Gazeti la Jambo Leo... Vituko vitupu!

JF kama vile zeutamu! ntaacha kufungua tena huu mtandao, make, badala ya ku-discuss issues mnafanya character assasinations! Gazeti binasi linawahusu nini? kama JK angemteua STD VII Kisaka kuwa editor wa Daily News hapo tungesema, kwani TSN ni shirika la umma. Sasa hawa wamejikusanya waka-jasilia mali, nyinyi wasomi basi anzisheni magazeti yenu.
Kwa taarifa yenu Ben Kisaka sio STD VII. Ana BA degree kutoka LSE, one of the most prestigious universities in the UK. Pia ana PGD katika media management kutoka Yale University, USA na alikuwa ni Fellow katika university ya Oxford.
Na amesoma Tangayika International School, one of the highly-regarded schools of early learning in Tanzania. Sasa mnaanza kumsakama bila kujua hii solid CV.
Ridhiwani alimaliza LLM yake pale Birmingham, he was so bright that he covered the 20-month course in six months only. His thesis focused on reformation of organic laws in Tanzania. He is one of the best trained lawyers in Tanzania, that's why IMMMA advocates wamemng'angania kwa gharama kubwa na kumfanya Mkono asimpate.
 
JF kama vile zeutamu! ntaacha kufungua tena huu mtandao, make, badala ya ku-discuss issues mnafanya character assasinations! Gazeti binasi linawahusu nini? kama JK angemteua STD VII Kisaka kuwa editor wa Daily News hapo tungesema, kwani TSN ni shirika la umma. Sasa hawa wamejikusanya waka-jasilia mali, nyinyi wasomi basi anzisheni magazeti yenu.
Kwa taarifa yenu Ben Kisaka sio STD VII. Ana BA degree kutoka LSE, one of the most prestigious universities in the UK. Pia ana PGD katika media management kutoka Yale University, USA na alikuwa ni Fellow katika university ya Oxford.
Na amesoma Tangayika International School, one of the highly-regarded schools of early learning in Tanzania. Sasa mnaanza kumsakama bila kujua hii solid CV.
Ridhiwani alimaliza LLM yake pale Birmingham, he was so bright that he covered the 20-month course in six months only. His thesis focused on reformation of organic laws in Tanzania. He is one of the best trained lawyers in Tanzania, that's why IMMMA advocates wamemng'angania kwa gharama kubwa na kumfanya Mkono asimpate.
yeah tell em'
 
Ridhiwani alimaliza LLM yake pale Birmingham, he was so bright that he covered the 20-month course in six months only. His thesis focused on reformation of organic laws in Tanzania. He is one of the best trained lawyers in Tanzania, that's why IMMMA advocates wamemng'angania kwa gharama kubwa na kumfanya Mkono asimpate.


Kweli Ruta umeamua kumdhihaki huyo kijana, ila anavyopenda misifa atafurahia na kuchekacheka tu, hiyo brightness kaipata wapi, tangu lini? kuajiriwa na hao maf***di ndio akili?
 
Game labda ungeeleza dhumuni la ulichotaka kuandika? sababu wawe darasa la saba,chekechekea,wamefukuzwa au hawajawahi kuajiriwa Lakini gazeti si limeshanzishwa?? na linafuata sheria zote za magazeti na linaendelea!!? Sasa tatizo liko wapi??? au ulitaka kutueleza nini??? Mi sijaelewa hasaaaa ulichotaka kusema??
 
Kila mtu apimwe kwa PERFORMANCE yake sio kasoma wapi, haiji hata chembe. Shule tu sio kigezo. Je, gazeti lao linasoko? Kama halina soko basi ndo kipimo na mwisho wao upo karibu vinginevyo sio hao tu wapo wengi wanaongoza watu amba walishakuwa mabosi wao na kazi zinaenda. Mtoa hoja sijajua alikuwa analenga wapi. Labda ni kutoa CV zao. RESULTS MATTERS nothing else.
Unataka kusema Harvard ,Oxford na Cambridge ukisoma vyuo hivyo utakuwa sawa na aliyesoma Tumaini University au Maarifa Media Trust(MAMET)?sijakuelewa.
 
I`m so happy to have been accepted as one of the members of your community and I hope to gain alot from you as you too will be sharing with me what you have.
 
Game labda ungeeleza dhumuni la ulichotaka kuandika? sababu wawe darasa la saba,chekechekea,wamefukuzwa au hawajawahi kuajiriwa Lakini gazeti si limeshanzishwa?? na linafuata sheria zote za magazeti na linaendelea!!? Sasa tatizo liko wapi??? au ulitaka kutueleza nini??? Mi sijaelewa hasaaaa ulichotaka kusema??
sasa darasa la saba atafanya nini cha ajabu? kwenye ulimwengu huu wa karne ya 21.anapoteza mtaji wa wenye gazeti tu kina Blandina Nyoni ambaye ni katibu mkuu wa afya hivi sasa.
 
mmoja wa directors wa jambo leo ni BENNY KISAKA ambaye ana elimu ya DARASA LA SABA huyu ni mpiga picha wa majira na alikuwa chini ya mpiga picha mkuu wa gazeti gazeti la majira wakati huo-RICHARD MWAIKENDA ,mwaikenda- hawa wote wamefukuzwa gazeti la majira na sasa richard mwaikenda ndio mpiga picha wa Gazeti la JAMBO LEO.


Zaidi tuu kuhusu huyu BENNY KISAKA ni kuwa toka miss tanzania imeanza mwaka 1994 yeye amepewa uwakilishi wa kitongoji cha temeke yaani HASHIM LUNDENGA kashindwa kumuani kusimamia ngazi ya mkoa licha ya kuwepo toka 1994Lundenga mwenyewe anasema jamaa hana ubunifu!


Haya mhariri mkuu wa gazeti la JAMBO LEO ni BONIFACE WAMBURA huyu alikuwa akiandikia michezo gazeti la majira akatimuliwa kwa tabia zake za ufisadi.


Na kaimu mhariri wa habari ni EDSON KAMUKARA aliyemaliza nyegezi miezi sita iliyopita hana uzoefu na hajui kazi…aliandaliwa interview na jamaa wa pale BOT akaingia mitini watu BOT walimsubiri weee mpaka!

Mhariri wa makala JOACHIM MUSHI ambaye ni binamu yake kisaka nae hana uzoefu wa kazi wala elimu, mhariri wa michezo WILLY EDWARD alifukuzwa gazeti la majira kwa sababu ya wizi akawa misheni town kwa muda mrefu.

By the way mpiga picha RICHARD MWAIKENDA ndiye aliyekuwa bosi wa benny kisaka majira kabla hawajafukuzwa wote. kwenye michezo kuna EDWARD KUMWEMBE huyu naye kafukuzwa habari corporation kwa kutokujua maadili ya kazi na kuheshimu mkataba wa kazi alikuwa habari corporation halafu anaandikia magazeti mengine ya mitaani. RUHIGO akamtimulia mbali.

swali gazeti hili la kila siku limasheheni waaandishi ambao wamefukuzwa kwenye vyombo vingine na limeshindwa kuchukua wataalam wa habari,wameshindwa kujifunza kwa mbowe wakati anaanzisha tanzania daima alichukua watu toka kona mbali mbali ili kupata flavour….

Sasa kichekesho ni mwenye Gazeti hili mwenyewe jina lake halipo hata sehemu moja na kijana ambaye ni msomi tuu lakini cha ajabu huyu bwana hapo chini ndiye anamweka front kumfanyia mambo yake…kwa madai kuwa washajiandaa kwa ajili ya uchaguzi wa 2010 kwa mtazamo kuwa hili gazeti litakuwa leading daily paper in Tanzania within 6 months

Meneja Masoko wa bodi ya Utalii Tanzania Geofrey Meena kushoto akiwa na Juma Pinto mtanzania ambaye amekuwa mstari wa mbele katika kuutangaza utalii waTanzania nchini uingereza

sasa utamu zaidi ni kuwa huyu bwana katajwa kwenye kashfa ya UFISADI wa wizara ya utalii.

thread imenikumbusha mbali
 
GT might be on the right side ........ connecting the dots ...

Kikwete’s son launches Kiswahili daily

On June 1, rumours that President Jakaya Kikwete’s son, Ridhwani, had landed in the media industry were finally confirmed. The first issue of Jambo Leo, a Kiswahili daily, hit the streets.
Ridhwani studied in the UK where he met Juma Pinto, a Tanzanian journalist. Pinto was running a magazine featuring Tanzania. He later coordinated several TV programmes in the UK that advertised tourism for Tanzania. Ridhwani was hosted by Pinto in the UK and the two did deals, including a Ministry of Natural Resources and Tourism job to advertise Tanzania’s tourism.

This tender generated a lot of cash for the duo and when Ridhwani returned to Dar he teamed up with a friend to launch Jambo Leo to boost his father’s career and his own political ambitions. Among the founders of Jambo Leo is Ben Kisaka, a photojournalist close to Pinto and Ridhwani.

Jambo Leo, with modern offices next to Habari Leo and the Tanzania Information Services (MAELEZO), is said to be targeted at next year’s elections. It has attracted journalists from leading media houses, offering them juicy packages. Boniface Wambura is the Chief Editor.

source: http://www.eastafricapress.net/inde...-son-launches-kiswahili-daily&catid=34:briefs
Jamaa mmoja ana shauri lake kortini kaambiwa na hakimu apeleke tangazo lake la mirathi Jambo leo,kwa nini sijui..
 
JF kama vile zeutamu! ntaacha kufungua tena huu mtandao, make, badala ya ku-discuss issues mnafanya character assasinations! Gazeti binasi linawahusu nini? kama JK angemteua STD VII Kisaka kuwa editor wa Daily News hapo tungesema, kwani TSN ni shirika la umma. Sasa hawa wamejikusanya waka-jasilia mali, nyinyi wasomi basi anzisheni magazeti yenu.
Kwa taarifa yenu Ben Kisaka sio STD VII. Ana BA degree kutoka LSE, one of the most prestigious universities in the UK. Pia ana PGD katika media management kutoka Yale University, USA na alikuwa ni Fellow katika university ya Oxford.
Na amesoma Tangayika International School, one of the highly-regarded schools of early learning in Tanzania. Sasa mnaanza kumsakama bila kujua hii solid CV.
Ridhiwani alimaliza LLM yake pale Birmingham, he was so bright that he covered the 20-month course in six months only. His thesis focused on reformation of organic laws in Tanzania. He is one of the best trained lawyers in Tanzania, that's why IMMMA advocates wamemng'angania kwa gharama kubwa na kumfanya Mkono asimpate.
Umewapotezea
 
Gazeti la jambo leo licha ya mapungufu yaliyoandikwa lakini sio baya. tatizo hawajipi nafasi ya kuhakiki habari wanazoziandika hivyo asilimia kubwa ya habari zao zinakuwa hazina mashiko. elimu na uzoefu sidhani kama ni kikwazo kikubwa kwao kutofanya kazi nzuri. wananchi tunahitaji habari ambazo hazitotupoteza bila kujali elimu na uzoefu wa mtu aliyeandika. changamoto kwao ni kuandika habari ambazo ni za kweli bila upendeleo, kujipendekeza, kutetea isipokuwa lengo liwe kuwapa habari wananchi. hawajapotea bado, wajipange na kasoro zinazojitokeza wanapokosolewa wawe tayari kujirekebisha lakini sidhani kama ni vyema kuwanyooshea vidole kwa elimu zao, uzoefu au kufukuzwa kwao kazi, kwani wote wanaofukuzwa kazi kwa shutuma ni kweli wakosaji? Tanzania sasa hivi ukiamua hata leo kumuharibia mtu unaweza, muite tu FISADI basi bila kutafakari na kutaka kujua ukweli kila mtu ataunga mkono na kuzomea, wakati mafisadi wa kweli wapo na hata hawaguswi. siku tukianza kuwatia hatiani mafisadi wa kweli tutaona mabadiliko hapa nchini. wengi waitwao mafisadi ni siasa tu. kazeni buti macomredi wa jambo leo, fanyeni kazi kwa uadilifu na dhamira njema basi mungu atakuwa pamoja na nanyi na mtafikia malengo yenu ya kutupasha habari zenye tija
 
Sijaona mantiki ya GT kuorodhesha wasifu wa hao aliowataja eti tu kwa sababu wanafanya kazi katika gazeti la Jambo Leo.Ninavyoona mimi ni kwamba GT anachuki binafsi na hao wote aliowandika kwamba walifukuzwa kazi hapa na pale. GT hebu andika mambo ya maana ya kuelimisha jamii ndani ya think tank hii sio kutuletea habari za udaku zisizo na tija kwetu kumbuka kwamba 'Simple minds discuss people, ordinary minds discuss events and Great minds discuss IDEAS'
 
Sijaona mantiki ya GT kuorodhesha wasifu wa hao aliowataja eti tu kwa sababu wanafanya kazi katika gazeti la Jambo Leo.Ninavyoona mimi ni kwamba GT anachuki binafsi na hao wote aliowandika kwamba walifukuzwa kazi hapa na pale. GT hebu andika mambo ya maana ya kuelimisha jamii ndani ya think tank hii sio kutuletea habari za udaku zisizo na tija kwetu kumbuka kwamba 'Simple minds discuss people, ordinary minds discuss events and Great minds discuss IDEAS'
Soma walichoandika kuhusu ripoti ya kashfa ya Jairo na bunge labda utapata mantiki ya GT. Ila huyu bwana kapotea kweli. We miss you Game Theory.
 
Back
Top Bottom