Gen Z wanapanga maandamano mapya ya Januari 29

Gen Z wanapanga maandamano mapya ya Januari 29

Nyumbu wakiandamana mitandaoni

1765390572550.png
 
Daa Hawa vijana hawapoi, Baada ya D9 kufeli Gen Z wamefanya analysis na kuchagua siku ya alhamis ya tarehe 29 January 2026 kuwa siku ya maandamano ya kudai haki.

Wamechagua siku ya kazi, huu ni mtego kwa serikali maana maandamano siku ya kazi ni vigumu kuzuia movement za watu.

Na maandamano yanaua uchumi na utalii.

Any way ni J29

AIone
Wambura
Simbachawene.

Mto wa mbu
Illinois-USA
Wewe mwenyewe uko illnois marekani..unawaambia watu watoke uko ulaya huko kwenye fursa ila unawaambia vijana maskin watoke waandamane...nlijua hata unnawapa mchongo wa kuingia marekani ...
 
Back
Top Bottom