Hello GT!
With due respect to NRE and whatever results that can be achieved, baada ya uchaguzi mkuu 2025 kukamilika mtajwa ana uwezo mkubwa wa kuwa PM ikiwa mamlaka itamuona na kumpa nafasi hiyo.
Sababu zitokanazo na mtazamo wangu;
1. Mtajwa ana busara, hekima na uwezo wa kuongoza.
2. Ana uhimilivu wa hoja kinzani.
3. Ana uwezo na utayari wa mijadala hasa kwenye hoja ngumu za kitaifa.
4. Nafikiri ni mcha Mungu.
5. Ni mnyenyekevu katika matamshi yake. (Sisi watanzania wa kawaida tusingependa kugombezwa ovyo na kutwezwa utu wetu).
5. Nafikiri mtajwa ni mzalendo.
6. Ninamtakia mafanikio.
Mbukoi Mbokom.
With due respect to NRE and whatever results that can be achieved, baada ya uchaguzi mkuu 2025 kukamilika mtajwa ana uwezo mkubwa wa kuwa PM ikiwa mamlaka itamuona na kumpa nafasi hiyo.
Sababu zitokanazo na mtazamo wangu;
1. Mtajwa ana busara, hekima na uwezo wa kuongoza.
2. Ana uhimilivu wa hoja kinzani.
3. Ana uwezo na utayari wa mijadala hasa kwenye hoja ngumu za kitaifa.
4. Nafikiri ni mcha Mungu.
5. Ni mnyenyekevu katika matamshi yake. (Sisi watanzania wa kawaida tusingependa kugombezwa ovyo na kutwezwa utu wetu).
5. Nafikiri mtajwa ni mzalendo.
6. Ninamtakia mafanikio.
Mbukoi Mbokom.