Gen Z wanapanga maandamano mapya ya Januari 29

Gen Z wanapanga maandamano mapya ya Januari 29

Kijana kabla ya kuandamana waza mambo yafuatayo

Una familia yako
unaweza kuuliwa
unaweza kupewa ulemavu
Unaweza kupewa kesi ya ugaidi na ukafungwa kifungo cha maisha jela au kunyongwa

VUMILIA KUWA NA SUBRA HAKUNA KIONGOZI ANAKAA MADARAKANI MILELE , IKIWA HAUMPENDI KIONGOZI SUBIRI MUDA WAKE UTAFIKA ATATOKA NA SIO KUTUMIA MAANDAMANO AMBAYO NIMEKUWEKEA MADHARA YAKE


KWA PAMOJA TUNASEMA VIJANA TULINDE UHAI WETU NA TUKATAE VURUGU KWAKUWA HAKUNA MTU WA KUULINDA UHAI WETU ZAIDI YETU
Kijana kabla ya kuandamana waza mambo yafuatayo

Una familia yako
unaweza kuuliwa
unaweza kupewa ulemavu
Unaweza kupewa kesi ya ugaidi na ukafungwa kifungo cha maisha jela au kunyongwa

VUMILIA KUWA NA SUBRA HAKUNA KIONGOZI ANAKAA MADARAKANI MILELE , IKIWA HAUMPENDI KIONGOZI SUBIRI MUDA WAKE UTAFIKA ATATOKA NA SIO KUTUMIA MAANDAMANO AMBAYO NIMEKUWEKEA MADHARA YAKE


KWA PAMOJA TUNASEMA VIJANA TULINDE UHAI WETU NA TUKATAE VURUGU KWAKUWA HAKUNA MTU WA KUULINDA UHAI WETU ZAIDI YETU
Kiongozi kwa uchaguzi upi , hao waliopatikana kwa msaada wa tume na dola unatawala watu ambao hawakukuchagua na wewe inajiita kiongozi wao kwa uhalali upi .
 
Unaanzisha bifu na katoliki!, bora uanzishe na kina gwajima, lusekelo, mwacha, geodavie na kina mwingira maana hawa ni wa hapahapa ukiwafutia usajili imetoka hiyo. Katoliki ni ya dunia nzima mpaka ina balozi wao UN. Ogopa sana katoliki
 
Unaanzisha bifu na katoliki!, bora uanzishe na kina gwajima, lusekelo, mwacha, geodavie na kina mwingira maana hawa ni wa hapahapa ukiwafutia usajili imetoka hiyo. Katoliki ni ya dunia nzima mpaka ina balozi wao UN. Ogopa sana katoliki
 
Unaanzisha bifu na katoliki!, bora uanzishe na kina gwajima, lusekelo, mwacha, geodavie na kina mwingira maana hawa ni wa hapahapa ukiwafutia usajili imetoka hiyo. Katoliki ni ya dunia nzima mpaka ina balozi wao UN. Ogopa sana katoliki
 
Sasa utashindana na TEC? Wale ni wasomi watupu wa kiwango cha juu cha elimu, hakuna ngumbaru pale, sio kama wale masheikh ubwabwa wanaopayuka hovyo kutishia amani ya nchi.
 
Sasa utashindana na TEC? Wale ni wasomi watupu wa kiwango cha juu cha elimu, hakuna ngumbaru pale, sio kama wale masheikh ubwabwa wanaopayuka hovyo kutishia amani ya nchi.


DEGREE YA DINI (THEOLOGY) NA YENYEWE UNAIITA DEGREE?
 
Sasa utashindana na TEC? Wale ni wasomi watupu wa kiwango cha juu cha elimu, hakuna ngumbaru pale, sio kama wale masheikh ubwabwa wanaopayuka hovyo kutishia amani ya nchi.
Tunawapa pongezi Elimu zao ziwasaidie kwenye kuta nne za kanisa lao, huku nje kuna watu wana mamlaka nako.
 
Tunawapa pongezi Elimu zao ziwasaidie kwenye kuta nne za kanisa lao, huku nje kuna watu wana mamlaka nako.
ndio huko nje kuna watu wana mamlaka, sasa mbona hao wenye mamlaka wa nje wanabanwa mbavu? Watafanyaje na kulifuta kanisa katoliki ni ngumu, hao sio kama kina gwajima unaweza kuwafuta muda wowote ukitaka na wakafutika! Pale roma ni mziki mnene vumilieni tu mpigwe knock out za uso
 
Tunawapa pongezi Elimu zao ziwasaidie kwenye kuta nne za kanisa lao, huku nje kuna watu wana mamlaka nako.
ndio huko nje kuna watu wana mamlaka, sasa mbona hao wenye mamlaka wa nje wanabanwa mbavu? Watafanyaje na kulifuta kanisa katoliki ni ngumu, hao sio kama kina gwajima unaweza kuwafuta muda wowote ukitaka na wakafutika! Pale roma ni mziki mnene vumilieni tu mpigwe knock out za uso
 
Tunawapa pongezi Elimu zao ziwasaidie kwenye kuta nne za kanisa lao, huku nje kuna watu wana mamlaka nako.
ndio huko nje kuna watu wana mamlaka, sasa mbona hao wenye mamlaka wa nje wanabanwa mbavu? Watafanyaje na kulifuta kanisa katoliki ni ngumu, hao sio kama kina gwajima unaweza kuwafuta muda wowote ukitaka na wakafutika! Pale roma ni mziki mnene vumilieni tu mpigwe knock out za uso
 
Achaneni na maandamano siku ya Public holiday.
Wanaosema D25 watafanikiwa.

Kwenye utawala wa Samia wakulima, wachimba madini, maji,wavuvi.. hatutoambulia kitu mpaka damu za watu Mo29 zilipwe.
wahamasishaji mliwaingia watanzania wenzetu kingi
 
Hivi mijadala yao wanaifanyiaga wapi hawa madogo?
vijana maarufu na wanaharakati ndo huwa wanatoa hizo tarehe,,,, kwa kilichotokea nadhani maandamano ya kuitisha serikali yamekufa rasmi au tunaweza sema yamepata likizo ya kudumu atleast mpaka 2030
 
Hamna huo ubavu ,kila kipigo hata chizi haweza kurudia kosa.
watu wanaharakati wamewaingiza watu kingi, alafu ndo wapo mstari wa mbele kuwalilia, kwa sasa kila mwananchi kashastuka hizi mambo ni miradi ya watu
 
Hapo umeshangaa nini? Hata huko Jeshini kuna wapuuzi pia kama wewe ,watu wajinga wajinga ambao kwao 'Tonge la Ugali ' linathamani kuliko HAKI NA UHURU WAO


Hata hivo, Wako pia Wanajeshi Wema ,na ndio walitusaidia Kupambana.


Vifo vya Mapolisi na Wanajeshi vingi vilivyoyokea, Ilikuaje???.
mkuu hivi zile screenshot za text kwamba zimetoka jeshini mlikua mnatoa wapi, maana kilicbotokea ni tofauti sana na kilichosemwa, mliwaingiza watu chaka kwa makusudi?
 
Back
Top Bottom