Gazeti la Jambo Leo... Vituko vitupu!

mmoja wa directors wa jambo leo ni BENNY KISAKA ambaye ana elimu ya DARASA LA SABA huyu ni mpiga picha wa majira na alikuwa chini ya mpiga picha mkuu wa gazeti gazeti la majira wakati huo-RICHARD MWAIKENDA ,mwaikenda- hawa wote wamefukuzwa gazeti la majira na sasa richard mwaikenda ndio mpiga picha wa Gazeti la JAMBO LEO.


Zaidi tuu kuhusu huyu BENNY KISAKA ni kuwa toka miss tanzania imeanza mwaka 1994 yeye amepewa uwakilishi wa kitongoji cha temeke yaani HASHIM LUNDENGA kashindwa kumuani kusimamia ngazi ya mkoa licha ya kuwepo toka 1994Lundenga mwenyewe anasema jamaa hana ubunifu!


Haya mhariri mkuu wa gazeti la JAMBO LEO ni BONIFACE WAMBURA huyu alikuwa akiandikia michezo gazeti la majira akatimuliwa kwa tabia zake za ufisadi.


Na kaimu mhariri wa habari ni EDSON KAMUKARA aliyemaliza nyegezi miezi sita iliyopita hana uzoefu na hajui kazi…aliandaliwa interview na jamaa wa pale BOT akaingia mitini watu BOT walimsubiri weee mpaka!

Mhariri wa makala JOACHIM MUSHI ambaye ni binamu yake kisaka nae hana uzoefu wa kazi wala elimu, mhariri wa michezo WILLY EDWARD alifukuzwa gazeti la majira kwa sababu ya wizi akawa misheni town kwa muda mrefu.

By the way mpiga picha RICHARD MWAIKENDA ndiye aliyekuwa bosi wa benny kisaka majira kabla hawajafukuzwa wote. kwenye michezo kuna EDWARD KUMWEMBE huyu naye kafukuzwa habari corporation kwa kutokujua maadili ya kazi na kuheshimu mkataba wa kazi alikuwa habari corporation halafu anaandikia magazeti mengine ya mitaani. RUHIGO akamtimulia mbali.

swali gazeti hili la kila siku limasheheni waaandishi ambao wamefukuzwa kwenye vyombo vingine na limeshindwa kuchukua wataalam wa habari,wameshindwa kujifunza kwa mbowe wakati anaanzisha tanzania daima alichukua watu toka kona mbali mbali ili kupata flavour….

Sasa kichekesho ni mwenye Gazeti hili mwenyewe jina lake halipo hata sehemu moja na kijana ambaye ni msomi tuu lakini cha ajabu huyu bwana hapo chini ndiye anamweka front kumfanyia mambo yake…kwa madai kuwa washajiandaa kwa ajili ya uchaguzi wa 2010 kwa mtazamo kuwa hili gazeti litakuwa leading daily paper in Tanzania within 6 months
11.jpg

Meneja Masoko wa bodi ya Utalii Tanzania Geofrey Meena kushoto akiwa na Juma Pinto mtanzania ambaye amekuwa mstari wa mbele katika kuutangaza utalii waTanzania nchini uingereza

sasa utamu zaidi ni kuwa huyu bwana katajwa kwenye kashfa ya UFISADI wa wizara ya utalii.
i549_utaliitanzania2.jpg
GT acha kupotosha jamii wille edward hakufukuzwa majira aliacha akaenda ZK na wala hakuwa misheni town, kweli usilolijua ni usiku wa giza
 
mmoja wa directors wa jambo leo ni BENNY KISAKA ambaye ana elimu ya DARASA LA SABA huyu ni mpiga picha wa majira na alikuwa chini ya mpiga picha mkuu wa gazeti gazeti la majira wakati huo-RICHARD MWAIKENDA ,mwaikenda- hawa wote wamefukuzwa gazeti la majira na sasa richard mwaikenda ndio mpiga picha wa Gazeti la JAMBO LEO.


Zaidi tuu kuhusu huyu BENNY KISAKA ni kuwa toka miss tanzania imeanza mwaka 1994 yeye amepewa uwakilishi wa kitongoji cha temeke yaani HASHIM LUNDENGA kashindwa kumuani kusimamia ngazi ya mkoa licha ya kuwepo toka 1994Lundenga mwenyewe anasema jamaa hana ubunifu!


Haya mhariri mkuu wa gazeti la JAMBO LEO ni BONIFACE WAMBURA huyu alikuwa akiandikia michezo gazeti la majira akatimuliwa kwa tabia zake za ufisadi.


Na kaimu mhariri wa habari ni EDSON KAMUKARA aliyemaliza nyegezi miezi sita iliyopita hana uzoefu na hajui kazi…aliandaliwa interview na jamaa wa pale BOT akaingia mitini watu BOT walimsubiri weee mpaka!

Mhariri wa makala JOACHIM MUSHI ambaye ni binamu yake kisaka nae hana uzoefu wa kazi wala elimu, mhariri wa michezo WILLY EDWARD alifukuzwa gazeti la majira kwa sababu ya wizi akawa misheni town kwa muda mrefu.

By the way mpiga picha RICHARD MWAIKENDA ndiye aliyekuwa bosi wa benny kisaka majira kabla hawajafukuzwa wote. kwenye michezo kuna EDWARD KUMWEMBE huyu naye kafukuzwa habari corporation kwa kutokujua maadili ya kazi na kuheshimu mkataba wa kazi alikuwa habari corporation halafu anaandikia magazeti mengine ya mitaani. RUHIGO akamtimulia mbali.

swali gazeti hili la kila siku limasheheni waaandishi ambao wamefukuzwa kwenye vyombo vingine na limeshindwa kuchukua wataalam wa habari,wameshindwa kujifunza kwa mbowe wakati anaanzisha tanzania daima alichukua watu toka kona mbali mbali ili kupata flavour….

Sasa kichekesho ni mwenye Gazeti hili mwenyewe jina lake halipo hata sehemu moja na kijana ambaye ni msomi tuu lakini cha ajabu huyu bwana hapo chini ndiye anamweka front kumfanyia mambo yake…kwa madai kuwa washajiandaa kwa ajili ya uchaguzi wa 2010 kwa mtazamo kuwa hili gazeti litakuwa leading daily paper in Tanzania within 6 months
11.jpg

Meneja Masoko wa bodi ya Utalii Tanzania Geofrey Meena kushoto akiwa na Juma Pinto mtanzania ambaye amekuwa mstari wa mbele katika kuutangaza utalii waTanzania nchini uingereza

sasa utamu zaidi ni kuwa huyu bwana katajwa kwenye kashfa ya UFISADI wa wizara ya utalii.
i549_utaliitanzania2.jpg
Hili ndio tatizo la Mtanzania,mwenzako anaanzisha kitu kwa faida ya watanzania wewe unaanza kumpekua badala ya kumpongeza,ni upotofu wa akili ati kumchambua mtu hata kwenye spelling,this is not fair at all!,kwani unasahihisha mitihani hiyo?.

Kufanya kosa sio kosa ila kurudia kosa ndio kosa,makosa ya hao viongozi wa hilo gazeti haina maana kuwa waendelee kuishi maisha ya taabu hata kama wamejirekebisha,inawezekana unayewaponda una elimu ya darasani tuu na huna ufahamu wowote juu ya maisha ya kawaida ya mwanadamu,ni heri kama una kazi yako binafsi, lakini kama umeajiriwa jiandike kuwa umekwisha maana hata bosi wako akiiona article yako hii kazi huna,maana umeshajianika peupeeee juu ya tabia yako na kuwa ni mtu uliyejaa majungu na uchoyo.

Angalia viongozi walio wengi background zao zimejaa vitimbi na makosa mbalimbali lakini ndio hao hao wanao ongoza vizuri na ndio wanaopendwa na wananchi kwa sababu wajifunza,mfano mzuri ni jamaa yetu Zuma wa Bondeni kule.

Kindly be informed that "We are learning through mistakes",makosa waliyofanya huko nyuma kama yapo yatawafanya sasa wawe makini zaidi (LIDUMU GAZETI JAMBO LEO).
 
Wewe hujui kwamba magazeti ya udaku ndiyo yapendwayo sana mtaani kwetu Uswazi? Huenda walifukuzwa kazi kwa sababu za kutofautiana maslahi, nani ajuaye? Au je, hujui kwamba kuna matajiri sana lakini hawajui hata kuandika majina yao? Wakienda benki huweka dole, lakini kwenye business planning wamebobea japo hawalijui darasa.

Hata siasa inawezekana kuwa mbunge au hata kuwa raisi kwa cheti halali cha darasa la saba, ila kama washikaji wanataka digrii unaenda kununua manzese, hata kama unataka PhD.

Jamaniee, Uzoefu wa kazi ndiyo raslimali muhimu. Cheti sio tija. Wapo wenye alama A za vyuo na shule lakini they can't perform as expected. Lakini ukitaka kupata mfanyakazi mahiri usiangalie kapata A ngapi, hao wapo kwenye makarai (C).

Kwa hiyo, unaweza kuwa mwandishi hata bila kwenda shule. Ukiwa na habari unakaa kwenye kigoda, unajirekodi na kisha unampa kibarua mtu afanye transcription, kisha unaipeleka habari yako sokoni. Ukiwa na pesa everything is possible isipokuwa kwenda Mbinguni.

Leka
 
GT Unakumbuka mwaka 2005 wakati media iliponunuliwa kuwachafua watu na viongozi wenye sifa za kuwa viongozi wa nchi hii. sasa hivi sishangai hawa waandishi walipokuja hapa JF tayari kwa kazi moja kuwapigia debe watu wao, kwani mabosi wao wamegundua hapa ndio panapochafua maji kwenye mkondo wao.

Mkuu toka nasoma post yako ya kwanza ya hii habari niliona kuna issue hapa ya kudiscuss. lakini kwa vile jamvini kuna mchwa unatafuna bila huruma ni kazi kuwaelimisha hao watu wakaelewa utofauti wa darasa la saba na degree labda uwe umepita hatua zote. hawezi kujua hard story na udaku, yaani sasa hivi tabu sana, ndio tutapata mapinduzi ya kweli TZ, sijui? mimi napata mahska. lakini katika threads ambazo nasoma ni pamoja na zako kaka Keep it up. Acha hao wapiga debe waje na kelele zao, wanaijua JF leo walikuwa wapi all these years???
 
Hili ndio tatizo la baadhi ya watanzania na hasa ambao ustaarabu kwao ziro!,maendeleo ya wenzao kwao shida,hii ni hatari sana!!.

Elimu ya darasani haina maana ndio kuukata katika maisha!!!.
 
Hili ndio tatizo la baadhi ya watanzania na hasa ambao ustaarabu kwao ziro!,maendeleo ya wenzao kwao shida,hii ni hatari sana!!.

Elimu ya darasani haina maana ndio kuukata katika maisha!!!.

hatujasema kuukata, tunasema kuelewa mambo. kama elimu haina maana kwanini watu wanenda shule basi na wanalipa mapesa mengi sana kwa ajili ya elimu? Nyie ndio mnairudisha Tanzania nyuma kama mtasema Darasa la saba na degree ni sawa? Form IV na STD 7 ni sawa. Unatokea dunia gani wewe? Hata Tija kazini zinatofautian sana kati ya hawa watu wawili. Hilo gazeti halitakuwa na tofauti na hayo malap lap mengine yaliyoko mitaani unadhani watu makini tutayatilia manani? Amka mwanangu.

Kama waandishi wameamua kuanzisha chombo chao hilo ni sahihi, lakini hata hao waandishi wakiwa selfish waksema wataendesha hicho chombo chao na elimu duni wataanguka kesho tu, wala hawana muda.

na kama kutoka na ambition yao ya kuwa huru na bado wanenda kwa Ridhiwan kumpigia magoti aanzishe gazeti alafu wawe humo wakisema wako huru ni kukosa dira na hii ni kwasababu ya kukosa Elimu. Ndio maana hata CCM walisema Mgombea wa Urais angalau awe na Shahada ya kwanza. Mzee vipi wewe unatoka wapi yaani siishi kukushangaa??? Dunia ipi unaishi? usiniambie kuwa na wewe ni mwandishi kama unamawazo kama haya basi nenda kaandike ze uchungu, hakuna media nyingine inakufaa wewe
 
Haya magazeti sasa yamekuwa mengi mno. Kwa nini serikali yetu inaruhusu usajili wa magazeti mengi kiasi hiki. Magazeti mengine hayana mbele wala nyuma.
Mzee Punch wala usikonde,natural selection itayapruni tu haya magazeti na yatabaki magazeti quality tu,just give it time.Kumbuka Watanzania wanaonunua magazeti sio wajinga na wala sio kwamba hawajali matumizi ya pesa zao. Ukifuatilia kwa makini utakuta miaka mitatu minne iliyopita wale waliokuwa wananunua magazeti manane hadi kumi kila siku leo hii wamekuwa selective labda wananunua manne matano,itaenda hivyo hadi watu walio wengi watakuwa wananunua labda kwa siku magazeti mawili matatu. Angalia Kenya,kuna watu wengi tu kwa siku wananunua gazeti moja aidha Nation au Standard,ipe muda tu wakati huo utafika na si mbali sana.Hivyo utitiri wa wamiliki wa magazeti usikutishe utapungua wenyewe na wala hii haiitaji sheria ya habari kuwapunguza au kuwanyima usajili,we waache tu maana wahenga walisema'mbwa kabla hajaungua mkia hatoki jikoni' we waache waingie tu kwenye soko pole pole mifuko yao ikitoboka wataupwaka tu wenyewe.
 
then tunalalamika ohhh waswahili wa Pwani tunaachwa...of course mijitu ya bara shurti ituache ati! kama tunaanzisha gazeti halafu tunawapa nafazi nzito watu wa Darasa la saba then something is wrong with us na si conspiracy

umesema kweli lakini ujue indirectly unavyoongelea watu wa pwani asilimia yao kuwa ni waislamu. kwa hiyo ushauri wako pia unaenda kwa waislamu. wasikalie madrasa tu na kutafuta mchawi.
 
wana JF tusipoteze muda na maada za kipuuzi. Mtoa maada anachuki na hao watu.njia pekee ni kumfuata mwenye hiyo kampuni na amweleze kuwa ameajili watu wasiosoma na wasio na uzoefu. labda mtoa maada na aseme yeye kasoma madarasa mangapi. na si kuleta habari zisizo ma maslahi hapa!!. wasiwasi wangu ni kuwa wachangiaji makini watakimbia kweye JF kwani JF siyo uwanja wa umbea na unafiki. wewe mtoa maada unaweza kusema umesoma madarasa mangapi!??? na katika kusoma kwako unajua nini kuwazidi hao unao waita wachovu!???
 
Huwezi kujaza waandishi wote waliofukuzwa.
pia hapa Ridhwan kaingiaje? naona unajipendekeza kwa Ridhwan. na itakuwa maajabu ya Dunia kama Ridhwan atakuwa na business partner kama huyu BENNY KISAKA msomi wa darasa la Tatu.

Gazeti hili ni mradi wa BLANDINA NYONI sio Ridhwan, huyu mama alipkuwa katibu mkuu MALIASILI ndiye aliye injinia mambo haya.
NIMEKOMA!!!!!,But BIG up gazeti la Jambo Leo
 
hii thread haina ladha au umehindwa kuielezea ndugu yangu yangu, au kakunyima ajira nini? duh roho mbaya unafanya
 
GT respect mkuu.
Nitaungana nawe endapo usemayo ni kweli. ila nadhani pia inawezekana kuna kitu ambacho owner amekiona kwa aliowaajiri ambacho ni tija au ufanisi wa kazi. Inawezekana mtu akawa ametimuliwa mahala kwa kuwa hakubaliki au kukubaliana na mwenendo na mazingira ya pale alipokuwepo lakini ni mchapa kazi hodari tu. Ila baadhi ya majina uliyoyataja ktk post yako nakubaliana nawe kwamba ni wababaishaji tu. Lakini nadhani pia wanachukua advantage ya kuwa jirani na PINTO ambaye amekuwa nje muda mrefu akisoma na kufanya shughuli zake. Na kibaya zaidi ambacho nakiona pale ni kwamba wengi wa wanahabari pale ambao wanaripoti au kusimamia hard news ni wanahabari wabobezi wa habari za michezo. Mhariri ni mtu wa michezo sijawahi kuona analisisi zake za kijamii ahsa ulimwengu wa siasa.

Upande nakubaliana nawe na upande nadoubt kwani si wote ila baadhi ya uliowataja wana rekodi nzuri ya kazi.

PINTO FANYA RESHUFLE ili upate kinachohitajika ktk kulikuza gazeti. Umaarufu wa mtu hauleti tija ila utendaji wa kujituma na ubuniofu ndicho kigezo cha maendeleo na kupanda kibiashara.
 
GT respect mkuu.
Nitaungana nawe endapo usemayo ni kweli. ila nadhani pia inawezekana kuna kitu ambacho owner amekiona kwa aliowaajiri ambacho ni tija au ufanisi wa kazi. Inawezekana mtu akawa ametimuliwa mahala kwa kuwa hakubaliki au kukubaliana na mwenendo na mazingira ya pale alipokuwepo lakini ni mchapa kazi hodari tu. Ila baadhi ya majina uliyoyataja ktk post yako nakubaliana nawe kwamba ni wababaishaji tu. Lakini nadhani pia wanachukua advantage ya kuwa jirani na PINTO ambaye amekuwa nje muda mrefu akisoma na kufanya shughuli zake. Na kibaya zaidi ambacho nakiona pale ni kwamba wengi wa wanahabari pale ambao wanaripoti au kusimamia hard news ni wanahabari wabobezi wa habari za michezo. Mhariri ni mtu wa michezo sijawahi kuona analisisi zake za kijamii ahsa ulimwengu wa siasa.

Upande nakubaliana nawe na upande nadoubt kwani si wote ila baadhi ya uliowataja wana rekodi nzuri ya kazi.

PINTO FANYA RESHUFLE ili upate kinachohitajika ktk kulikuza gazeti. Umaarufu wa mtu hauleti tija ila utendaji wa kujituma na ubuniofu ndicho kigezo cha maendeleo na kupanda kibiashara.

KAMA WAMEBOBEA KWENYE MICHEZO WAFUNGUE GAZETI LA MICHEZO KAMA MWANASPOTI,DIMBA NA BINGWA.

wakatoliki wamejikusanya kwa nguzu za kanisa katoliki,sie tunaotoka makanisa madogo urais tutausikia kwenye redio, hajawahi kutokea rais ambaye si mkatoliki toka uhuru.
kwanini wasiweze na timu ya RAI la zamani?
Wambura hata michezo hajui hawezi kushindana na DR.Rick,Shafii n.k
sasa kama Pinto kasoma Ulaya kashidwa kujua mambo hayo?
 
pinto njoo kwa style nyingine hii style yako ya e-mail chelsea iko pale pale

sasa hata kuweka spacing tatizo kwenu? But then again hawa ndio watu wa jambo leo

by the way ni riz khan na siyo lizi khan....na hayupo cnn yupo al jazeera huu mwaka wa tatu na

halafu hawa ndio washauri wa ridhwani

bogus kabisa...mara nyngi watu wanakujudge kwa rafiki na kundi unaloji associate nao

then tunalalamika ohhh waswahili wa pwani tunaachwa...of course mijitu ya bara shurti ituache ati! Kama tunaanzisha gazeti halafu tunawapa nafazi nzito watu wa darasa la saba then something is wrong with us na si conspiracy
sasa umeamua kuwa mhariri hizo ndizo hoja uzobakinazo
(heri ya mjinga kuliko mpumbavu)
 
Back
Top Bottom