GE2025 George SimbaChawene can be the best PM if appointed

GE2025 George SimbaChawene can be the best PM if appointed

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Hello GT!
With due respect to NRE and whatever results that can be achieved, baada ya uchaguzi mkuu 2025 kukamilika mtajwa ana uwezo mkubwa wa kuwa PM ikiwa mamlaka itamuona na kumpa nafasi hiyo.
Sababu zitokanazo na mtazamo wangu;

1. Mtajwa ana busara, hekima na uwezo wa kuongoza.
2. Ana uhimilivu wa hoja kinzani.
3. Ana uwezo na utayari wa mijadala hasa kwenye hoja ngumu za kitaifa.
4. Nafikiri ni mcha Mungu.
5. Ni mnyenyekevu katika matamshi yake. (Sisi watanzania wa kawaida tusingependa kugombezwa ovyo na kutwezwa utu wetu).
5. Nafikiri mtajwa ni mzalendo.
6. Ninamtakia mafanikio.
Mbukoi Mbokom.
Namba 4 hapo 😂🙌
 
Hello GT!
With due respect to NRE and whatever results that can be achieved, baada ya uchaguzi mkuu 2025 kukamilika mtajwa ana uwezo mkubwa wa kuwa PM ikiwa mamlaka itamuona na kumpa nafasi hiyo.
Sababu zitokanazo na mtazamo wangu;

1. Mtajwa ana busara, hekima na uwezo wa kuongoza.
2. Ana uhimilivu wa hoja kinzani.
3. Ana uwezo na utayari wa mijadala hasa kwenye hoja ngumu za kitaifa.
4. Nafikiri ni mcha Mungu.
5. Ni mnyenyekevu katika matamshi yake. (Sisi watanzania wa kawaida tusingependa kugombezwa ovyo na kutwezwa utu wetu).
5. Nafikiri mtajwa ni mzalendo.
6. Ninamtakia mafanikio.
Mbukoi Mbokom.
Ccm inahazina ya viongozi wengi na wote wanatafuta ugali mkubwa kwa kadri ya uwezo wao acha mida utaongea.
 
Hello GT!
With due respect to NRE and whatever results that can be achieved, baada ya uchaguzi mkuu 2025 kukamilika mtajwa ana uwezo mkubwa wa kuwa PM ikiwa mamlaka itamuona na kumpa nafasi hiyo.
Sababu zitokanazo na mtazamo wangu;

1. Mtajwa ana busara, hekima na uwezo wa kuongoza.
2. Ana uhimilivu wa hoja kinzani.
3. Ana uwezo na utayari wa mijadala hasa kwenye hoja ngumu za kitaifa.
4. Nafikiri ni mcha Mungu.
5. Ni mnyenyekevu katika matamshi yake. (Sisi watanzania wa kawaida tusingependa kugombezwa ovyo na kutwezwa utu wetu).
5. Nafikiri mtajwa ni mzalendo.
6. Ninamtakia mafanikio.
Mbukoi Mbokom.
Acha utapeli
 
Mtoto wake ndio atakuwa jeuri zaidi alipokuwa waziri mambo ya ndani mwanae aliwatukana matrafic na hajachukuliwa hatua yoyote
 
Back
Top Bottom