Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,401
- 20,661
Kuna RAS mmoja rafiki yangu alinambia hawa maDC na maDED wengi mkoani kwake ni shida. Wana tuviburi flani hivi na amesikia wengine wakijitamba kwamba wote ni wateuliwa wa Mkulu hivyo "waheshimiane". Kuna haja uteuzi wa hawa wengine urudishwe ofisi ya PM. Rais asiwe anateua tu kila mtu.