NAWAPENDA SANA

Only three words will be enough for now:



I LOVE YOU.
:busu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom