Super Don
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 1,978
- 1,780
Accacia wanamiliki migodi mitatu mikubwa, kuna bulynyahulu, buzwagi haya ndo wanatumia technologia ya makinikia yaan mchanga wote unatoka kwenye hii migodi miwili, halafu wanamiliki North mara ambao unatumia technologia ya kawaida bila kutoa makinikiaHabari tatanishi! Tuliambiwa ACACIA inamiliki migodi mitatu GGM, Bulyanhulu na North Mara sasa imebaki North Mara pekee basi kuna dalili hata zile kontena zikapungua kwa kasi ya supersonic kama wale wabunge wa kutenguliwa na kuteuliwa! (pia inawezekana hiyo "accacia" haimiliki mgodi wowote nchi hii!)
Sent using Jamii Forums mobile app