Chibike
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 4,896
- 7,523
Endelea kusubiri hio Haki ..sawa..wanaona na familia yako itakula hio hakiIli wadai haki zao zilizoporwa na maCCM na serikali dhalimu ya Nduli SASHA. Hata Nyerere alipowasapoti wapigania uhuru wa kusini mwa Afrika, hakwenda yeye front line. Wala Jana hujamwona Samia na mawaziri wake wakipiga doria barabarani. Hivyo kuwa na akili hata ya kuvukia barabara ebo!