Gerson Msigwa, Rais Samia angekuwa na uchungu na wananchi asingekubali tozo na maisha kuwa ghali namna hii

Niko Mbeya leo nimetoka Mikumi.
Nimepanda coaster zilizokodiwa na mashabiki wa Yanga na Simba.
Zinarudisha mashabiki hao Irnga na Mbeya.
Yaani watu wamepagawa kwa ushabiki, hiyo hali ngumu unayoisema ni yako wewe.
Kumbuka hawa ni watu wa kawaida tu wamechangishana mpk wamekodi mabasi kwa starehe zao tu.
Sasa ww endelea kuomboleza Msiba wenu tahamaki umezeeka kwa chuki zako
Non sense
 
Hivi katika akili yako unajua unga ukiuzwa 6000 mbolea bei itabakia hapo hap, vipi bei ta vitu vingine bei itabakia hiyo hiyo
Nmechoka na hayo makadirio yenu,mahindi yaliwahi kuuzwa tsh 30,000 kwa gunia mwaka Jana Kama sijakosea,unakumbuka mbolea ilikuwa tsh ngap?,mafuta ya kula je yalikuwa tsh ngapi?

Kwa hiyo hivyo vitu vingine unavodai vitapanda eti kisa Unga umepanda ni vitu gani?,nachelea tu kusema nafaka haijawahi kuwa na value kwa nchi yetu mpaka kusababisha kila kitu kikapanda bei

Natamani unga upande uendane kabisa na ongezeko la bei ya mbolea.
Hatuwezi kuzuia mfumuko wa bei kwa kufunga mipaka eti nafaka tusiuze nje,tafuteni Wana uchumi wawape mbinu za kupunguza inflation.
Njia haiwezi kuwa moja tu,eti kufunga mipaka!!!!!!!
Mnatuonea Sana sisi wakulima wa nchi hii.
 
Suala la tozo lilikuwa ni wizi wa wazi kabisa kwa mwananchi. Ila kwa vile wananchi sisi ni dhoho tabu. Ndo maana tunaumia ila ndo hivyo tena pamoja na kuumia ndoho tabu n
 
Yaani nikatwe PAYE, VAT na mengineyo pia Wanikate na ATM withdraw?


Tafuteni vyanzo vya mapato acheni ujinga
 

Attachments

  • 20220815_083331.jpg
    20220815_083331.jpg
    199.1 KB · Views: 2
  • 20220815_083411.jpg
    20220815_083411.jpg
    199.2 KB · Views: 2
Kama kweli mh halali ni bora awe analala tu.Maana hamna cha maana anachofanya.Tozo ziko juu kuliko nchi zote jirani Africa mashariki na kati.Sasa kama kweli halali kwa nini uchumi unaporomoka kila siku

Sent using Jamii Forums mobile app
Haha mkuu umenikumbusha classmate wangu alikua anaitwa Rashidi .

Alikua anapenda sana hesabu,

Anakesha akisolve hesabu tu lakini mtihani ukija akijitahidi sana anapata C.

Ukimuuliza Rashid unasoma nini anakuambia nasolve mathe.

Ila Mungu na maajabu yake sasa hivi amekamatia kitengo mahali mambo yanakwenda.
 
Vyakula vimepanda bei.

Nafaka zinauzwa nje ya nchi na kusababisha maisha kuwa ghali

Maisha yamekuwa ghali.

Tozo za kila namna zinaumiza wananchi wa chini.

Sasa unaleta porojo!

View attachment 2323732
Acha UCHOCHEZI ugumu wa maisha hauletwi na Rais yeyote yule ni wewe tu na uvivu wako.

TOZO NI KWA AJILI YA MAENDELEO YA TAIFA ( LAZIMA WATZ TULIPE KODI ILA PIA LAZIMA ITUMIKE IPASAVYO. )....
 
Back
Top Bottom