Gazeti la "The Wall Street Journal " la New York la tarehe 11/06/2025 limesema Rais Samia anatumia Madaraka yake vibaya

Gazeti la "The Wall Street Journal " la New York la tarehe 11/06/2025 limesema Rais Samia anatumia Madaraka yake vibaya

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
17,177
Reaction score
41,623
Gazeti la "The Wall Street Journal " la New York la tarehe 11/06/2025 limesema Rais Samia anatumia Madaraka yake vibaya.

969d39d5-7734-4a2b-9b75-156b98891a97.jpeg


Britanicca
 
Kwanza nikiri kwamba sina hakika ikiwa maneno hayo aliyatamka IGP. Nayaona kama hayapigi lengo. Baada ya kusema hivyo niruhusuni niongee kwa kutumia lugha ya uwezekano (assumptions).

Ikiwa polisi wamedhibiti utekaji kwa sehemu kubwa basi mambo kadhaa yanafikirisha.
(1) Inashangaza kwamba hawajawahi kueleza umma na kuuangaliza/kutahadharisha juu ya matukio mabaya ya utekaji ili watu wajihami.
(2) Hawajasemea matokeo ya upelelezi wa matukio yaliyodumu kitambo sasa.
(3) Hawajaangaliza jamii juu ya wale wanaoteka watu kwa jina la "polisi" na wengine wakiwa na silaha - hao ni kina nani?!
(4) Kuna utata mkubwa juu ya muda anaodai kudhibiti kwani yamekuwepo matukio ya aina hiyo siku za karibuni.
(5) Umma haujaambiwa kwa takwimu sura ya udhibiti huo. Pengine pia kuufahamisha umma kwamba walidhiti kutekwa kwa fulani na fulani.

Swali la utekaji na mauaji ya raia sio jambo jepesi kiasi cha kutaka kulifuta kwa maneno machache. Watu wana hofu na woga na hawajioni kuwa salama. Ni nafasi nzuri kwa IGP kuzungumza na hofu na woga wa watu ili kuleta utulivu wa kweli.
FB_IMG_1749656018417.jpg
 
No reforms no election
Natoa taarifa kuwa nimejiandikisha kituo cha shule ya msingi minazini iliyopo kurasini Dar.
Mm SITAPIGA KURA lakini nitafuatilia
Ole wake mtu apige kura kwa niaba yangu hapo October
 
Back
Top Bottom