Wakiambiwa hamfahamu kuongoza wananza kutuwinda,ila hawa jamaa ni utawala uliofitinika maana hatumii sheria kunufaisha jamii bali watawala waliochoka wasiofahamu Tanzania inatakiwa kuendelea hadi kiwango gani as a maximum standard kwa raslimali tulizojaaliwa na Muumbaji.Wakati huohuo musiba bado hajafungiwa.
Na hilo hgazeti linawindwa hasa kuanzia kufukuzwa kwa khalfan said, neville meenaWakiambiwa hamfahamu kuongoza wananza kutuwinda,ila hawa jamaa ni utawala uliofitinika maana hatumii sheria kunufaisha jamii bali watawala waliochoka wasiofahamu Tanzania inatakiwa kuendelea hadi kiwango gani as a maximum standard kwa raslimali tulizojaaliwa na Muumbaji.
Wanaamini muarobaini wetu ni Watu wa mataifa mengine kuwekeza na kujiamulia mikataba ya Kimangungo wanayotuingiza kila mara.Maendeleo ni watu na bila watu maendeleo yoyote hayawezekani na hayana maana yoyote.
Ndio maana leo kila nikigoogle naona chenga tu.Mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) leo tarehe 18 April imetangaza kulifungia gazeti la mwananchi online kwa kipindi cha miezi sita kutokana na kukiuka maadili ya kazi na kwenda kinyume na sheria zinazosimamia mawasiliano nchini kwa kuchapisha habari za uongo kwa lengo la kupotosha jamii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesahau na the monitor La UngadaThe citizen zote tv,radio na magazeti Ni Mali za Aghakan kuna watu watabisha hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni Hawa vijana wetu wanaochipukia kiuandishi maadili kwao ní shidaIla walijichanganya sana huwezi kupotosha taarifa ya mkuu wa nchi kwa kiwango kile. Sijui huwa hawahariri habari kabla ya kuposti.
Kuna choko moja hapo juu linapinga halafu halitaji huo ujinga linaoufahamuUmesahau na the monitor La Ungada
Ni bora tuyafahamu makosa yao
Inapokuwa rahisi kufungia gazeti kwa kuandika habari basi ujue tatizo sio gazeti bali ni waliolifungia.Serikali ina mambo inafichaMwananchi siku zote huwa wanaandika habari mbaya tu toka Magufuli aingie madarakani wanastahili adhabu.
Ina maana huwa hawana zuri hata moja kuandika?
Sent using Jamii Forums mobile app
Inapokuwa rahisi kufungia gazeti kwa kuandika habari basi ujue tatizo sio gazeti bali ni waliolifungia.Serikali ina mambo inaficha
Anataka aonekane na yeye yumoKuna choko moja hapo juu linapinga halafu halitaji huo ujinga linaoufahamu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kila kitu ni ufipa na ufupa.Tazama msingi wa hoja yangu.Kufungia chombo cha habari haipaswi kuwa rahisi hivyo.Kuna mambo hata viongozi wa serikali watakosa kuyafahamu kwa sababu ya vyombo vya habari kuwa na hofu ya kufungiwa.
Sio kila kitu ni ufipa na ufupa.Tazama msingi wa hoja yangu.Kufungia chombo cha habari haipaswi kuwa rahisi hivyo.Kuna mambo hata viongozi wa serikali watakosa kuyafahamu kwa sababu ya vyombo vya habari kuwa na hofu ya kufungiwa.