Caroline Hans
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 723
- 386
Ukweli mchungu sana lakini this time mtaelewa tu!! zibueni masikio yenu msikie vizuri na kama hamtaki yatazibuliwa kwa lazima!!!!
Whatever level of education you hold, it leaves a lot to be desired. The president didnt talk about volume but weight/mass. And, indeed when you talk about tonnage you are talking about weight. So, it is still true that 15tonnes of Gold will need two 7tonnes fuso plus a one tonne pick up.Kizunguzungu mtindo mmoja.
Phd holder ndio alituambia hivyo!!!!
Halafu yeye anawashangaa wenzie eti ni maprofessor gani!!😀😀
Sasa ukitaka kusafirisha mzigo huo kwa Fuso utauweka wote kwenye fuso moja kwa sababu tu nafasi ipo? Hiyo Fuso itatembea ikibeba (say) tani 50 za dhahabu?Ujazo my friend! Gold density is 19,320kg/M³ Maana yake ni kuwa Kipande cha dhahabu chenye urefu wa futi Tatu, upana waFuti tatu na kina cha futi tatu, kina Tani 19. Ukitaka kulinganisha uzito ingekuwa ni maji unahitaji Pipa Lenye ukubwa wa Mara 19 zaidi ya Kipande hiki ili uweze kulijaza Tani 19 za Maji.
Sasa mleta mada hapa anashangaa nini hadi aseme Nipashe wamedanganya?Whatever level of education you hold, it leaves a lot to be desired. The president didnt talk about volume but weight/mass. And, indeed when you talk about tonnage you are talking about weight. So, it is still true that 15tonnes of Gold will need two 7tonnes fuso plus a one tonne pick up.
Imekuuma nini mkuu mpaka uniandikie kwa kizungu namna hii?Whatever level of education you hold, it leaves a lot to be desired. The president didnt talk about volume but weight/mass. And, indeed when you talk about tonnage you are talking about weight. So, it is still true that 15tonnes of Gold will need two 7tonnes fuso plus a one tonne pick up.
Nyie ndio mna elimu hewaEither huna akili au hesabu ilikupita pembeni.
Mwenzako anaongelea density wewe unaongelea uzito.
Ni vitu viwili tofauti.
Lorry linapimwa kwa cubic meter / tonnes.
Nilivyoelewa kiasi hicho ni kile kinachobebwa kwenye hayo makontena wanasema mchanga ambapo wauze tulikuwa hatupati hata sent so mhe rais yuko sawa na nipashe wako sawaKwenye Gazeti La Nipashe leo ambalo link naiweka Wamedai kuwa Dhahabu inayokuwa kwenye Makontainer 227 ni Takriban Tani 15 Za Dhahabu. Na kwa Mbwembe nyingi wakasema kuwa Kiasi hicho cha dhahabu kinajaza Malori ya Fuso Mawili na Pickup Moja.
Ambalo wamelisahau ni Density ya Dhahabu, Dhahabu ina Density ya 19,320 Kg/M³ hii ina maana Mita moja ya Ujazo wa Dhahabu ni Tani 19.32 sasa hii ni zaidi ya Tani hizo 15. Ukweli ni kuwa ingawa utahitaji Lori la Tani angalau 20 kubeba Tani 15 za Dhahabu, ujazo wake ni kama Pipa moja tu la maji. (Less than 1 M³)
Pia Nipashe wamejaribu Kuchanganua Tsh, Trilioni 294 ambazo Kwa Miaka 17 dhahabu kusafirishwa nje zingepatikana.
Hata Kama Kweli kulikuwa na Dhahabu ya Kiasi hicho, Hapo kuna Gharama za Usafishaji, Nishati Usafirishaji nk. Na kisha baada ya grarama zote kuondolewa ndipo kuna kiasi Kinabakia, hicho ndicho Kinalipiwa Kodi, Kodi ambayo Kwa Mbwewe CCM waliwasamehe. Kinachobaki ni Royalty na sijui ilikuwa ni asilimia 7 au 2 sasa Hizo Trilion 294 Ambazo wanawahadaa nazo Watanzania Ziko wapi. Wow ingekuwa hata Hiyo dhahabu inachimbwa na Migodi ya Umma na 100% ya dhahabu Tunaipata na Kuuza Sisi wenyewe bado Kungekuwepo na gharama ya Mishahara, Nishati, Usafirishaji Uwakala wa amasoko etc. Bado tusingepata hicho kinachoitwa Trillion 294. Iweje Upigie Mahesabu ya aina hii kwa Migodi Binafsi.
Au Watuambie hizo Trillion 294 ni 7% tu ya Royalty! Wow Itakuwa Tanzania kuna dhahabu Kuliko Mchanga wa Bahari basi.
![]()
Ya Zimbabwe kuikuta Tanzania .Ndio maana hata hao ACACIA wanashangaa hiyo ripoti.
Kimkataba ule mchanga ni mali yao na wanausafirisha kwenda kutoa dhahabu iliyobaki. Kwani migodi ya Buzwagi na Bulyanhulu 50% ya dhahabu hubaki kwenye makinika (concentrate) so lazima ipelekwe kwenye smelter ili kuiondoa iliyobaki. Na hatuna smelter wao hulipa tu 4% ya kilichomo kwenye makinika. See attachmentSwali moja tu, mchanga utaendelea kupelekwa nje au hautapelekwa?!
ni kilo 10Dah! ilo tofali moja ni kilo 30.
Ni uvyama tena. Mnendekeza sana siasa hata kwenye masuala ya kitaifa. kama ni faida tutaipata wote na kama ni kuumia ni wote. Wasio na vyama mnawakera sana. Tujadili hoja na sio utoto wa vyama vyenu hivyo ambavyo havichafanya cha maana kwa nchi hii.Mnahangaika bure bavicha....maana kila kina mmebaki wenyewe tu hata magazeti pendwa yenu yako kwa Magufuli, Lissu na wenzake wako kwa Magufuli
Ni uvyama tena. Mnendekeza sana siasa hata kwenye masuala ya kitaifa. kama ni faida tutaipata wote na kama ni kuumia ni wote. Wasio na vyama mnawakera sana. Tujadili hoja na sio utoto wa vyama vyenu hivyo ambavyo havichafanya cha maana kwa nchi hii.
Atashauriwa and na alishasema hataki ushauri? Kwa hii ripoti alichukua dakika ngapi kuitathmini kabla hajaja na mbwembwe zake?!
!
Hizi [HASHTAG]#Phd[/HASHTAG] nyingine hizi ni sawa na za kina Hemedi tu au yale ya vyeti halali vya elimu feki. Hivi mkuu huwa anatafakari au anashauriwa vizuri kabla hajaongea au kuamua chochote?
Nimekuelewa mkuu.Huyo kijana ndiyo analeta siasa.
The hell dhumuni lake halikuwa Kuonyesha Dhahabu hiyo Inasafririshwaje! Who cares inavyosafirishwa huko Japani. Kwa akili na Nadharia ni Kuwa alitaka Kuwahadaa kwa Wale wasiojua Density ya dhahabu ikoje, Alitaka Kudanganya Kuwa Dhahabu hiyo inajaza Malori mawilli na pickups! Key word "Inajaza" Mtazungusha maneno Mpaka kesho Video Iko wazi Magufuli alisema, Dhahabu hiyo ni Malori mawili na Pickup pamoja na Kivokswagon vyote vikiwa vimejaa, "DHAHABU TUPU" Ule ulikuwa ni Uwongo! Period!Sasa ukitaka kusafirisha mzigo huo kwa Fuso utauweka wote kwenye fuso moja kwa sababu tu nafasi ipo? Hiyo Fuso itatembea ikibeba (say) tani 50 za dhahabu?