Gazeti la Nipashe limepotosha vikali

Gazeti la Nipashe limepotosha vikali

Kwenye hili naona mkuu upo upande wa acacia. Hongera mkuu hiyo ndo demokrasia
 
Nashukuru Marandu kwa maelezo yako ila tueleweshe kidogo weye mtaalam. Huo uzito huwa unapungua kutokana na density au? Nadhani mkuu alikuwa anamaanisha kuwa, ili kuibeba huyo dhahabu tani 15, ungelihitaji fuso 2 zigawiwe uzito wa tani 7 kila moja. hata kama ukubwa wa mzigo ni kama mikate 4 ya boflo na hiyo baki hata kama ni ndogo kama skonzi moja ndio ingesafirishwa na p/up. Kama sio hivyo, nielimishe mkuu wala usichoke

Wewe na Mimi hatutofautiani, hicho Kipande Kidogo cha Dhahabu au hivyo vipande Ingots chache za Dhahabu bado utahitaji Lori Lenye Capacity kubwa Tonage kuibeba. Lakini aliyetoa amaelezo Ni wazi alitaka Kuweka Picha kwa Wananchi kuwa ni Dhahabu ya Kujaza Malori Mawili na Ushee! Kwani angezingatia Nature ya Uzito wa Dhahabu, angejua kuweka kwa wananchi inabebwa na Malori Mangapi ingepotosha na To be honest Dhahabu hiyo inabebwa na Meli, Treni au Lori halikuwa na Maana lengo lilikuwa Kuchora picha ya Uwongo!
 
Jana rais alizungumzia uzito na sio ujazo na alitumia lugha ya malori kama lugha ya picha ili kuonyesha wingi/idadi ili iweze kueleweka kiwepesi.
Nafikiri hivyo.
 
Sijaona unachobishia
Anachobishia ni lile swali la kilo moja ya pamba na kilo moja ya mawe ipi nzito. Alidhani mkuu aliposema fuso mbili na pick up moja alidhani lile fuso lijae kama limepakia pamba kumbe tani saba za dhahabu ukubwa ni kama pipa la maji. hapo maana yake tani 7 zinakuwa zimejaa hata kama bado kuna nafasi ila uzito tayari tani saba.
 
Rais jana alizungumzia uzito na kujaribu kufafanua kuhusu uzito huo ni gari mbili za tank sabasaba na pickup moja. Hivi ni lini watanzania tutasimama kupinga unyonyaji unaofanywa na wawekezaji hawa? Tusipotoshe umma jmn nchi hii ni yetu sote twapaswa kuipenda
 
Ninyi ni majinga flani hivi
Ubarikiwe kwa ujanja wa kijinga ulionao,
Kwa jicho lako la upofu.
Naamini hata masikio yako ni mapambo tu!!!
Masikini hayana uwezo wa kusikia!!!!!!
 
Jana mkuu alizungumzia uzito sio ujazo.
Sio Kweli Msikilize hata kuna mahali altaja Kavokswagon kote ni dhahabu, Ukijaza Vokswagon dhahabu utakuwa umeweka zaidi ya Tani 30 Za dhahabu! Itavunjika vyuma na Matairi yatapasuka kabla hata hujamaliza kuipakia!

In Short Nipashe Walikurupuka, Kuandika Upotoshaji.
 
Nimeuliza maana naona anashutumiwa Muhongo kana kwamba yeye ndiye kaamuru huo mchanga upelekwe nje.
Muhongo anashutumiwa kwa usimamizi hafifu lkn kupeleka mchanga nje ni sehemu ya mkataba na utaendelea kupelekwa nje mpk tutakapojenga smelter yetu.
 
Rais jana alizungumzia uzito na kujaribu kufafanua kuhusu uzito huo ni gari mbili za tank sabasaba na pickup moja. Hivi ni lini watanzania tutasimama kupinga unyonyaji unaofanywa na wawekezaji hawa? Tusipotoshe umma jmn nchi hii ni yetu sote twapaswa kuipenda
Ujinga wakati wa kwenda!
Nyerere alituambia kuwa kupigania uhuru wa wenzetu ilikuwa na faida kwetu. Wajomba zetu wamefia msumbiji wakiwapigania wana msumbiji matokeo yake uliona tukifurushwa msumbiji kama vibaka.

Inatupasa kutumia akili mara zote.
 
Muhongo anashutumiwa kwa usimamizi hafifu lkn kupeleka mchanga nje ni sehemu ya mkataba na utaendelea kupelekwa nje mpk tutakapojenga smelter yetu.
Ishu hapo sio kusafirisha udogo ila ni kudanganya kiwango cha madini yalioko katika mchanga hui
 
Ishu hapo sio kusafirisha udogo ila ni kudanganya kiwango cha madini yalioko katika mchanga hui
In addition: ndiyo maana amechuka hatua zinazohusu upande wake WA serikali. Upande wa wawekezaji hajasema lolote mpaka ripoti kamili ikamilike. Naona cha muhimu hapo ni kuwaonyesha watanzania kuwa sio kila taarifa unayopewa ni ya kiutafiti. Tukumbuke kuwa katika utafiti wa namna hii kny kila hatua za fundings pande zote zina endorse for acceptance of the findings
 
Kwenye Gazeti La Nipashe leo ambalo link naiweka Wamedai kuwa Dhahabu inayokuwa kwenye Makontainer 227 ni Takriban Tani 15 Za Dhahabu. Na kwa Mbwembe nyingi wakasema kuwa Kiasi hicho cha dhahabu kinajaza Malori ya Fuso Mawili na Pickup Moja.

Ambalo wamelisahau ni Density ya Dhahabu, Dhahabu ina Density ya 19,320 Kg/M³ hii ina maana Mita moja ya Ujazo wa Dhahabu ni Tani 19.32 sasa hii ni zaidi ya Tani hizo 15. Ukweli ni kuwa ingawa utahitaji Lori la Tani angalau 20 kubeba Tani 15 za Dhahabu, ujazo wake ni kama Pipa moja tu la maji. (Less than 1 M³)

Pia Nipashe wamejaribu Kuchanganua Tsh, Trilioni 294 ambazo Kwa Miaka 17 dhahabu kusafirishwa nje zingepatikana.

Hata Kama Kweli kulikuwa na Dhahabu ya Kiasi hicho, Hapo kuna Gharama za Usafishaji, Nishati Usafirishaji nk. Na kisha baada ya grarama zote kuondolewa ndipo kuna kiasi Kinabakia, hicho ndicho Kinalipiwa Kodi, Kodi ambayo Kwa Mbwewe CCM waliwasamehe. Kinachobaki ni Royalty na sijui ilikuwa ni asilimia 7 au 2 sasa Hizo Trilion 294 Ambazo wanawahadaa nazo Watanzania Ziko wapi. Wow ingekuwa hata Hiyo dhahabu inachimbwa na Migodi ya Umma na 100% ya dhahabu Tunaipata na Kuuza Sisi wenyewe bado Kungekuwepo na gharama ya Mishahara, Nishati, Usafirishaji Uwakala wa amasoko etc. Bado tusingepata hicho kinachoitwa Trillion 294. Iweje Upigie Mahesabu ya aina hii kwa Migodi Binafsi.

Au Watuambie hizo Trillion 294 ni 7% tu ya Royalty! Wow Itakuwa Tanzania kuna dhahabu Kuliko Mchanga wa Bahari basi.

demonocracy-gold-1_ton.jpg
Umetumwa mwe.hu wewe, kumbuka hizo ni pesa za hayo wanayoyaita mabaki, kwamba yako na 30% ya dhahabu yote ilochimbwa, sasa piga hesabu kama hizo trillions ni za 30% je za 70% ni ngapi?

Kwanza we ni American citizen nashangaa ya huku yakuwashia nini.
 
Back
Top Bottom