Gazeti la Nipashe limepotosha vikali

Gazeti la Nipashe limepotosha vikali

Kuita

Kuita kundi fulani la watu wajinga sio ustaarabu. Na mtu mstaarabu haachi tabia yake ya ustaarabu kwa kuwa mwingine kakosa ustaarabu. Swali, mwehu akikutukana utamtukana pia? Asiye na ustaarabu hana tofauti na mwehu na unapofanya kitendo kisicho cha kistaarabu, inamaanisha hiyo ndiyo tabia yako na sio kwamba umefanya hivyo kwa kuwa mwingine kakosa ustaarabu.
That is you! Mjinga bado ni Njinga, Mpumbavu bado Nimpumbavu, wewe unataka Ustaarabu wa Kunyang'anya Computer na Kumsaidia Lipumba Kutuma watu Kuwapiga waandishi wa Habari! Mini nataka Ustaarabu wa Mwalimu Nyerere Mara zisizo na Idadi aliwaita Wajinga wajinga na Wapumbavu wapumbavu. Na kama wewe sio Mnafiki naomba Uangalie Webster's Dictionary uniambie Maana ya Neno stupid! Kisha Uniambie kama Uko tayari kumkaripia Magufuli Kumuita yule ndugu aliyemfukuza Stupid! Kama Hutafanya hivyo basi Utakuwa ni Unafiki Kuniambia mimi nisitumie neno mjinga!
 
That is you! Mjinga bado ni Njinga, Mpumbavu bado Nimpumbavu, wewe unataka Ustaarabu wa Kunyang'anya Computer na Kumsaidia Lipumba Kutuma watu Kuwapiga waandishi wa Habari! Mini nataka Ustaarabu wa Mwalimu Nyerere Mara zisizo na Idadi aliwaita Wajinga wajinga na Wapumbavu wapumbavu. Na kama wewe sio Mnafiki naomba Uangalie Webster's Dictionary uniambie Maana ya Neno stupid! Kisha Uniambie kama Uko tayari kumkaripia Magufuli Kumuita yule ndugu aliyemfukuza Stupid! Kama Hutafanya hivyo basi Utakuwa ni Unafiki Kuniambia mimi nisitumie neno mjinga!
Believing what you want is a choice. And, diplomacy eludes many. I rest my case.
 
Mleta mada usipotoshe, nguvu ya gari inapimwa kwa Uzito wa Mzigo iubebao na siyo ujazo wa Mzigo husika kwa hiyo Presidaa yuko sahihi!
 
No matter what, nilitegemea Watanzania tungeungana kukataa unyonyaji huu wa dhahir... Upuuzi wetu ndo umasikini wetu ... Kudos JPM
 
Back
Top Bottom