Gazeti la Mwananchi online lafungiwa miezi sita na kulipishwa faini milioni 5 kwa kupotosha

Pamoja na kuwafuta kazi wafanyakazi wao wawili bado wamefungiwa? Duh kweli Shetani hana rafiki. Musiba vipi amefungiwa au bado?
 
Wakati huohuo musiba bado hajafungiwa.
Wakiambiwa hamfahamu kuongoza wananza kutuwinda,ila hawa jamaa ni utawala uliofitinika maana hatumii sheria kunufaisha jamii bali watawala waliochoka wasiofahamu Tanzania inatakiwa kuendelea hadi kiwango gani as a maximum standard kwa raslimali tulizojaaliwa na Muumbaji.
Wanaamini muarobaini wetu ni Watu wa mataifa mengine kuwekeza na kujiamulia mikataba ya Kimangungo wanayotuingiza kila mara.Maendeleo ni watu na bila watu maendeleo yoyote hayawezekani na hayana maana yoyote.
 
Wakiambiwa hamfahamu kuongoza wananza kutuwinda,ila hawa jamaa ni utawala uliofitinika maana hatumii sheria kunufaisha jamii bali watawala waliochoka wasiofahamu Tanzania inatakiwa kuendelea hadi kiwango gani as a maximum standard kwa raslimali tulizojaaliwa na Muumbaji.
Wanaamini muarobaini wetu ni Watu wa mataifa mengine kuwekeza na kujiamulia mikataba ya Kimangungo wanayotuingiza kila mara.Maendeleo ni watu na bila watu maendeleo yoyote hayawezekani na hayana maana yoyote.
Na hilo hgazeti linawindwa hasa kuanzia kufukuzwa kwa khalfan said, neville meena
 
Mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) leo tarehe 18 April imetangaza kulifungia gazeti la mwananchi online kwa kipindi cha miezi sita kutokana na kukiuka maadili ya kazi na kwenda kinyume na sheria zinazosimamia mawasiliano nchini kwa kuchapisha habari za uongo kwa lengo la kupotosha jamii.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana leo kila nikigoogle naona chenga tu.
 
Unafahamu hata kwa mabwana mnaoawaamini Mabeberu wanafungia kila uchwao

Wakivunja sheria watafungiwa tu
Sio kila kitu ni ufipa na ufupa.Tazama msingi wa hoja yangu.Kufungia chombo cha habari haipaswi kuwa rahisi hivyo.Kuna mambo hata viongozi wa serikali watakosa kuyafahamu kwa sababu ya vyombo vya habari kuwa na hofu ya kufungiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom