Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,483
- 159
Wakulu Heshima Mbele,
Ni kawaida yangu kipindi cha sikukuu kuwasiliana na watu walioko nyumbani kujua khali ya maisha ikoje na kuwatumia japo pesa kidogo kwa ajili ya kusherekea sikukuu ya kuzaliwa kwa Bwana Yesu.
Kabala hata sijaanza kuuliza maisha yakoje,Mjomba akaniambia alikuwa akisoma gazeti moja la kiswahili la leo na wameandika makala moja ya kuelezea maisha ya Mwanasheria wa zamani wa wizara ambayo mjomba alikuwa akifanya kazi, ambaye baadaye alikuwa Msajili wa Vyama vya siasa ndugu George liundi.
Mjomba likuwa na huzuni hasa anakumbuka jinsi Liundi alivyokuwa muadilifu.Makala hiyo imeelezea jinsi anavyoishi maisha duni ya kupanda daladala na kuishi uswahili tofauti na jinsi alivyotumika kwa uadilifu katika sehemu mbali mbali za wizara na taasisi za serikali.
Maneno ya mjomba yameniangia sana kichwani mwangu,Mtu kama George ambaye alishawahi kuwa katibu wa wizara hana mali ambazo zinafikia bilioni 2(alizonazo katibu mstaafu Mgonja).Haishi mikocheni katika jumba la kifahari kama analomiliki Mgonja.Mgonja kaniambai anaishi mabibo tena mbali kusiko kuwa na Barabara .
Hivi yule mzee mmoja ambaye alikuwa aktibu mkuu wa baraza la mawaziri na alitelekezwa yuko wapi?
Nimesikitika sana na kama kuna mtu ana namba ya Mzee Huyu naomba anipe nahitaji kuzungumza naye ili aende kwa mjomba wakaongee.KLH News naomba mfanye jithada za kuzungumza naye kwa kuwa ana siri nzito ambazo hata mjomba mwenyewe kashtuka.Anawajua mamluki wote waliopandikizwa katika vyama vyetu
Nimemwambia Mjomba atafute sehemu ascan gazeti na anitumie habari hiyo niiweke hapa.Aliniambia ni gazeti la Nipashe ila sijaona makala hiyo kwenye tovuti ya IPP
Ni kawaida yangu kipindi cha sikukuu kuwasiliana na watu walioko nyumbani kujua khali ya maisha ikoje na kuwatumia japo pesa kidogo kwa ajili ya kusherekea sikukuu ya kuzaliwa kwa Bwana Yesu.
Kabala hata sijaanza kuuliza maisha yakoje,Mjomba akaniambia alikuwa akisoma gazeti moja la kiswahili la leo na wameandika makala moja ya kuelezea maisha ya Mwanasheria wa zamani wa wizara ambayo mjomba alikuwa akifanya kazi, ambaye baadaye alikuwa Msajili wa Vyama vya siasa ndugu George liundi.
Mjomba likuwa na huzuni hasa anakumbuka jinsi Liundi alivyokuwa muadilifu.Makala hiyo imeelezea jinsi anavyoishi maisha duni ya kupanda daladala na kuishi uswahili tofauti na jinsi alivyotumika kwa uadilifu katika sehemu mbali mbali za wizara na taasisi za serikali.
Maneno ya mjomba yameniangia sana kichwani mwangu,Mtu kama George ambaye alishawahi kuwa katibu wa wizara hana mali ambazo zinafikia bilioni 2(alizonazo katibu mstaafu Mgonja).Haishi mikocheni katika jumba la kifahari kama analomiliki Mgonja.Mgonja kaniambai anaishi mabibo tena mbali kusiko kuwa na Barabara .
Hivi yule mzee mmoja ambaye alikuwa aktibu mkuu wa baraza la mawaziri na alitelekezwa yuko wapi?
Nimesikitika sana na kama kuna mtu ana namba ya Mzee Huyu naomba anipe nahitaji kuzungumza naye ili aende kwa mjomba wakaongee.KLH News naomba mfanye jithada za kuzungumza naye kwa kuwa ana siri nzito ambazo hata mjomba mwenyewe kashtuka.Anawajua mamluki wote waliopandikizwa katika vyama vyetu
Nimemwambia Mjomba atafute sehemu ascan gazeti na anitumie habari hiyo niiweke hapa.Aliniambia ni gazeti la Nipashe ila sijaona makala hiyo kwenye tovuti ya IPP