Mjue the world president under freemasonry and illuminati to supress the third eye of human being

raphew

Senior Member
Jul 8, 2016
119
121
Huyu ndie kiongozi mwenye mamlaka makubwa duniani kuliko mtu wa aina yoyote

Adolfo Nicholas ni member wa JESUIT GROUP ambalo lipo chini ya Roman catholic, vatican city
Jesuit ndio members wakubwa dunian ambapo zile familia 13 bora zinazotawala dunia katika nyanja zote kiuchumi,kielimu,kisiasa na hali yoyote ile ambayo weww mwanadamu wa kawaida ni ngumu au ni vigumu kujua

Mwanzilishi wa Jesuit ni father IGNATUS OF LOYOLA ambae ni mwanzilishi wa shirika hili ambalo lipo chini ya roman catholic church nchini vatican .napaita nchini vatican kwa sababu ni mji uliojitosheleza kuzid nchi yoyote ile dunian kwan ni nchi ambyo kila taifa linawakiishwa na barozi wake pale..

Lengo kubwa la jesuit ni kuhimiza upendo unaoambatana na malezi bora katka misingi ya huruma na utu wa mwanadamu lakini kiukweli ni shirika linaloongoza duniani kutoa misaada mingi sana duniani kote kwan hawa hawa ndio wanaosponsor shule zote ikiwemo institute kubwa kubwa pamoja na univrmersity kubwa duniani kutoa elimu bora ili kaundaaa watu wanaoitwa ellite group watakaokuja kuiongoza dunia kwa misingi na kanuni za JESUIT FATHERS..
Ignatius loyola alianza kuliongoza grup hili la jesuit fathers mwaka 1544 ambapo ndio alianza kulitumikia chini ya illuminant conspirancy ambao misingi yao yote ni kutaka kuiongoza dunia kwa mamlaka ya kanisa katoliki iloyojaaa upendo wa linafiki lakini misingi yao mikubwani kuunda mfumobwa dini moja ulimwenguni under one government ili kukamilisha mpango wa new world order ambayo kimaingi ni hatua ambayo shetan kapanga kuchukua idad kubwa ya watu ambao watakuwa katika himaya yake..

Lakin basae kiongozi huyu mwanzilishi wa jesuit alifairik dunia na kuancha mikoba kwa Diego laynez badae huyu akalisisha mikoba kwa Francis Borgia


Ilipofika mwaka 2008 alichaguliwa black pope mwingine ambae ndio hivi leo tunamuita Aldofo Nicholas ambae anachaguliwa na balaza la watu wenye upeo mkubwa fremasonry and illuminant members ambao hawa ndio wanampitisha kuwa kiongozi qa jeauit fathers ambae huyo ni mtawala mkubwa duniani japo ni kwa siri kubwa sana ila ana wakilishwa na THE WHITE POPE ambae ndio kwa sasa pope Francis wa 16..

The white pope amevaa kazi ya the black pope ambae ndiowenye saut kubwa dunian ..amevaaa position hiyo ili kuficha ubaya na ukatili wa utendaji kazi wa the black pope

Anamqakilisha katika mikataka ya kishetani yenye siri nzito katika kutimza utawala wa kishetan juu ya dunia hii....

Wana utaratibu wa jins anavochaguliwa huyu black pope ikitokea kuna mmoja wapo kama ametoweka duniani au amefariki dunia..na ukishachaguliwa kuna kiapo cha siri ambacho hakika utapaswa kuaapa juu ya siri nzito iliyopo dhidinya utawala wa kishetani..
""
"" I furthermore promise and declare that I will, when opportunity present, make and wage relentless war, secretly or openly, against all heretics, Protestants and Liberals, as I am directed to do, to extirpate and exterminate them from the face of the whole earth; and that I will spare neither age, sex or condition; and that I will hang, waste, boil, flay, strangle and bury alive these infamous heretics, rip up the stomachs and wombs of their women and crush their infants’ heads against the walls, in order to annihilate forever their execrable race. That when the same cannot be done openly, I will secretly use the poisoned cup, the strangulating cord, the steel of the poniard or the leaden bullet, regardless of the honor, rank, dignity, or authority of the person or persons, whatever may be their condition in life, either public or private, as I at any time may be directed so to do by any agent of the Pope or Superior of the Brotherhood of the Holy Faith, of the Society of Jesus.”

“In confirmation of which, I hereby dedicate my life, my soul and all my corporal powers, and with this dagger which I now receive, I will subscribe my name written in my own blood, in testimony thereof; and should I prove false or weaken in my determination, may my brethren and fellow soldiers of the Militia of the Pope cut off my hands and my feet, and my throat from ear to ear, my belly opened and sulphur burned therein, with all the punishment that can be inflicted upon me on earth and my soul be tortured by demons in an eternal hell forever!”""

Hicho ndio kiapo anachokula wakati wa kaapa kulipngoza grup la Jesuit fathers ambao ndio wanaomiliki benk zote duniani na mashirika yote ya misaada duniani likiwemo WHO.UNESCO,UN na hata taasis zote kubwa duniani ukiachilia mbali na nchini zinapotokea au kube owned..

Jesuit fathers wanasambazo nguvu ya kishetan katika nchi mbali mbali duniani kote ikiwa ni kqa siri kubwa ili wtu wasitambue nia yao kubwa ni nini na lengo kubwa ni nini...ndio maana jarib kujiuliza kwanini shule zote za dini ya roman catholic nqmqnisha seminari zina sheria kali sana yan ukifanya kosa ndogo tu yan huwa hakuna msamaha ni kufukuzwa shuleni mara moja tena unafukuzwa kama nyani uliekosa mahali lakini ukitazama ndio hao hao wanaohimiza upendo oohooo tupendane na msamehe 7 mara 70blqkini kwanin wao waroma au utawala wa kirumi unapofanya kosa unaondoahwa mara moja?.yan hii yote ni kutaka kubakiza idadi ndogo ya watu ambayo itakuwa ni ELLITE (LITERATE)kias kwamba ndio itakuja kuwacontrol large number of people ambao ni ILLITERATE
NDIO Maana mapadri wana phalisafa kali sana uwez ukabishana nae atakushinda tu kwani wame ne trained to roll ip and control group of people while enhancing roman catholic empire kuandaaa unabiii w kitabu cha DANIEL NA UFUNUO UTIMIE..
hakika lazima unabii utimie...
Kazi kubwa ya black pope ni kuwa na power over the world under white pope ambae hakika ndio mtaala wa dunia anakuja kutawazwa chini ya uangalizi wa mataifa makubwa kama marekani na rusia pamoja na nchi za magharibu kuhimiza watu kuikubali chapa ya alama ya mnyama ambayo ni 666 pia ni hesabu ya kibinadamu..
VICARIUS FILLI DEI..yan VICAR SON OF GOD..
ni neneo la kilatini hilo ambalo limebeba maana halis ya 666 namba na chapa ya mnyama ambae hakika anakuja kuupisha utawala wa kishetani under luminant conspiracy zao..
Ni ipi hasa kazi kubwa ya the black pope..
??

Black Pope Adolfo Nicolas, Superior General of the Society of Jesus Diabolical Plan for a New World Order.


1. The Superior General of the Jesuits The Black Pope, Adolfo Nicolas and his 6 generals control the “White Pope” Pope Benedict XVI and the Vatican.
2. The Illuminati, Zionists,globalist Elites, Council on Foreign Relations, Bilderberg group, Freemasons, Council of 300 and the evil Council of Trent.
3. The Jesuits control the Knights Templar, Knights of Columbus and the Knights of Malta.
4. The CIA, FBI, NSA, ASIO, MI5, MI6, NCIS, FSB, DGSE, Mossad and every intelligence agency in the world are masonic and controlled by the Jesuits.
5. The Jesuits have infiltrated all governments & Leaders like Obama, Rudd, Blair, Jintao, Sarkozy, Peres are only puppets that carry out Jesuit orders.

Superiors General are elected by the General Congregation of the Society, summoned upon the resignation, retirement or death of an incumbent. Superiors General are elected for life and almost all have served life terms, the exceptions being Father Pedro Arrupe (resigned for reasons of failing health) and his successor, Father Peter Hans Kolvenbach. Kolvenbach’s resignation was announced in February 2006, which led to the convocation of the 35th General Congregation. That General Congregation elected the current Superior General of the Society, Father Adolfo Nicolás, who succeeded Kolvenbach.

Hakika huyu the black pope pamoja na jwsuit fathera ndio wanaopanga nani awe kiongoI wa dunia sehem flani..
Wanaweza wakapanga kati ya Donald trump na Hillary clinton nani awe mtawala wa marekani na haitapingika kwani wanahitaji mtu ambae atajivisha ngozi ya kondoo ili aendeshe kwa misingi ya kishetani ili kupisha pembe ndogo kuitawala dunia kwa njia ya kiiluminant na freemasonry..
Ndio wanaomilika media zote ulimwwnguni ikiwemo sky sports tv ,trace music tv kwa upande wa entertainment pia wanamiliki Aljaziera ambayo hakika ndio inayotoa taarifa za dunia pia BBC n.k..
Lakin pia hawa hawa jesuit ndio wanaoandaa conditions zinazoendesha namna nchi za kiaskini jins ya kupata misaada ya kimataifa ikiwemo kuzipa mashart magumu ili ziweze kupata ..mojawapo ya mashart magumu ni kamaa kuruhusu ushoga kama sehem ya starehe.ndo mama navosema papa ambae ni white pope kavaaa ngozi ya kondoo ya the black pope ambae ndio msemaji mkubw w ulimwengu wote..
Hiv sasa huyu ambaye ndio wanmuita papa yan bado kila kukicha anatunga namna atakavyolidanganya kanisa lliruhusu ushoga kama deaturi ya kawaida lakini pia anajiandaaa kutangaZa kuwa arbotion now iwe ni optional kwa dada zetu kwan kuzaaa sio lazima ndio mana juzi kasikika huko uganda akisema waacheni wanaodhani ushoga ni njia ya kumtafuta mungu pia kasikika akisema kama mwanamke kabeba mimba kwa bahati mbaya mwacheni afanye uamuz make ni hiari yake kubeba au lala
Kwa hiyo kila kiongoz anaewekwa kuwa kiongozi sehemu flan lazima ahakikishe kabla hajaodoka madarakani lazima awe ametimiza moja mbili tatu kuhus mpango wao wa N.W.O..ndio maana obama aliwwkwa pale kwa ajili yao kwa ajenda ya siri ili aruhusu vitu kadhaa viwe vimetimia kmaa sio kusambaaa kwa kias flan dunian kote kama misingi ya kishetan inavozungumza...


The”NEW WORLD ORDER” is the GLOBAL TOTALITARIANISM dream that a BANKER called Mayer Amschel Rothschild, helped revive in 1760’s to protect his private bank from global government regulation. His grand blue print is best described by his paid social engineer called Dr. Adam [Spartacus] Weishaupt, Professor of Canon Law in the university of Ingolstadt. Weishaupt adopted the term “Illuminati.” This nightmare is still sought after today by their family’s decedents. Below is the ‘outline’ Weishaupt set out for his banker financier master! Carefully notice the similarities between Karl Marx’s 10 Plank’s of his Communist Manifesto and Weishaupt’s outline. Also, please read Communism & The New World Order.

The blue print for the NWO is:
* Abolition of all ordered governments
* Abolition of private property
* Abolition of inheritance
* Abolition of patriotism
* Abolition of the family
* Abolition of religion
* A global population of 500 million
* Creation of a world government

Mayer Amschel Rothschild 1828 “Allow me to issue and control the money of a nation, and I care not who writes the laws.” [Even a 4 year old can understand that people with control of money…write the laws!]

“Some of the biggest men in the United States, in the field of commerce and manufacture, are afraid of something. They know that there is a power somewhere so organized, so subtle, so watchful, so interlocked, so complete, so pervasive, that they had better not speak above their breath when they speak in condemnation of it.” – Woodrow Wilson

Hakika tunaishi katika ulimwengu ambao umegawanyika katika matawi ya shetani ambayo yote yapo katika under the same conspirancy ya illuminant and freemasonry..

The Jesuit General rules the world through his provincials. And the provincials then, of course, rule the lower Jesuits, and there are many Jesuits who are not “professed”, so many of the lower Jesuits have no idea what’s going on at the top. They have no concept of the power of their Order.

It’s just like Freemasonry. The lower have no idea that the High Shriner Freemasons are working for the Jesuit General. They think that they’re just doing works and being good people. But the bottom line is that the high-level Freemasons are subject, also, to the Jesuit General because the Jesuit General, with Fredrick the Great, wrote the High Degrees, the last 8 Degrees, of the Scottish Rite Freemasonry when Fredrick protected them when they were suppressed by the lPope in 1773.

So, you have the alignment with the Jesuit Order and the most powerful Freemason they had in the craft, Fredrick the Great, during their suppression. That is an irrefutable conclusion. And then, when you see the Napoleonic Wars, the French Revolution and the Napoleonic Wars carried out by Freemasonry, everything Napoleon did, and the Jacobins, whatever they did, completely benefited the Jesuit Order.
Jesuit ndio wanaoanzisha vyuo vingi duniani vyenye misinginya kutoa elimu kwa watu wote bila kubagua dini ya mtu lakin ajenda yao kubwa ni kutawanya elimu ambayo inamfumo amabao utawabana watu kuffuata nyao zao na masharti yao ..
Mfano mzuri hapa tanzania tuna chuo cha SAUT ambacho kipo chini ya roman catholic church unaweza ukaona jins kivo sambaa kwa kasi tanzania nzima nafikiri ndio chuo kinachoongoza kuwa na matawi mengi nchini..
Jarib kufuatilia kila tawi naman linavoendeshwa kwa misingi ya kirumi tena ukizingua kidgo tu unafukuzwa mara moja...
Hata serikali hii inapokea mwongozo toka vatican ndio mana hutasikia hata siku moja serikali inaleta nyoko nyoko mbele ya kanisa catholic..awe ni rais ni kuongoza kwa kanunu za kuliruhusu kanisa katoriki kujitawanya kwa nguvu zote bilabkupingwa na mtu yoyote .
Fuatilia wanafunzi wote walioko vyuo vyote vya saut kabla ya kuanza kipind wanasali sali zipi..yani ni sala ambazo ni za kwao hakika hiyo yote ni kAI ya adolfo nicholas...

Black Pope is the ‘President of the World’

He is the most powerful man on Earth, who rule over Maritime Laws (business) . He controls the banking system, Freemasonry and the Secret Services (CIA, FBI, NSA, SIS, MI6, Scotland Yard, Mossad, CSIS, DGSE, FSB). The Vatican owns 60% of all Israel lands and the Land of the Temple Mount for their Third Solomon’s Temple where they want their throneHe is a part of the Arcana Arcanorum controlled by the Papal Bloodlines within the I-Mori. These bloodlines are the omega point of control. These are the Farnese, ORSINI, Aldobrandini, Somaglia & Breakspear. Their war room command center is within the Borgo Santo Spirito which is missile protected! Viktor Emmanuelle IV wanted to nuke this region of Rome. Henry Breakspear and Pepe Orsini are in high control! Jesuit Assistancy Soldier, James Grummer controls the United States Corporation.

Tafakali sana juu ya jesuit fathers na nia yao kubwa ni nini katika kuitawala dunia kwa siri kubwa kupitia misaada yao duniani lakini ni kwa mashart makubwa sana ambayo misingi yake mikubwa ni kuruhusu nchi mbali mbali kuuruhuau utawala 11
pembe ndogo (UTAWALA WA KIRUMI ) katika kuitawala dunia kwa sheria za kishetani..
.......................................
 
362a39b656d05b6b219c6e192c3d6627.jpg
 
ha ha...
kama ndo hivyo basi huyo mungu hana chake..!!

kama roma ndo wanafanya hayo yote basi hata biblia nazani ni mpango wao,ila sasa wanataka kututoa stage fulani kwenda stage nyengine.
Vipi sasa kwa mungu anaehubiriwa kila siku na hili analifumbia macho..?
Ama anapenda kuona matukio haya wakati anauwezo wa kusaidia..?
 
ha ha...
kama ndo hivyo basi huyo mungu hana chake..!!

kama roma ndo wanafanya hayo yote basi hata biblia nazani ni mpango wao,ila sasa wanataka kututoa stage fulani kwenda stage nyengine.
Vipi sasa kwa mungu anaehubiriwa kila siku na hili analifumbia macho..?
Ama anapenda kuona matukio haya wakati anauwezo wa kusaidia..?
Wachache watakuelewa..nini unamaanisha...ila its my prayer watu wakuelewe unamaanisha nini mkuu_coz una hoja nzito sana.
 
Wachache watakuelewa..nini unamaanisha...ila its my prayer watu wakuelewe unamaanisha nini mkuu_coz una hoja nzito sana.
mkuu mbona maneno ya kuelewaka tu haitaji tution..
wapi hujaelewa..?
 
mkuu mbona maneno ya kuelewaka tu haitaji tution..
wapi hujaelewa..?
Mimi nimekuelewa sana mkuu...ila its my wish watu wengine wakuelewe vizuri hoja yako kama nilivyokuelewa mimi mkuu_maake ina logic kubwa na nyingi mno.
 
Nakubaliana na wewe mleta mada kwa upande mmoja.

Najumbuka uchaguzi wa Tanzania uliopita, nadhani hii nguvu ya "Papa mweusi" ilifanya kazi. Naimani Lowassa alushindwa sababu alikuwa mluteri japo ilionekana kuwa alikuwa na wafuasi wengi kumshinda yule wa upande mwingine ila tatizo Nathani alikuwa na msimamo unaopingana na huyo Papa mweusi.
 
Mimi nimekuelewa sana mkuu...ila its my wish watu wengine wakuelewe vizuri hoja yako kama nilivyokuelewa mimi mkuu_maake ina logic kubwa na nyingi mno.
asante kwa kunielewa...
 
Nakubaliana na wewe mleta mada kwa upande mmoja.

Najumbuka uchaguzi wa Tanzania uliopita, nadhani hii nguvu ya "Papa mweusi" ilifanya kazi. Naimani Lowassa alushindwa sababu alikuwa mluteri japo ilionekana kuwa alikuwa na wafuasi wengi kumshinda yule wa upande mwingine ila tatizo Nathani alikuwa na msimamo unaopingana na huyo Papa mweusi.
Depo mpya hata kuandika hajui,sishangai ukiwa Das au ded
 
Back
Top Bottom