GEITA: Mkuu wa Mkoa amzuia Naibu Waziri kuzindua filamu ya 'Magwangala'

Aibu yao unaitwa kwenda kuzindua usichokijua!!
Nini maana ya uwepo wa Maafisa usalama ktk kila maeneo yote?
 
Habari yako haijitoshelezi kujadiliwa zaidi hapa mtaleta ushabiki
 
Hapo ndipo mnanitatiza sana watz wenzangu,kama hujui jambo fanya utafiti kwanza ndio ulilete kwenye media. GGM HAIMILIKIWI NA ACACIA. NI UONGO KABISA KUSEMA HIVYO. GGM INAMILIKIWA NA ANGLO GOLD ASHANTI. ACACIA WANA MIGODI MITATU TU NCHI HII AMBAYO NI OPPERATIONAL, YAANI BULYANHULU GOLD MINE LTD,BUZWAGI GOLD MINE NA NORTH MARA. labda kama wameinunua GGM jana usiku,taarifa hizo hazijatufikia.NDUGU ZANGU TUACHE KUKURUPUKA KALE KASHERIA KAPO KANAFANYA KAZI. ANGALIA UTASHTAKIWA NA WENGI
Nia ilikua ni muendelezo wa kuonyesha mabaya ya ACACIA.
 
We nawe hovyo unaunga mkono kitu usichojua?? Maccm mna matatizo nyie si bure
Tukiacha ushabiki Wa kimihemuko na kutekeleza neno halisi LA UZALENDO na kuacha hili LA kinafiki uzalendo uchwara hiyo filamu sidhani kama itatusaidia katika mapambano ya kiuchumi na rasilimali zetu, Bali itatuonesha watu Wa hovyo.
Ukada na ukurupukaji Wa nami nionekane utatugarimu sana, maana wengi Wa wakurupukaji hawajui kwa undani Wa jambo. Niulize tu kwa kutaka kujua, Je, toka tamko LA Magwangala litoke utekelezaji wake umekuwaje? Na kama halijatekelezwa nini kimekwamisha? Je, kiusalama Wa mazingira na utunzaji hilo liliangaliwa?
Sijaijua maudhui ya ndani ya filamu hiyo, ila nachelea kuiunga mkono kwa maslahi ya nchi.
 
Nende
Watanzania wengi ni majitu maongo maongo na mazushi.
Unauaminisha umma kuwa GGM inamilikiwa na ACACIA ?!!! una uhakika na hilo? ama lengo lako ni nini hasa?
Ndiyo maana Mkapa anawaita ni wapumbavu & malofa.

-Kaveli-
Nenda kwenye maudhui ya mtia uzi achana na mambo madogo madogo yasiyo na msingi
 
Hii filamu ingekuwa nzuri sana itoke..

Haijalishi GGM inamilikiwa na nani, the point is, ingeipa nguvu sheria za madini mpya na kuweka wazi uwizi mkubwa unaofanywa na wazungu kwa rasilimali zetu, kitu ambacho Mh. Rais wetu anapambana nacho daily kututoa ktk utumwa wa uchumi..

RC ajitafakari upya, kwa hili Mh. Rais anaweza mpa adhabu huyu RC. That is my view
 
Huyu mkuu wa mkoa kalamba dume la mgodi,achunguzwe,na ikiwezekana aondolewe.

Atakwamisha shuhuli za serikali katika kuwatumikia wananchi wake.
 
Back
Top Bottom