Col Miraji
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 546
- 512
Kwenye hili naona mkuu upo upande wa acacia. Hongera mkuu hiyo ndo demokrasia
Kwa mtazamo wako!Aliyesema haya sio picha aliyotaka Kuiweka akilini kwa Mwananchi mwananchi wa kawaida!
Nimeuliza maana naona anashutumiwa Muhongo kana kwamba yeye ndiye kaamuru huo mchanga upelekwe nje.Jibu moja tu.....Utapelekwa mpaka tutakapojenga kinu chetu.
NO WAY..
Nashukuru Marandu kwa maelezo yako ila tueleweshe kidogo weye mtaalam. Huo uzito huwa unapungua kutokana na density au? Nadhani mkuu alikuwa anamaanisha kuwa, ili kuibeba huyo dhahabu tani 15, ungelihitaji fuso 2 zigawiwe uzito wa tani 7 kila moja. hata kama ukubwa wa mzigo ni kama mikate 4 ya boflo na hiyo baki hata kama ni ndogo kama skonzi moja ndio ingesafirishwa na p/up. Kama sio hivyo, nielimishe mkuu wala usichoke
Anachobishia ni lile swali la kilo moja ya pamba na kilo moja ya mawe ipi nzito. Alidhani mkuu aliposema fuso mbili na pick up moja alidhani lile fuso lijae kama limepakia pamba kumbe tani saba za dhahabu ukubwa ni kama pipa la maji. hapo maana yake tani 7 zinakuwa zimejaa hata kama bado kuna nafasi ila uzito tayari tani saba.Sijaona unachobishia
UtapelekwaSwali moja tu, mchanga utaendelea kupelekwa nje au hautapelekwa?!
Ubarikiwe kwa ujanja wa kijinga ulionao,Ninyi ni majinga flani hivi
Kikwete PhD kaipata chuo gani na lini?PhD anayejiita Prof ni JK.
Sio Kweli Msikilize hata kuna mahali altaja Kavokswagon kote ni dhahabu, Ukijaza Vokswagon dhahabu utakuwa umeweka zaidi ya Tani 30 Za dhahabu! Itavunjika vyuma na Matairi yatapasuka kabla hata hujamaliza kuipakia!Jana mkuu alizungumzia uzito sio ujazo.
Mnahangaika bure bavicha....maana kila kina mmebaki wenyewe tu hata magazeti pendwa yenu yako kwa Magufuli, Lissu na wenzake wako kwa MagufuliNdio maana hata hao ACACIA wanashangaa hiyo ripoti.
Muhongo anashutumiwa kwa usimamizi hafifu lkn kupeleka mchanga nje ni sehemu ya mkataba na utaendelea kupelekwa nje mpk tutakapojenga smelter yetu.Nimeuliza maana naona anashutumiwa Muhongo kana kwamba yeye ndiye kaamuru huo mchanga upelekwe nje.
Ujinga wakati wa kwenda!Rais jana alizungumzia uzito na kujaribu kufafanua kuhusu uzito huo ni gari mbili za tank sabasaba na pickup moja. Hivi ni lini watanzania tutasimama kupinga unyonyaji unaofanywa na wawekezaji hawa? Tusipotoshe umma jmn nchi hii ni yetu sote twapaswa kuipenda
Prosper NgowiHV, yule prof alie pondwa jana na Rais ni nani? Naomben msaada.
Ishu hapo sio kusafirisha udogo ila ni kudanganya kiwango cha madini yalioko katika mchanga huiMuhongo anashutumiwa kwa usimamizi hafifu lkn kupeleka mchanga nje ni sehemu ya mkataba na utaendelea kupelekwa nje mpk tutakapojenga smelter yetu.
In addition: ndiyo maana amechuka hatua zinazohusu upande wake WA serikali. Upande wa wawekezaji hajasema lolote mpaka ripoti kamili ikamilike. Naona cha muhimu hapo ni kuwaonyesha watanzania kuwa sio kila taarifa unayopewa ni ya kiutafiti. Tukumbuke kuwa katika utafiti wa namna hii kny kila hatua za fundings pande zote zina endorse for acceptance of the findingsIshu hapo sio kusafirisha udogo ila ni kudanganya kiwango cha madini yalioko katika mchanga hui
Umetumwa mwe.hu wewe, kumbuka hizo ni pesa za hayo wanayoyaita mabaki, kwamba yako na 30% ya dhahabu yote ilochimbwa, sasa piga hesabu kama hizo trillions ni za 30% je za 70% ni ngapi?Kwenye Gazeti La Nipashe leo ambalo link naiweka Wamedai kuwa Dhahabu inayokuwa kwenye Makontainer 227 ni Takriban Tani 15 Za Dhahabu. Na kwa Mbwembe nyingi wakasema kuwa Kiasi hicho cha dhahabu kinajaza Malori ya Fuso Mawili na Pickup Moja.
Ambalo wamelisahau ni Density ya Dhahabu, Dhahabu ina Density ya 19,320 Kg/M³ hii ina maana Mita moja ya Ujazo wa Dhahabu ni Tani 19.32 sasa hii ni zaidi ya Tani hizo 15. Ukweli ni kuwa ingawa utahitaji Lori la Tani angalau 20 kubeba Tani 15 za Dhahabu, ujazo wake ni kama Pipa moja tu la maji. (Less than 1 M³)
Pia Nipashe wamejaribu Kuchanganua Tsh, Trilioni 294 ambazo Kwa Miaka 17 dhahabu kusafirishwa nje zingepatikana.
Hata Kama Kweli kulikuwa na Dhahabu ya Kiasi hicho, Hapo kuna Gharama za Usafishaji, Nishati Usafirishaji nk. Na kisha baada ya grarama zote kuondolewa ndipo kuna kiasi Kinabakia, hicho ndicho Kinalipiwa Kodi, Kodi ambayo Kwa Mbwewe CCM waliwasamehe. Kinachobaki ni Royalty na sijui ilikuwa ni asilimia 7 au 2 sasa Hizo Trilion 294 Ambazo wanawahadaa nazo Watanzania Ziko wapi. Wow ingekuwa hata Hiyo dhahabu inachimbwa na Migodi ya Umma na 100% ya dhahabu Tunaipata na Kuuza Sisi wenyewe bado Kungekuwepo na gharama ya Mishahara, Nishati, Usafirishaji Uwakala wa amasoko etc. Bado tusingepata hicho kinachoitwa Trillion 294. Iweje Upigie Mahesabu ya aina hii kwa Migodi Binafsi.
Au Watuambie hizo Trillion 294 ni 7% tu ya Royalty! Wow Itakuwa Tanzania kuna dhahabu Kuliko Mchanga wa Bahari basi.
![]()