mwanadome
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 5,008
- 5,413
Na anavyo penda mfano wa maroliJana rais alizungumzia uzito na sio ujazo na alitumia lugha ya malori kama lugha ya picha ili kuonyesha wingi/idadi ili iweze kueleweka kiwepesi.
Nafikiri hivyo.

Na anavyo penda mfano wa maroliJana rais alizungumzia uzito na sio ujazo na alitumia lugha ya malori kama lugha ya picha ili kuonyesha wingi/idadi ili iweze kueleweka kiwepesi.
Nafikiri hivyo.

Yes Najua! You are full of Shit!Unajua uhusiano wa mgodi wa Buzwagi, Rostam na Lowasa?
That is you! Mjinga bado ni Njinga, Mpumbavu bado Nimpumbavu, wewe unataka Ustaarabu wa Kunyang'anya Computer na Kumsaidia Lipumba Kutuma watu Kuwapiga waandishi wa Habari! Mini nataka Ustaarabu wa Mwalimu Nyerere Mara zisizo na Idadi aliwaita Wajinga wajinga na Wapumbavu wapumbavu. Na kama wewe sio Mnafiki naomba Uangalie Webster's Dictionary uniambie Maana ya Neno stupid! Kisha Uniambie kama Uko tayari kumkaripia Magufuli Kumuita yule ndugu aliyemfukuza Stupid! Kama Hutafanya hivyo basi Utakuwa ni Unafiki Kuniambia mimi nisitumie neno mjinga!Kuita
Kuita kundi fulani la watu wajinga sio ustaarabu. Na mtu mstaarabu haachi tabia yake ya ustaarabu kwa kuwa mwingine kakosa ustaarabu. Swali, mwehu akikutukana utamtukana pia? Asiye na ustaarabu hana tofauti na mwehu na unapofanya kitendo kisicho cha kistaarabu, inamaanisha hiyo ndiyo tabia yako na sio kwamba umefanya hivyo kwa kuwa mwingine kakosa ustaarabu.
Believing what you want is a choice. And, diplomacy eludes many. I rest my case.That is you! Mjinga bado ni Njinga, Mpumbavu bado Nimpumbavu, wewe unataka Ustaarabu wa Kunyang'anya Computer na Kumsaidia Lipumba Kutuma watu Kuwapiga waandishi wa Habari! Mini nataka Ustaarabu wa Mwalimu Nyerere Mara zisizo na Idadi aliwaita Wajinga wajinga na Wapumbavu wapumbavu. Na kama wewe sio Mnafiki naomba Uangalie Webster's Dictionary uniambie Maana ya Neno stupid! Kisha Uniambie kama Uko tayari kumkaripia Magufuli Kumuita yule ndugu aliyemfukuza Stupid! Kama Hutafanya hivyo basi Utakuwa ni Unafiki Kuniambia mimi nisitumie neno mjinga!