Fuso Fighter moja inabeba kati ya tani 7.5 hadi tani 7.7. Sasa ukiwa na Fuso mbili na kila Fuso ikabeba tani 7 (jumla tani 14), na tani 5.3 zilizobaki zikapakiwa kwenye pickup/canter, upotoshaji unakuja wapi? Mambo ya density hayana umuhimu hapa sababu realistically speaking, hiyo dhahabu itakuwa kwenye vipande aka gold bars and definitely NOT a one cubic meter mass of gold at 19.3 tonnes.Kwenye Gazeti La Nipashe leo ambalo link naiweka Wamedai kuwa Dhahabu inayokuwa kwenye Makontainer 227 ni Takriban Tani 15 Za Dhahabu. Na kwa Mbwembe nyingi wakasema kuwa Kiasi hicho cha dhahabu kinajaza Malori ya Fuso Mawili na Pickup Moja.
Ambalo wamelisahau ni Density ya Dhahabu, Dhahabu ina Density ya 19,320 Kg/M³ hii ina maana Mita moja ya Ujazo wa Dhahabu ni Tani 19.32 sasa hii ni zaidi ya Tani hizo 15. Ukweli ni kuwa ingawa utahitaji Lori la Tani angalau 20 kubeba Tani 15 za Dhahabu, ujazo wake ni kama Pipa moja tu la maji. (Less than 1 M³)
Pia Nipashe wamejaribu Kuchanganua Tsh, Trilioni 294 ambazo Kwa Miaka 17 dhahabu kusafirishwa nje zingepatikana.
Hata Kama Kweli kulikuwa na Dhahabu ya Kiasi hicho, Hapo kuna Gharama za Usafishaji, Nishati Usafirishaji nk. Na kisha baada ya grarama zote kuondolewa ndipo kuna kiasi Kinabakia, hicho ndicho Kinalipiwa Kodi, Kodi ambayo Kwa Mbwewe CCM waliwasamehe. Kinachobaki ni Royalty na sijui ilikuwa ni asilimia 7 au 2 sasa Hizo Trilion 294 Ambazo wanawahadaa nazo Watanzania Ziko wapi. Wow ingekuwa hata Hiyo dhahabu inachimbwa na Migodi ya Umma na 100% ya dhahabu Tunaipata na Kuuza Sisi wenyewe bado Kungekuwepo na gharama ya Mishahara, Nishati, Usafirishaji Uwakala wa amasoko etc. Bado tusingepata hicho kinachoitwa Trillion 294. Iweje Upigie Mahesabu ya aina hii kwa Migodi Binafsi.
Au Watuambie hizo Trillion 294 ni 7% tu ya Royalty! Wow Itakuwa Tanzania kuna dhahabu Kuliko Mchanga wa Bahari basi.
![]()
Unatakiwa kuelewa kuwa unapozungumza na watu ambao siyo conversant na field unatumia graphic language. Alichokuwa akikieleza Rais ni uzito wa dhahabu husika siyo volume ya gari. Kama gari ni la tani 7 huwezi kuweka zaidi ya uzito huo ingawa quantity inaonekana kidogo hivyo kuacha nafasi kubwa kwenye gari. Tumieni akili kuelewa the message that is being communicated. kama hujaelewa uliza, waswahili husema kuuliza si ujinga, ingawa ndivyo.Kizunguzungu mtindo mmoja.
Phd holder ndio alituambia hivyo!!!!
Halafu yeye anawashangaa wenzie eti ni maprofessor gani!!😀😀
Either huna akili au hesabu ilikupita pembeni.Ushaambiwa tani sasa unakuwa na akili kuwa TANI MOJA ya chuma ni nzito kuliko TANI MOJA ya manyoya.
Kumbe huko kwingine huwa unakisia tu
Kwahiyo hapo barabarani Tanroads wanapima density!? Acha upuuzi wako wa udreva wa mchanga.Either huna akili au hesabu ilikupita pembeni.
Mwenzako anaongelea density wewe unaongelea uzito.
Ni vitu viwili tofauti.
Lorry linapimwa kwa cubic meter / tonnes.
Sijaona unachobishia
Usiwe mjinga.wawaambue!!!???. Wewe na nani??!!! Sema kw niaba yako.ni wewe pekeee ambae hujaelewa kinachosemwa.na c kwa 7bbu huna uwezo wa kueleea.bali njaa na masirahi binafc zinakuongoza.weka mbele uzalendo.Kwenye Gazeti La Nipashe leo ambalo link naiweka Wamedai kuwa Dhahabu inayokuwa kwenye Makontainer 227 ni Takriban Tani 15 Za Dhahabu. Na kwa Mbwembe nyingi wakasema kuwa Kiasi hicho cha dhahabu kinajaza Malori ya Fuso Mawili na Pickup Moja.
Ambalo wamelisahau ni Density ya Dhahabu, Dhahabu ina Density ya 19,320 Kg/M³ hii ina maana Mita moja ya Ujazo wa Dhahabu ni Tani 19.32 sasa hii ni zaidi ya Tani hizo 15. Ukweli ni kuwa ingawa utahitaji Lori la Tani angalau 20 kubeba Tani 15 za Dhahabu, ujazo wake ni kama Pipa moja tu la maji. (Less than 1 M³)
Pia Nipashe wamejaribu Kuchanganua Tsh, Trilioni 294 ambazo Kwa Miaka 17 dhahabu kusafirishwa nje zingepatikana.
Hata Kama Kweli kulikuwa na Dhahabu ya Kiasi hicho, Hapo kuna Gharama za Usafishaji, Nishati Usafirishaji nk. Na kisha baada ya grarama zote kuondolewa ndipo kuna kiasi Kinabakia, hicho ndicho Kinalipiwa Kodi, Kodi ambayo Kwa Mbwewe CCM waliwasamehe. Kinachobaki ni Royalty na sijui ilikuwa ni asilimia 7 au 2 sasa Hizo Trilion 294 Ambazo wanawahadaa nazo Watanzania Ziko wapi. Wow ingekuwa hata Hiyo dhahabu inachimbwa na Migodi ya Umma na 100% ya dhahabu Tunaipata na Kuuza Sisi wenyewe bado Kungekuwepo na gharama ya Mishahara, Nishati, Usafirishaji Uwakala wa amasoko etc. Bado tusingepata hicho kinachoitwa Trillion 294. Iweje Upigie Mahesabu ya aina hii kwa Migodi Binafsi.
Au Watuambie hizo Trillion 294 ni 7% tu ya Royalty! Wow Itakuwa Tanzania kuna dhahabu Kuliko Mchanga wa Bahari basi.
![]()
Kama ujuzi wa tume unaishia ktk kuchambua kiasi cha madini,nani aliwaambia watoe thamani ya madini "walioyobaini"?,ilihali wao ni mbumbumbu wa masuala ya fedha na uchumi?.Nyie watu inaonekana mnafikiri kwa kutumia makalio, hii tume Kazi yake ni kuchambua kiasi cha madini kilichopo kwenye makanikia , kwa maana nyingine ni tume ya majiologist au kwa Kiswahili wataalamu wa miamba. Tusubiri hiyo tume ya wanasheria na wachumi ndio itakuja na hesabu mnayotaka na mikataba tuliyoingia na hayo makampuni. Haya ni ya utangulizi tu, sababu kupinga kila zuri linalofanywa mkiambiwa ni nyumbu mnalialia.
HahahahahaaaaaaaFedha na dhahabu ni mali ya Bwana
Acha ujinga sawa. Sisi tunaahisira na wazungu wewe unaleta masihala. Kama huna cha kucomment kaa kimya.Kama ujuzi wa tume unaishia ktk kuchambua kiasi cha madini,nani aliwaambia watoe thamani ya madini "walioyobaini"?,ilihali wao ni mbumbumbu wa masuala ya fedha na uchumi?.
Watu wenye akili hawaongozwi na hasira.Acha ujinga sawa. Sisi tunaahisira na wazungu wewe unaleta masihala. Kama huna cha kucomment kaa kimya.
Kwahiyo wewe unajiona unaakili sasa? Mungu mwenye ana hasira sembuse wewe unayefurahia wizi.Watu wenye akili hawaongozwi na hasira.
Uzalendo Unaujua Leo Mlipokuwa Mkisaini hiyo Mikataba kwa Mbwewe na Kuwaita akina Mnyika na Tundu Lisu Vichaa mlitanguliza uzalendo? Mshenzi nchi CCM mliuza wenyewe kwenye kikapu cha Mkono leo mnataka Uzalendo Kwa wengine, Go tohell!Usiwe mjinga.wawaambue!!!???. Wewe na nani??!!! Sema kw niaba yako.ni wewe pekeee ambae hujaelewa kinachosemwa.na c kwa 7bbu huna uwezo wa kueleea.bali njaa na masirahi binafc zinakuongoza.weka mbele uzalendo.
Tatizo uandishi wa kiutafiti Tz haukubaliki wandishi wetu wanaripoti walichokisikia bila kuchuja waache waandike hivyo hivyoKwenye Gazeti La Nipashe leo ambalo link naiweka Wamedai kuwa Dhahabu inayokuwa kwenye Makontainer 227 ni Takriban Tani 15 Za Dhahabu. Na kwa Mbwembe nyingi wakasema kuwa Kiasi hicho cha dhahabu kinajaza Malori ya Fuso Mawili na Pickup Moja.
Ambalo wamelisahau ni Density ya Dhahabu, Dhahabu ina Density ya 19,320 Kg/M³ hii ina maana Mita moja ya Ujazo wa Dhahabu ni Tani 19.32 sasa hii ni zaidi ya Tani hizo 15. Ukweli ni kuwa ingawa utahitaji Lori la Tani angalau 20 kubeba Tani 15 za Dhahabu, ujazo wake ni kama Pipa moja tu la maji. (Less than 1 M³)
Pia Nipashe wamejaribu Kuchanganua Tsh, Trilioni 294 ambazo Kwa Miaka 17 dhahabu kusafirishwa nje zingepatikana.
Hata Kama Kweli kulikuwa na Dhahabu ya Kiasi hicho, Hapo kuna Gharama za Usafishaji, Nishati Usafirishaji nk. Na kisha baada ya grarama zote kuondolewa ndipo kuna kiasi Kinabakia, hicho ndicho Kinalipiwa Kodi, Kodi ambayo Kwa Mbwewe CCM waliwasamehe. Kinachobaki ni Royalty na sijui ilikuwa ni asilimia 7 au 2 sasa Hizo Trilion 294 Ambazo wanawahadaa nazo Watanzania Ziko wapi. Wow ingekuwa hata Hiyo dhahabu inachimbwa na Migodi ya Umma na 100% ya dhahabu Tunaipata na Kuuza Sisi wenyewe bado Kungekuwepo na gharama ya Mishahara, Nishati, Usafirishaji Uwakala wa amasoko etc. Bado tusingepata hicho kinachoitwa Trillion 294. Iweje Upigie Mahesabu ya aina hii kwa Migodi Binafsi.
Au Watuambie hizo Trillion 294 ni 7% tu ya Royalty! Wow Itakuwa Tanzania kuna dhahabu Kuliko Mchanga wa Bahari basi.
![]()
Sasa ndio uinuke na kuanza kupotosha. Nimekueleza ondoa siasa za maji taka.Uzalendo Unaujua Leo Mlipokuwa Mkisaini hiyo Mikataba kwa Mbwewe na Kuwaita akina Mnyika na Tundu Lisu Vichaa mlitanguliza uzalendo? Mshenzi nchi CCM mliuza wenyewe kwenye kikapu cha Mkono leo mnataka Uzalendo Kwa wengine, Go tohell!