Gen Z wanapanga maandamano mapya ya Januari 29

Gen Z wanapanga maandamano mapya ya Januari 29

NI MJINGA PEKEE ANAYEWEZA KUAMINI KUWA, KUTAKUWA NA MAANDAMANO TAR 25th DEC
NA HII INADHIBITISHA TUNA BAADHI YA VIJANA WAPUMBAVU KABISA PENGINE KWA SABABU YA HII ELIMU YETU YA KUKARIRI TULIYO LETEWA NA WAKOLONI.
YAANI MTU MWENYE AKILI NA ALIYEKAA DARASANI PENGINE MIAKA 12, ANAFIKIRI AKIJIFICHA NYUMA YA KEY BOARD AKAANDIKA KUTAKUWA NA MAANDAMANO TAYARI YATAKUWEPO???


NDO MAANA MIMI NAWAITA NYUMBU ELIMU YA KATA IMETENGENEZA WATU WAJINGA SANA
 
TEC imewashika pabaya mno na wanaona wazi hawana pa kutokea.. BTW sijawahi kuona mtu ama kikundi au taasisi walishindana na RC na wakashinda
Leo wamepewa ajenda ya TEC angalia kila anaanzisha uzi wa TEC.
 
Japo tith ina mapungufu yake ila naamini haiwezi kuja na mkakati wa kijinga naamna hiyo.

Hiyo tith inajua nguvu na intelijensia ya kanisa katoliki. Tith inajua kanisa liko hatua nyingi mbele so haliwezi kuja na huo upuuzi.
 
Yaani huo mpango wa kienyeji unaopangwa wa kuhujumu nchi hauwezi kufanikiwa. Watakamatwa mmoja baada ya mwingine halafu, ziletwe mada za fulani ametekwa. Yaani Mhujumu kwenye nyumba za ibada ili mtengeneze chuki ya watu wa dini na serikali, it can't mature.
 
MMEONA KUWA NYIE NI WAJINGA EBU ONA HUU UJINGA MLIOKUWA MKIAMBIANA HAPA
Hapo umeshangaa nini? Hata huko Jeshini kuna wapuuzi pia kama wewe ,watu wajinga wajinga ambao kwao 'Tonge la Ugali ' linathamani kuliko HAKI NA UHURU WAO


Hata hivo, Wako pia Wanajeshi Wema ,na ndio walitusaidia Kupambana.


Vifo vya Mapolisi na Wanajeshi vingi vilivyoyokea, Ilikuaje???.
 
Hapo umeshangaa nini? Hata huko Jeshini kuna wapuuzi pia kama wewe ,watu wajinga wajinga ambao kwao 'Tonge la Ugali ' linathamani kuliko HAKI NA UHURU WAO


Hata hivo, Wako pia Wanajeshi Wema ,na ndio walitusaidia Kupambana.


Vifo vya Mapolisi na Wanajeshi vingi vilivyoyokea, Ilikuaje???.



ENDELEA KUKARIRI ILA HUU UTOTO HAUWEZI KUWAPA FAIDA, MIMI SICHEZI LIGI NDOGO
 
Hawajajifunza bado, kwamba kuna wakati unatakiwa kutumia akili siyo mihemko. Ikishindikana usilazimishe utaumia.



HAWANA AJENDA MIMI NIPO MITAANI HUKU WATU UKIONGEA KITU KINAITWA MAANDAMANO WAWEZA KUPIGWA MAWE WATU WASHACHOKA HUU UJINGA NA WAMEONA JINSI MIHEMKO ILIVYOPELEKEA VIFO VYA VIJANA
 
HAWANA AJENDA MIMI NIPO MITAANI HUKU WATU UKIONGEA KITU KINAITWA MAANDAMANO WAWEZA KUPIGWA MAWE WATU WASHACHOKA HUU UJINGA NA WAMEONA JINSI MIHEMKO ILIVYOPELEKEA VIFO VYA VIJANA
Na sasa hivi kabla ya vyombo kuingilia kuna watu wataanza kushughulikiwa na wananchi wenyewe. Kwani hao wanaodandiwa mtaani huko wanadhani connection yao inatoka kwa malaika.
 
Na sasa hivi kabla ya vyombo kuingilia kuna watu wataanza kushughulikiwa na wananchi wenyewe. Kwani hao wanaodandiwa mtaani huko wanadhani connection yao inatoka kwa malaika.


MIMI NIPO DAR ILA UKIONGEA KUANDAMA WANANACHI UJUE WATAKUPIGA MAWE VIBAYA SANA NA UTACHEZEA VISU

HAPA DAR SIO JIJI LA SIASA ZA BEI RAHISI
 
Hakuna dini au taasisi yenye nguvu kuliko serikali hususani katika nchi yenye mchanganyiko wa dini mbalimbali, ni kujazana upumbavu tu kudhani unaweza kupimana na Serikali yenye dola na ina instruments of power, ili upate sababu ya kusema unatafutwa upate kiki.
hivi unaijua nguvu ya dola ya rumi wewe? Serikali gani inaweza kuifuta roma?
 
Daa Hawa vijana hawapoi, Baada ya D9 kufeli Gen Z wamefanya analysis na kuchagua siku ya alhamis ya tarehe 29 January 2026 kuwa siku ya maandamano ya kudai haki.

Wamechagua siku ya kazi, huu ni mtego kwa serikali maana maandamano siku ya kazi ni vigumu kuzuia movement za watu.

Na maandamano yanaua uchumi na utalii.

Any way ni J29

Aione
Wambura
Simbachawene.

Mto wa mbu
Illinois-USA


KAMA BAADHI YA VIJANA WETU WANAWEZA KUJIFICHA NYUMA YA KEY BOARD NA KUANDIKA KUTAKUWA NA MAANDAMANO WAFIKIRI TAYARI WAMESHA FANIKIWA tena baada ya kupata uungwaji mkono pengine wa watu 30?
INAMAANA TUNA VIJANA WAPUMBAVU KABISA WATAKAO ENDELEA KUWA MZIGO KWA WAZAZI WAO...
HATA ZILE RESEACH KULE VYUONI SIJUI WALIKUWA WANAFANYAJE AU NDIO HII TABIA YA KUKOPY NA KUPASTE.
 
Roma causa, roma finita, ogopa sana nguvu za roma, jifanye kushupaza shingo utatembea kwa magoti mpaka vatican ukaombe msamaha
 
Roma causa, roma finita, ogopa sana nguvu za roma, jifanye kushupaza shingo utatembea kwa magoti mpaka vatican ukaombe msamaha
 

Attachments

  • Screenshot_20251220-071210_1766204935841.jpg
    Screenshot_20251220-071210_1766204935841.jpg
    368.7 KB · Views: 14
Katoliki siyo sawa na Ufufuo, huyu mama atavuliwa mpk kilemba.
 
Back
Top Bottom